Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

Mimi nimeota mtoto mdogo wa darasa la saba amekuja chumbani kwangu katika kupiga piga story yule mtoto akanionesha dalili ya mwanamke ambaye ananitaka.sasa mi nipo napiga nae story huku najiuliza huyu mtoto vipi?mbona anataka mambo ya kikubwa na wakati yeye ni mtoto?sasa wakati tunaagana akanikumbatia ni kunipa denda na mimi nikajikuta nimempokea kiushirikiano ile napeleka mkono kifuani mtoto anayo matiti kabisa yaani anaonekana ni mtoto ambaye tayari alishapevuka.nikasema potelea ya mbali wacha nimgegede maana hili ni zali ila naanza kumsaura nguo nikashtuka.nipe tafsiri mkubwa
 
Mimi nimeota mtoto mdogo wa darasa la saba amekuja chumbani kwangu katika kupiga piga story yule mtoto akanionesha dalili ya mwanamke ambaye ananitaka.sasa mi nipo napiga nae story huku najiuliza huyu mtoto vipi?mbona anataka mambo ya kikubwa na wakati yeye ni mtoto?sasa wakati tunaagana akanikumbatia ni kunipa denda na mimi nikajikuta nimempokea kiushirikiano ile napeleka mkono kifuani mtoto anayo matiti kabisa yaani anaonekana ni mtoto ambaye tayari alishapevuka.nikasema potelea ya mbali wacha nimgegede maana hili ni zali ila naanza kumsaura nguo nikashtuka.nipe tafsiri mkubwa
Watu ni ma criminal hadi ndotoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ( natania Mkuu)
 
Daah hiyo code ya #3 bora umenifumbua maana kuna kipindi per week niliota x2 na baadae tsunami ikanipitia[emoji3]
 
Kuna kipindi hii ndoto ya kupigwa risasi inajirudiaga japo huwa sifi cjui tafsiri yake nn
 
Mimi naamini kwamba kila mtu na tafsiri yake katika ndoto, kuna ndoto iliwai kunisumbua miaka karibu mi3 au mi4 nilikua naota nakimbizwa na wanajeshi yani hii ndoto nikiiota mfano leo haimalizi cku3 inajirudia lkn katika cku zote izo hawakuwai kunikamata mara nyingi sana nawaacha kwa mbio kuna mda najificha wanapita! Mwanzo nilichukulia mzaa ila kadri cku zilivyozidi kwenda hii ndoto ilinikomalia vibaya sana nikaanza kwenda kwa waganga wapiga ramli tena wale maarufu kbsa katika mkoa niliokuepo kwa nyakati tofauti tofauti hkna hata1 alieweza kunipa tafsiri ya ndoto ile walikua wakipiga ramli mwingine ananiambia hivi mwingine vile! Mwingine aliniagiza hadi kondoo nitapeleka lkn ckupata ufumbuzi wa ile ndoto na ndoto yenyewe nayo haikukoma, Nilijaribu kuwaeleza wazee pia wa makamo bado pia ckupata jibu kamili, kumbe ndugu zangu Ni kweli Mungu anaweza kukuletea ujumbe kupitia ndoto nilikuja kugundua baadae sana maana ya ile ndoto tena ckwenda hta kwa waganga! Niliondoka2 ule mkoa (kuhama kbsa) jibu lilikuja lenyewe naomba niishie hpo
 
Mimi naamini kwamba kila mtu na tafsiri yake katika ndoto, kuna ndoto iliwai kunisumbua miaka karibu mi3 au mi4 nilikua naota nakimbizwa na wanajeshi yani hii ndoto nikiiota mfano leo haimalizi cku3 inajirudia lkn katika cku zote izo hawakuwai kunikamata mara nyingi sana nawaacha kwa mbio kuna mda najificha wanapita! Mwanzo nilichukulia mzaa ila kadri cku zilivyozidi kwenda hii ndoto ilinikomalia vibaya sana nikaanza kwenda kwa waganga wapiga ramli tena wale maarufu kbsa katika mkoa niliokuepo kwa nyakati tofauti tofauti hkna hata1 alieweza kunipa tafsiri ya ndoto ile walikua wakipiga ramli mwingine ananiambia hivi mwingine vile! Mwingine aliniagiza hadi kondoo nitapeleka lkn ckupata ufumbuzi wa ile ndoto na ndoto yenyewe nayo haikukoma, Nilijaribu kuwaeleza wazee pia wa makamo bado pia ckupata jibu kamili, kumbe ndugu zangu Ni kweli Mungu anaweza kukuletea ujumbe kupitia ndoto nilikuja kugundua baadae sana maana ya ile ndoto tena ckwenda hta kwa waganga! Niliondoka2 ule mkoa (kuhama kbsa) jibu lilikuja lenyewe naomba niishie hpo
Tuambie basi jibu lilikuja vipi?
 
