goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Haswa chama Ni ngum Sana kumpa mzungu pass na akimpa pas anampa passngumuNa inawezekana Kuna baadhi ya wachezaji wameweka mpango mkakati wa kutompa pasi dejan.. Dejan ananyota kali sana maana kila akicheza stori ni yeye sasa wanaona akifunga atawafunika mazima... Hawampi pasi huyu jamaa... Huu ni ubaguzi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app