Haswa chama Ni ngum Sana kumpa mzungu pass na akimpa pas anampa passngumuNa inawezekana Kuna baadhi ya wachezaji wameweka mpango mkakati wa kutompa pasi dejan.. Dejan ananyota kali sana maana kila akicheza stori ni yeye sasa wanaona akifunga atawafunika mazima... Hawampi pasi huyu jamaa... Huu ni ubaguzi.
Yule Muha Matola ni kirusi ndani ya hyo Club. Matola amekuwa akiwagawa sanΓ WachezajiYes inawezekana ikawa hivyo, lakini pia uenda kuna matabaka ndan ya timu unajua mzungu kulalamika sio mara moja kuna mechi moja hiv yeye na peter banda ten mzungu alilalamika na hapo kisa ni pasi akupewa inawezekana kuna ka hali cha kumtenga mzungu hapo [emoji2299]
Simple mind wakati mlete mzungu kafungasha vilago!Simple mind discuss events
Mkuu popote ulipo agiza K Vant kubwa na kitimoto nitalipa umeongea point sana tofauti na wengine wanaotaka kukuza mamboLakini unaweza ukawa ni ugomvi wa uwanjani tu na umehusisha wachezaji wawili tu sio timu nzima! Na usikute mmoja badala ya kumpa pasi mwenzie yeye akajua nikipiga muwa hapa hii ni kamba akakosa so ni kawaida sana!!! Hapa najaribu kuwatetea Makolo maana mpira una mambo mengi tu!!!πππ[emoji2211]
Dejan hawezi kuishi tena hapo msimbaziYes inawezekana ikawa hivyo, lakini pia uenda kuna matabaka ndan ya timu unajua mzungu kulalamika sio mara moja kuna mechi moja hiv yeye na peter banda ten mzungu alilalamika na hapo kisa ni pasi akupewa inawezekana kuna ka hali cha kumtenga mzungu hapo ππ»ββοΈ
Mimi nililiona hili jambo mwanzo kabisa toka mzungu anaingia mechi ya kwanza.Kuna watu wametengeneza tabaka ndani ya timu kuhakikisha huyu mzungu hawiki ndani ya simba.Kuna wachezaji wanataka watajwe wao tu kila siku ila wasichojua kuwa mzungu ana nyota kali inayong'aa sana, hawawezi kuifunika na ngoja aje kocha anaejielewa uone kama mzungu atakaa benchi.
Kila kocha mwenye kujielewa lazima atataka awe na striker mrefu,mwenye nguvu, skills na shooting accuracy kubwa. Dejan ni complete package .
Simba ifanye mchakato ilete kocha mzungu.
Magoli bila ushirikiano?Hatutaki nyota Kali tunataka magoli