Kuna kipindi hii ndoto ya kupigwa risasi inajirudiaga japo huwa sifi cjui tafsiri yake nn
Hii pia nimewahi kuiota mara kadhaa. Kwangu hizo risasi hua zinanipata ila sifi, najificha ila wananipata bado.
 
Hujakosea mkuu ila hujaenda ndani zaidi ,pia inatakiwa ujue kwa nini tunaota ,ni hivi ndoto unazozikumbuka ni asilimia ndogo sana ya ndoto unazoota yaani hazifiki hata 1% ,ni kwamba asilimia 100% ya usingizi hutengenezwa na ndoto.Bila ndoto ubongo utakufa au kuzima hivyo ndoto ni chakula cha ubongo wakati umelala,sasa tuje kwenye ndoto ambazo huleta matokeo,ni hivi ukiona umekumbuka ndoto au umekumbuka uliota ujue kuna signal imenaswa kwenye ulimwengu wa roho kama tahadhari au saa nyingine mwili unatoa signal kwenye ubongo mfano mkojo kujaa kwenye kibofu,kulala vibaya,hizi signal usipozijua inakua tabu zaidi au maradufu unapokumbwa na lile tatizo . ingekua ndoto ni kitu simple kama unavyowaza basi mitume na manabii na vitabu vyote vitakatifu vinatudanganya,haya maisha usiyoyajua ni kwamba yanaendeshwa kwa mahesabu ,hakuna ambalo litakutokea ambalo halikupigiwa mahesabu ,hivyo kwa neema ya Mungu tunanasa mawimbi ya yale yatakayotupata au kutokea mbelen kupitia ndoto ,kama uko advanced unafunuliwa wazi wazi na Mungu,ila sisi wadhambi tunaonyeshwa kupitia ndoto,ni hivi huwezi kuota kitu usichokijua ,au hali usiyoijua material zote zinazotumika kwenye ndoto zinatokana na yale uliyonayo akilini.Mkuu jiongeze acha hulka za kizamani au uzungu mtafute Mungu maadamu uko hai na nguvu iko nyakati utapitia ambazo hutakaa udhanie kama ungekuja kupitia.
Noma sana!
 
Ndoto niote mimi na nipate tafsri yake ndan yangu, ila sio uzitengenezee kitabu kma cha dini , kwa sababu ndoto huja kwa mfanano huo ila inamaana nyingne kabsa.
 
Mim naona huu uwezo upo ndani yetu , wakutambua kila kitu , ila ukiweka vitu kma katiba unalimit uwezo wetu wa ndani .
 
Asalaam alaykum, naomba tafsiri ya ndoto hii, nimeota kuna nyumba mtaani kwetu tumeenda na rafiki yangu kuhani msiba ambao ulitokea kweli kama wiki 3 zilizopita, kisha kukawa na stori na wamama kama wanne hivi mmoja wao akawa anamwambia rafiki yangu kuwa kuna binti ambaye ni mpenzi wangu kwa sasa hajatulia hivyo hawezi kumuunganishia ili amuoe, mi nikawa nimesikilizia na kucheka ila nikapata maumivu makali moyoni kwa kuwa ninampenda sana.
Kisha ndoto ikahama kwamba niko nyumbani kwetu nimelala na wadogo zangu ghafla nikasikia pikpiki yangu inawashwa, nikakurupuka na kupiga kelele mwizi mwizi!!! Baada ya sekunde kadhaa mwizi huyo akaingia chumba nilicholala huku akiomba msamaha nisimuue, nikashtuka saa 11:12 alfajiri. Naomba tafsiri, huyo msichana nampenda sana kwa sasa tuna ugomvi wa usaliti na pikipiki yangu naipenda sana!!!!!!
 
