Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Pesa sio kila kitu kwenye mahusiano. Kimsingi wanawake wengi hatuhitaji pesa ila tunahitaji kuwa maintained tuendelee kung'aa kama mlivyotukuta hata na zaidi.
Maana wanaume mnatupendaga mkitukuta makwetu tunang'ara mnapambana hadi mnatuoa huku mnajua kabisa tunahudumiwa, halafu miezi6 mnatuchakaza tunachakaa vibayaaa. Mtuhudumie tusianze kukumbuka makwetu na kurudi kuomba matumizi kwa wazazi
PESA
PESA ndio kila kitu
Tafuta hela
KabisaMajukumu neno pana sana lakini majukumu ya ndoa ni neno dogo kama kutakua na upendo na utii.
Makubaliano bila kutimiza majukumu kati ya wanandoa kwa upendo ni utumwa kama sio utapeli
Kuwekewa maji bafuni katika upendo ni furaha kwa muwekaji mwenyewe japo muwekewaji asiye na upendo anaweza geuza ikawa utumwa
Wanandoa wanaweza kutimiza makubaliano iwapo kuna uwajibikaji wa majukumu kwa upendo
Wanawake wasikuizi bila pesa hayaendi wakuu, na hata kama huyo mwanaume anamaisha ya kawaida ila yupo na mwanamke ujue huyo mwanamke katoka either kwenye maisha ya shida au alikuwa single mother, kwa sikuizi kunakasumba unaenda ukweni kujitambulisha mama/baba mkwe anakuuliza unafanya kazi gani? Na ilitokea kwa kaka yangu hivyo sometimes unaweza jenga urafiki na huyo mwanamke baada ya kumuoa akawa nayeye analeta urafiki kinafiki tu.So, PESA inatosha kusolve kila kitu kwenye mahusiano? I mean ukiwa na pesa basi umesha-win mahusiano bora yenye afya?
Pls mama D tena, before uende kwenye majukumu muhimu 🙂
Utahudumiwa bila ya mwanaume bila pesa? Hizo ni ndoto, haya mwanaume ambaye bdo anatafuta maisha ni masikini tu ambae akipata pesa anahitaji kutafuta mradi fulani maisha yaende.Pesa sio kila kitu kwenye mahusiano. Kimsingi wanawake wengi hatuhitaji pesa ila tunahitaji kuwa maintained tuendelee kung'aa kama mlivyotukuta hata na zaidi.
Maana wanaume mnatupendaga mkitukuta makwetu tunang'ara mnapambana hadi mnatuoa huku mnajua kabisa tunahudumiwa, halafu miezi6 mnatuchakaza tunachakaa vibayaaa. Mtuhudumie tusianze kukumbuka makwetu na kurudi kuomba matumizi kwa wazazi
Mkiwa marafiki hata kusameheana ni rahisi.Umeshawahi kujiuliza kwa nini kuna jamaa mke wake unamuona wa kawaida sana lakini wanaishi kwa amani kabisa na wanapendana ?
Ni kwa sababu wamekuwa marafiki ndani ya ndoa,siri ya rafiki hata awe mbaya kiasi gani hauwezi kuchagua sura yake akiwa mshkaji ndio mshkaji huyo.
Tell them, mama D .Hakuna anayedai pesa ila familia inataka kula, kulala, kuvaa.... Majukumu lazima yafanyike kadri ya mahitaji ya kila mwanandoa
Mwanaume ni kichwa na kiongozi wa familia💥
Kwa hiyo upendo mwisho wake ilikuwa karne ya ngapi vile? Au, hivi kuna wanandoa ambao pesa si kipaumbele sana, ila muhimu kwao ni upendo?Wanawake wasikuizi bila pesa hayaendi wakuu, na hata kama huyo mwanaume anamaisha ya kawaida ila yupo na mwanamke ujue huyo mwanamke katoka either kwenye maisha ya shida au alikuwa single mother, kwa sikuizi kunakasumba unaenda ukweni kujitambulisha mama/baba mkwe anakuuliza unafanya kazi gani? Na ilitokea kwa kaka yangu hivyo sometimes unaweza jenga urafiki na huyo mwanamke baada ya kumuoa akawa nayeye analeta urafiki kinafiki tu.
But, nani anayependa maisha ya umaskini? Hata Mzee MATONYA new hawezi kuliafiki hilo ^car-bee-sir!^Utahudumiwa bila ya mwanaume bila pesa? Hizo ni ndoto, haya mwanaume ambaye bdo anatafuta maisha ni masikini tu ambae akipata pesa anahitaji kutafuta mradi fulani maisha yaende.
Ataweza kukuhudimia ipasavyo wakati pesa yenyewe yakubangaiza? Akuhudumie alafu mlale njaa siutalalamika! In short wanawake wengi mnapenda kuolewa kwenye maisha mazuri, na hapo urafiki na huyo mwanaume kutakuwa hamna
Pole endelea kununua Mapenzi mkuuPESA ndio kila kitu
Hapo kwenye muda naona wengi hua tunakosea sana.Urafiki unajengwa kwa
1. Muda
2. Isionekane mmoja yuko kwenye ndoa kwa sababu
3. Upendo
Mwanamke akiwa desperate ataolewa na mtu ambae huenda asimpende ial atataka tu heshima ya ndoa na watoto..bas hapo hesabu maumivu na hata sku1 urafik huwez upata hapa
Nmeongelea mwanamke sabab mara nying mwanaume ndio anaependa na ndomana anamfata mwanamke kumtongoza..mwanamke yeye ni mpokeaj..anapenda mbelen huko
So ukizingatia haya juu..kuna uwezekano ukawa na urafik na mwenza wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana nimempikia mshkaji wangu pilau ya kitimoto.
Tatizo watu wanajua majukumu ya kumlisha mwenza wako na kumvisha na vitu kama hvyo au kumheshimu, kuhudumia watoto, kushiriki tendo la ndoa kikamilifu na kuweka nyumba ktk hali ya usafi ndo basi mtu kamaliza lakin kuna wakati mwingine wanandoa wanaishi Hakuna kubebishana, kusikilizana, kufarijiana mmoja wenu anapokuwa ktk wakati unaomuumiza yaan mtu akishaleta chakula au yale majukumh common basi anaona kamaliza wakat mume/mke wake anahitaji uwepo wake kwa hali nyingineFuraha ya ndoa ni kila mtu kubeba majukumu yake kwa uaminifu. Kwa maneno mengine: ^Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake!^
mama D