Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Akili zako hazina akiliKila siku tunawaambia kuwa wale waliozungusha mikono ya mabadiliko 2015 mpaka leo akili hazijawakaa Sawa, ona huyu sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zako hazina akiliKila siku tunawaambia kuwa wale waliozungusha mikono ya mabadiliko 2015 mpaka leo akili hazijawakaa Sawa, ona huyu sasa
Echolima pita hapaKila siku tunawaambia kuwa wale waliozungusha mikono ya mabadiliko 2015 mpaka leo akili hazijawakaa Sawa, ona huyu sasa
Ni single mother.
Ina mafunzo mengi;
1. Wanaume wengi wakikosa mtoto wa kiume kwenye ndoa watamtafuta nje ya ndoa.
2.Wanaume ni wachawi, binti aliyekuja kwako akiwa 15 unaweza kulala nae akiwa mkubwa?
3. Jalala la tajiri si sawa na la maskini. Mume wa Fanta aliwatoa wazazi wa dada kwenye umasikini ingawa uhusiano wao ulikuwa si halali.
Na ndio uhalisia ulioko hapa Duniani.Ina mafunzo mengi;
1. Wanaume wengi wakikosa mtoto wa kiume kwenye ndoa watamtafuta nje ya ndoa.
2.Wanaume ni wachawi, binti aliyekuja kwako akiwa 15 unaweza kulala nae akiwa mkubwa?
3. Jalala la tajiri si sawa na la maskini. Mume wa Fanta aliwatoa wazazi wa dada kwenye umasikini ingawa uhusiano wao ulikuwa si halali.