Siri ya Furaha ya ndoa ni kuishi wanandoa kama marafiki (washkaji) wawili

Siri ya Furaha ya ndoa ni kuishi wanandoa kama marafiki (washkaji) wawili

neno TU nimeliweka mimi kusisitiza mapungufu ya hoja yako
Alaa basi Mapungufu hayapo kwenye hoja yangu,bali mapungufu yapo kwenye neno lako "TU" ambalo unasema umeliweka mwenyewe.

Hoja yangu ni urafiki kwenye ndoa,na wala sio "URAFIKI TU" kwenye ndoa.

I hope umeona namna unavyouoinga udhaifu ambao umeuweka mwenyewe.😄
 
Alaa basi Mapungufu hayapo kwenye hoja yangu,bali mapungufu yapo kwenye neno lako "TU" ambalo unasema umeliweka mwenyewe.

Hoja yangu ni urafiki kwenye ndoa,na wala sio "URAFIKI TU" kwenye ndoa.

I hope umeona namna unavyouoinga udhaifu ambao umeuweka mwenyewe.[emoji1]
Umeamua kubadili mada??
 
Nakubali mkuu

SIo king tu,hata queen anahitaji respect vinginevyo uwe na maana yako ya respect mkuu.

Lakini queen anahitaji respect na king anahitaji respect pia.

Nadhani umeshuhudia namna hata BABU zetu walivyowaheshimu BIBI zetu na BIBI zetu walivyowaheshimu BABU zetu ama sivyo ?

Kama sivyo naomba unipe wewe tafsiri ya respect ni ipi ili tuitie kwenye mizani tuone kama mke haihitaji hiyo respect.

Hata king anahitaji love vinginevyo uwe una tafsiri yako maalumu ya nini LOVE.

Nadhani wewe ni shahidi namna ambavyo MABIBI ZETU(queens) waliwapenda MABABU ZETU(kings)ama sivyo ?

Kama sivyo lete tafsiri ya love alafu tuone kama kweli Kings hawahitaji.

Nakubali mkuu

SIo king tu,hata queen anahitaji respect vinginevyo uwe na maana yako ya respect mkuu.

Lakini queen anahitaji respect na king anahitaji respect pia.

Nadhani umeshuhudia namna hata BABU zetu walivyowaheshimu BIBI zetu na BIBI zetu walivyowaheshimu BABU zetu ama sivyo ?

Kama sivyo naomba unipe wewe tafsiri ya respect ni ipi ili tuitie kwenye mizani tuone kama mke haihitaji hiyo respect.

Hata king anahitaji love vinginevyo uwe una tafsiri yako maalumu ya nini LOVE.

Nadhani wewe ni shahidi namna ambavyo MABIBI ZETU(queens) waliwapenda MABABU ZETU(kings)ama sivyo ?

Kama sivyo lete tafsiri ya love alafu tuone kama kweli Kings hawahitaji.
I real man does not look for love in a relationship.

Mkuu nina hofu nita do too much kukuelezea
Ngoja nijarbu.

Nikurudishe kidogo kweny sayansi ndogo ya sumaku
Kwakuwa polarity ya mwanaume na mwanamke kweny mahusiano inaweza ikaelezewa katika mfuma qa ncha za sumaku

Unapokuwa kwenye mahusiano na mwanamke ili ku maintain hiyo ndoa lazima mmoja amaintain masculine energy na mwingine feminine energy haijalishi nani masculine nani feminine kati yao wawili.
Thus why utaona kuna ndoa mama ana sauti au ndio top dog.

Man up bro! Do not let a woman to befriend you.
That will graduate you to her gay friend.


Ninapokwambia man anahitaji respect na mwanamke love

Bro hata sijui nitumie perspective gani maana
Nikujibu kama Pro Pimp.
Sijui nitumie cheek slaying bible.
Au nitumie Superior Divine masculine guidelines.

Ngoja nitumie uswazi codes.
Unataka kuwa na good relationship na washikaji , masela, mwanaume yoyote yule a key is to show em respect and not love.

Ladies.
Man do i respect my girlfriend?
HELL NO!
BUt i love her, i complement her, i make love to her, when ever she is insecure i let her know i love her.
Whenever she is mad it me , i pull her close and make love to her.
Love love love is what she need.
I stand on my ground maintaining my masculine core value .

Wale janaa wa Tafuta Hela unajua wanatakaga nin? Respect

Instagram models wanaseek attention and validation from men
Which is love.

Your woman challange you fight you if she dont get that love .