Tafsiri ya madini ni thamani na nyoka huwa ni adui hivyo kuokota madini nikupata thamani au kibali mbele ya watesi wako ambao hawali walikuchukulia ndivyo sivyo na pia ni ishara ya mambo yako kukunyookea au kufanikiwa.
Mapambano yanaendelea. Mungu ni kiongozi mwaminifu ambaye humpa atakaye kwa wakati sahihi
 
mmmh mbona unadanganya watu sana, biblia gani hiyo unasoma.

Muanze kutuletea visibitisho vya maandiko sasa.
 
Asante kwa hili neno kuna ndoto hujirudia nimesali wee nothing is changing had nimechoka sasa loh
Kujirudia kwa ndoto inamaana hujaelewa unachoambiwa pia Mungu anakwambia kuwa hilo jambo usiposhughurika nalo litatokea. Mwanzo 41:32
Pia angalia sana ndoto nyingine ambazo unaziota huwa Mungu anazileta kukufafanulia ile ndoto ya msingi ambayo huelewi.
Sasa angali vitu, watu, mazingira nk unavyooneshwa kwenye ndoto umeshawahi kuviona maishani mwako mahali popote? maana Mungu huwa muda mwingine anongea lugha ambayo haihitaji utafute kwenye biblia imeandikwaje bali anaongea kwa lugha ambayo kwa kiwango chako cha uelewa utamuelewa.
Halafu inapokuja kwenye swala la kushughurika na ndoto unahitajika kujua kuomba. Kama huwezi kuomba muombe Roho mtakatifu(Warumi 8:26) akusaidie kuomba kuhusiana na hilo na utakuja kushangaa unachokiomba.
(Mfano unapoomba omba toba kwa ajili ya jambo lolote ambalo ndani yako halimpendezi Mungu halafu anza kumwambia Roho mtakatifu naomba nisaidie sijui kuomba kuhusu hili jambo kwa Jina la Yesu Kristo. RUDIA HAYO MANENO MPAKA UTAKPOONA NDANI YAKO KUNA SAUTI INAKUPELEKA KUANZA KUOMBA NDIPO UFUATE MANENO UNAYOYASIKIA NDANI YAKO)
Kama ndoto ina mashambulizi unayapata. Shika eneo unaloona huwa unashambuliwa huku ukiendelea kusema hayo maneno huku ukinyunyiza Damu ya Yesu kwenye hilo eneo mpaka utakapoona ndani yako Roho Mtakatifu ameitikia na kuanza kukuongoza kutamka maneno au kuomba kufuatana na Yeye anavyoliona tatizo lilipo katika ulimwengu wa roho.

NB: kumbuka kila jambo linalotokea katika ulimwengu wa mwili lazima lianze katika ulimwengu wa roho. Mtu akitaka akubadilishe/akuharibu hahaingi na wewe huku kwenye mwili. Anachofanya ni kushughulika na kitu ambacho kitakuwakilisha nafsfsi yako na kutumia nguvu za giza kutamka maneno ya kukufunga na kile kitu utaanza kinaanza kutokea katika maisha halisi.

Sawa kama alisema namfunga miguu yake asipige hatu: Wewe unasema kwa damu ya Yesu naifungua miguu yangu. (Anapofunga miguu katika ulimwengu wa roho hamaanishi amekufunga hutembei bali utakuja kuona vitu unavyovifanya havisoge hatua zaidi)
 
Niliota nipo shule Kama mwanafunzi na boyfriend wangu ni Kati ya walimu wanaosahihisha mitihani.

Wakati wa usiku kulala wenzangu wote wapo mabwenini, Mimi nikawa nimewekewa godoro nje nilale na yule boyfriend.

Kelele za wenzangu zisema nje ni hatari Kuna wadudu na wanyama, ingia ndani huku boyfriend ananishawishi tulale usiku umeingia then nikashtuka, mpaka leo sijaelewa maana ya hii ndoto.

jibu: Ufunuo 22:14-15. Unaambiwa upo nje ya mti wa uzima. Hamanishi haupo kanisani lakini upo nje ya Kristo. Muangalie sana huyo anayepanda pengu ya kiroho. Nani anayekulisha neno? Tatizo lipo hapo ndiyo maana wenzako wankwambia huko nje ni hatari. Hawawezi kukwambia upo nje wakati upo ndani.
 
