Waharibikiwe mara ngapi? Matatizo yao hayatuhusu .hatma ya chama chao ipo mikononi mwao hili zigo la misumari wanalo .CHADEMA WENZANGU TUWE SERIOUS..HIVI WAKIHARIBIKIWA CCM SI INAKUWA RAHA YETU .
Ccm wakiweka kikao au Mkutano DodomaHivi CCM wakiharibu si ndio ushindi wenu? Kelele za nini wakifanya mabadiriko ya kujiharibia? Agizeni popcorns muendelee kusubiri ushindi wenu 2020.
Anza kuwakataza CCM waache kujadili mambo ya chadema.JAMANI CHADEMA TUJADILI MAMBO YETU KWANI KUSHABIKIA VITU VYA CCM HAVITUSAIDII LABDA KAMA TUNAAMINI CCM NDIYO BORA KULIKO SISI
Mchakato wenu kumpata Mgombea 2020Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Ikiwa wataipitisha hii hatari yake ni kuwa wakiwa nje ya madaraka ya urais kuna kipindi watalazimika kutokuwa na mgombea kwa mujibu wa katiba yao.Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Venue a matter?Wenzenu wanabadilishia katiba kwenye vikao vya chama, nyie mnabadilishia stationery!!
Kweli maono ni macho, kama una makengeza, hauna maono...
Hahaha Magu si ZERO WENUNa akimaliza kurekebisha ya ccm inafatia kuondoa ukomo wa kugombea urais. Km m7, kamee na kurunzi
Kuna kitu hukijui mkuu think big!! Watanzania wengi upeo mdogo sana wa kuchuja mambo.ndio maana ni wepesi wa kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumuHivi CCM wakiharibu si ndio ushindi wenu? Kelele za nini wakifanya mabadiriko ya kujiharibia? Agizeni popcorns muendelee kusubiri ushindi wenu 2020.
Wewe mnafiki kumbe bado upo ndugu yangu?Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Kuna mda tu mtapata akili kamili is a matter of time 'ukiona mtu anaukubali ujinga katika maisha yake yote basi kwa hakika mtu huyo alizaliwa na ujinga huo.Hahaha Magu si ZERO WENU
yule alie futa ukomo wa Mwenyekiti CHAGADEMA!!
Kila baada ya miaka mitano wanachama wapewe nafasi ya kuchagua tena otherwise tubadilishe na muhula wa rais kukaa madarakani iwe ni miaka 10 badala ya 5sasa mbona ni kawaida tuu,hata wakiondoa kuna tatizo gani maana marais karibia wote walioteuliwa walitimiza miaka 10 sasa kwanini uone kwa huyu ni udikteta??
Kipi unachokijua wewe unayethink bigKuna kitu hukijui mkuu think big!! Watanzania wengi upeo mdogo sana wa kuchuja mambo.ndio maana ni wepesi wa kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu
Dada una roho ya shetaniWewe mnafiki kumbe bado upo ndugu yangu?