Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Umeandika iliiii watu wacomment nawe ujisifie kua bandiko lako lilipata comment nyingi, umeandika kua ndo fikra zako, umeandika kua ndo ualisia uliopo au umeandika kwa miemko ulion nayo? Hebu fikiria tena halafu uandike upya
 
abubakar MT
hivi unajua kama CAG mpya ndo amekabidhiwa ofisi saiz na Prof. Assad ujue kwamba Prof. Assad alikuwepo hapa hapa nchini but aliongopa kuwa hayupo nchini

Iringakwanza
watanzania tunamuamini ila wewe ndo hutaki kumuamini lakini kumbuka hakuna mkate mgumu mbele ya supu utaelewa tu na mwisho wake utamuamini Mhe. rais kwa asilimia mia moja... Tukutane 2020
 
Umeandika iliiii watu wacomment nawe ujisifie kua bandiko lako lilipata comment nyingi, umeandika kua ndo fikra zako, umeandika kua ndo ualisia uliopo au umeandika kwa miemko ulion nayo????????ebu fikiria tena afu uandike upya
Ukweli lazima usemweee wewe kama hutaki basi
 
Kama ndiye aliyezuia Madini, Ndege, SGR zisikaguliwe sawa.
 
ASSAD AMEMALIZA MUDA WAKE, LAITI HAYO ULIOSEMA YANGEKUWEPO YULE BOSS wetu angeyasema jana wakati wa kuapisha...KUWENI WASTAARABU MSIKURUPUKE WAKATI WA KUONGEA
 
Papaa Mobimba, mupe biya yule muluke yule!
 
Papaa Muu
Hebu pitia comment kwenye mitandao ya kijamii habari inayomuhusu CAG asilimia zaidi ya 80 watu hawajapendezwa na hichi alichofanya Magufuli hadi wajinga wameamka kwa sasa Rais haaminiki kwa wananchi
 
Hebu pitia comment kwenye mitandao ya kijamii habari inayomuhusu CAG asilimia zaidi ya 80 watu hawajapendezwa na hichi alichofanya magufuri hadi wajinga wameamka kwasasa rais haaminiki
hivi umesoma kipengele cha sheria kinachoelezea kipenge cha uhalali wa CAG au mnafuata mkumbo tu?
 
Acha siasa, trilioni 1.5 ziko wapi?
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
 
Back
Top Bottom