Hii ya shule mm nimeota kama mara moja hivi ila ilinitia hofu mpaka nikatafuta mtu wa kutafsiri...kwanza ndani ya ndota nilikua najiuliza maswali kwa umri wangu huu how come nafanya mitihani ya form 6 while kwa mm nina age ya 35 ,mara nikajisemea ili nifaulu nabidi nirudi from 1 nikiwa na maana kwa kuanzia form 5 sitaweza faulu,pia naona mtu mwenye cheo kikubwa kama waziri hivi anatuamrisha kufanza usafi wa mazingira ya ya hiyo shule, nikajiuliza hizi shule za kishua si huwa wanafanyiwa usafi. basi nilivo amka nilikua na hofu... nikapata tafsiri kuwa kuna jambo nataka kulifanya ila linahitaji maandaliza...

mkuu wewe hapo unasemaje? maan mm nilihisi itaku anaenda kufir(l)isika au kuwa na maisha magumu.
 
Niliota nipo shule Kama mwanafunzi na boyfriend wangu ni Kati ya walimu wanaosahihisha mitihani.

Wakati wa usiku kulala wenzangu wote wapo mabwenini, Mimi nikawa nimewekewa godoro nje nilale na yule boyfriend.

Kelele za wenzangu zisema nje ni hatari Kuna wadudu na wanyama, ingia ndani huku boyfriend ananishawishi tulale usiku umeingia then nikashtuka, mpaka leo sijaelewa maana ya hii ndoto.

jibu: Ufunuo 22:14-15. Unaambiwa upo nje ya mti wa uzima. Hamanishi haupo kanisani lakini upo nje ya Kristo. Muangalie sana huyo anayepanda pengu ya kiroho. Nani anayekulisha neno? Tatizo lipo hapo ndiyo maana wenzako wankwambia huko nje ni hatari. Hawawezi kukwambia upo nje wakati upo ndani.

Ufunuo hajulikani kaandika Nani , ni watu walishiba kiti moto wakaota ajabu ajabu
 
kuna kipindi nilikua naota kua nko kwenye gari ila hilo gari halinitoshi! yaani nikikaa hapanitoshi humo ndani, au wakati mwingine naota nkiwa ndani sioni mbele[emoji848] sometime naota niko helpless kiasi siwezi kuliendesha!

ndoto nyingine ni kua naota napaa, mwanzo nlikua naweza kuota nmepaa ila baada ya mda naanguka, sometime naota napaa mpaka juu zaidi! na kuna wakati naota napaa ila kuna mtu(kitu) kinanivuta! kama miezi mi2 iliyopita nkaota napaa ila navutwa nkatumia nguvu nyingi kugeuka kuona nani ananivuta, ila uso wake ulikua umefunikwa japo niliweza kung'amua ni mwanamke! nlipojaribu kuufunua sikua na nguvu kabisa!


mtarimbo
1. Gari ni usafiri wa kukutoa mahali pamoja kwenda mahali pengine. Jambo gani unalifanya kwenye maisha yako ambalo linakutoa mahali pamoja kwenda pengine? mfano biashara, kilimo, kazi nk. Hilo unalilifanya si sahihi ndiyo maana unaoneshwa kwamba hutoshi humo. Haijalishi wewe unaona upo sahihi kwa macho yako. Jitathimini kwenye eneo hilo huku ukiuomba Mungu akuoneshe jambo sahihi la kufanya wewe si kukopi kwa watu wengine.

2.Kwenye maisha yako huwa unainuka na kushuka chini. Angalia mwenyewe ni kipengele gani huwa unainuka na kushuka? Lakini unaambiwa kuna mtu anayekushusha au anayekufanyia hivyo na umeoneshwa kuwa ni mwanamke. Fanya tathimini yako ni mwanamke gani kati ya wanaokuzunguka maana adui hatoki mbali Marko 14:44- Yuda msaliti alikuwa jirani na Yesu siku zote. (Hili lilinikuta mimi nikawa napambana kumjua ni nani ananisumbua lakini siku moja Roho mtakatifu akaniambia adui wa mtu hatoki mbali halafu yule mtu akaja kunisalimia hapo ndipo nikamjua. Kumbe nilishawahi kumuagiza kuninunulia vitu mjini lakini yeye akachomoa kimojawapo akatumia kunilogea. Nikashughurikia kwa maombi ile hali ikakoma)

Tahadhari vita za rohoni hatupigani kwa kuwafuata watu na kuwapigia kelele. Hilo utajisumbua tu. Pambana rohoni hukohuko mpaka ushinde ndipo utaona mabadiliko katika maisha yako ya mwilini.
 
Back
Top Bottom