Siri ya dada wa kazi na mume wa boss wake ni nzito

Alipata kazi Umoja wa Taifa Tanzania au Marekani alikokua akisoma?
Alipata ajira akiwa Marekani lakini aliletwa Arusha baadae alikwenda Addis Ababa Ethiopia
 


Kama itaendelea please kindly tag me!
 
Naombeni nielishwe, i thought determining factor ya mtoto kua wa kike au wakiume ni mbegu za baba, how comes wanawake tunalaumiwa sana na kuachika kwasababu ya hili swala and yet hatunaga upper hand on it? Au yai nalo lachagua mbegu?
 
Hujawai kufika mwisho,hivi hata kileleni uwa unafika kweli?
 
Na ndio uhalisia ulioko hapa Duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…