The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Afu tunasema kuna usalama wa Taifa au wa chadema
Mpaka ukuta huu unaisha serikali ipo wapi?
Kuna maeneo lukuki Hali Ipo hivi hivi afu mnasingizia ng'ombe wamekuwa wengi.
Serikali ya mama ni dhaifu kweli kweli msitufanye watoto wadogo.
Mpaka ukuta huu unaisha serikali ipo wapi?
Kuna maeneo lukuki Hali Ipo hivi hivi afu mnasingizia ng'ombe wamekuwa wengi.
Serikali ya mama ni dhaifu kweli kweli msitufanye watoto wadogo.