Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa

Profesa asad aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG

Muda wake umeisha apumzike

Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
 
Kuifikia Kenya will cost about 300 years provided that Kenya will be costant on it's economic development and not otherwise..
Wanangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Nilichomuona Zitto kafanikiwa ni kuimeza CHADEMA mazima. Si twitter wala Jf siku inaweza pita bila kusikia issue za chadema ila zitto tu.
 
makes you wonder when someone attacks someone who questions embezzlement of that someones money..., maybe for lack of knowledge that the money is his through payment of taxes..., couldn't care less about his personality or motives, but at-least one should care the questions asked in so far as they are valid...
 
Kiongozi mjinga hujizunshia watu wajinga, washauri wajinga, watetezi wajinga nk.
 
Papaa Muu
 
Nilishangaa sana CAG alivyoenda Marekani na kuanza kuzungumzia home affairs. Lengolake haswa lilikuwa nini? Kwanini hakuyasema hayo akiwa ndani?
Muda ile interview inafanyika,aliyemfanyia ile interview alikua Somalia au alikua wapi?
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Naunga mkojo hoja
 
Hizi siasa za Tanzania ya leo zinatia kichefuchefu. Mtu unajigamba kufanya maendeleo lukuki , lakini bado unahangaika kuchafua watu na kuwatisha......!
 
Kwa hiyo unamaanisha hakuna Tr 1.5 ambayo matumizi yake hayajajulikana mpaka leo?

Mkuu usitake watu wakuporomoshee matusi asubuh asubuh maana watu wanaugulia moyoni.
Huyohuyo Prof. Assad alikanusha wizi wa 1.5T wewe umepata wapi hiyo figure kama siyo Zitto aliisema kwa waandishi wa habari? Huyo Prof. Assad wakati wake umeshapita na akileta ujinga wa kisiasa atajuta!
 
Hizi siasa za Tanzania ya leo zinatia kichefuchefu. Mtu unajigamba kufanya maendeleo lukuki , lakini bado unahangaika kuchafua watu na kuwatisha......!
Mtanyooka tu nyinyi vuvuzela
 
Back
Top Bottom