Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Umeandika iliiii watu wacomment nawe ujisifie kua bandiko lako lilipata comment nyingi, umeandika kua ndo fikra zako, umeandika kua ndo ualisia uliopo au umeandika kwa miemko ulion nayo? Hebu fikiria tena halafu uandike upya
 
abubakar MT
hivi unajua kama CAG mpya ndo amekabidhiwa ofisi saiz na Prof. Assad ujue kwamba Prof. Assad alikuwepo hapa hapa nchini but aliongopa kuwa hayupo nchini

Iringakwanza
watanzania tunamuamini ila wewe ndo hutaki kumuamini lakini kumbuka hakuna mkate mgumu mbele ya supu utaelewa tu na mwisho wake utamuamini Mhe. rais kwa asilimia mia moja... Tukutane 2020
 
Umeandika iliiii watu wacomment nawe ujisifie kua bandiko lako lilipata comment nyingi, umeandika kua ndo fikra zako, umeandika kua ndo ualisia uliopo au umeandika kwa miemko ulion nayo????????ebu fikiria tena afu uandike upya
Ukweli lazima usemweee wewe kama hutaki basi
 
Kama ndiye aliyezuia Madini, Ndege, SGR zisikaguliwe sawa.
 
ASSAD AMEMALIZA MUDA WAKE, LAITI HAYO ULIOSEMA YANGEKUWEPO YULE BOSS wetu angeyasema jana wakati wa kuapisha...KUWENI WASTAARABU MSIKURUPUKE WAKATI WA KUONGEA
 
Papaa Mobimba, mupe biya yule muluke yule!
 
Papaa Muu
Hebu pitia comment kwenye mitandao ya kijamii habari inayomuhusu CAG asilimia zaidi ya 80 watu hawajapendezwa na hichi alichofanya Magufuli hadi wajinga wameamka kwa sasa Rais haaminiki kwa wananchi
 
Abracadabra za NABII Tito
 
Hebu pitia comment kwenye mitandao ya kijamii habari inayomuhusu CAG asilimia zaidi ya 80 watu hawajapendezwa na hichi alichofanya magufuri hadi wajinga wameamka kwasasa rais haaminiki
hivi umesoma kipengele cha sheria kinachoelezea kipenge cha uhalali wa CAG au mnafuata mkumbo tu?
 
Acha siasa, trilioni 1.5 ziko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…