Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

Mimi nasumbuliwa na ndoto za shule hasa primary na ni zaidi ya miaka 10 toka nmemaliza shule ya msingi, mara nyingi naota room niliosoma darasa la tatu, tano na sita pamoja na maeneo ya chooni na jalalani. Yaani haipiti siku 2 sijaota.
 
Mimi nasumbuliwa na ndoto za shule hasa primary na ni zaidi ya miaka 10 toka nmemaliza shule ya msingi, mara nyingi naota room niliosoma darasa la tatu, tano na sita pamoja na maeneo ya chooni na jalalani. Yaani haipiti siku 2 sijaota.
Kuna darasa unapitishwa katika maisha yako. Chunguza hali ya maisha yako kwa sasa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Leo nimeota nipo kwenye kama restaurant iv nadance kama Michael Jackson watu wanashangilia
 
Mimi nasumbuliwa na ndoto za shule hasa primary na ni zaidi ya miaka 10 toka nmemaliza shule ya msingi, mara nyingi naota room niliosoma darasa la tatu, tano na sita pamoja na maeneo ya chooni na jalalani. Yaani haipiti siku 2 sijaota.
Pole sana, hizi ni ndoto nlikua nazo sana kuna mtu akanisaidia, hio kuota upo msingi nikua kuna watu walikushika (wekea vikwazo /vifungo)ukiwa Madarasa hayo (wawezakua wanafunzi wenzio au walimu. Kua jalalani ni mikosi/nuksi ,kuchafuka/shushwa nyota.
 
Pole sana, hizi ni ndoto nlikua nazo sana kuna mtu akanisaidia, hio kuota upo msingi nikua kuna watu walikushika (wekea vikwazo /vifungo)ukiwa Madarasa hayo (wawezakua wanafunzi wenzio au walimu. Kua jalalani ni mikosi/nuksi ,kuchafuka/shushwa nyota.
Ulijinasuaje?
 
Mimi mbona Kila mara naota napapaswa jicho asijekuwa popobawa
 
Back
Top Bottom