Bro
I am not a white boy follower but you can read bible utajifunza huko kuhusu haya nakwambia.
 
Ngoja nitumie uswazi codes.
Unataka kuwa na good relationship na washikaji , masela, mwanaume yoyote yule a key is to show em respect and not love.
Mke sio sawa na washkaji,kumfananisha mke na mshkaji haimake sense hata kidog.
Mkuu nina hofu nita do too much kukuelezea
Ngoja nijarbu.
MKuu huwenda hujaielewa vizuri concept ya masculinity na ndio maana inakupa shida kuielezea,ungekuwa umeilewa ungeifafanua vizuri sana.
Whenever she is mad it me , i pull her close and make love to her.
swali langu la msingi nilikuuliza kuhusu love kwamba nipe tafsiri ya love alafu tuone kama kweli Kings hawahitaji hiyo love kutoka kwa wake zao ?

hoja sio kusema kwamba mke anahitaji love,fafanua ili iwe love iweje then tuweke kwenye mizani kama mume haihitajii hiyo love ?

haya mambo hatutakiwi kukariri lazima tuyaelewe sana mkuu wangu.

lakini pia NIKSKUULIZA tafsiri ya respect ni ipi ili tuitie kwenye mizani tuone kama mke haihitaji hiyo respect. naye ?

ili tuone kwamba mke kweli hahitaji kuwa respected na mumewe ?

Ili tuone kwamba mfu ambaye analea watoto wako hahitaji kuwa respected?
Ili tuone mtu ambaye mnashare miili kwa sex hahitaji kuwa respected ?
Ili tuone kwamba mtu ambaye ana tunza nyumba na kukuhudumia mahitaji ya nyumbani kweli hahitajii respect ?

Naomba ufafanuzi wako mkuu nahisi bado hujaelezea ama UNAELEZEA kitu ambacho bado hujakifahamu yaani umekunywa cocept.
 
Kuna wazee wanatudanganya ili uishi kwa furaha ndani ya ndoa "oa rafiki yako" , ila sisi vijana tukijaribu kuoa marafiki zetu ili tuendeleze urafiki wetu ndani ya ndoa wanatukataa katakata.
 
Unataka nitoe definition ya love?
Nilijaribu kukuonyesha nmna gani love na respect vinafanya kazi kwenye mahusiano ya mwanamke na mwanaume.

Kama unataka kuanzisha mahusiano na mwanamke na kigezo unachokiangalia au unachokitafuta ni love , bro nivema ukajitazama.

Love love
Love is not real
Love is God
God is imaginery

Love,hope, fear na mengine mengii
Ni miongoni mwa vitu fake na ni vitu ambavyo baadhi ya watu wajanja tunavitumia kuwahadaa watu wengine najua huwez nielewa.

The same way mkoloni alikuja na hope and love

What do you say about men who are seeking attention and validation from other men.

Mara ya mwisho lini ume show love kwa baba yako?

Love is for women bro
Come on bro.

Mimi sitakupa definition ya love.
Ila kwa ndoa inayodumu na mahusiano yanayodumu.

Lazima mwanamke awe na hofu ya Mwanaume wake lazima awe na respect.
Unajua nin anachovuna baada ya kushow respect?
She get some love.

Hivi unajua respect inavyopatikana?

Its only a man that deserve respect.

Unajua nin kitatokea kama mwanamke atataka apewe respect na mwanaume wake?
She will grow some balls and beards which is not good for a woman.
No masculine man will make love to a woman with balls.
Hakutakuwa na ndoa hapo.
Gues what happen to a wife with bigger balls than his husband watoto watamchukia.

Mkuu naona umekuwa emotional kuona kama nawa under estimate women.
No bro
Women wana offer vingi sana kuliko wanaume kweny huu ulimwengu.
Kusema hawa desrve respect unaona kama siwapi haki yao.

Bro nani anaenufaika kati ya anae gain love na respect?

Respect inatafutwa inapiganiwa.
But do women fight for love?

Love is unconditional.
Wanaume tuna upendo kuliko wanawake. Do i need to justfy this?

What makes a real man happy???
Respect.
Respect mwanaume anaipata kupitia mambo haya?
Purpose in life, kama ni famly guy una gain respect after takin care of your family.
Masculine man core is respect not love.


Unajua kina nani wana fight for women right?
Feminist
They are lookin for equality.


So mwanaume love unaenda kuifanyia nin?
What am going to do with the love.



Can we do a podcast togther? Tutajadili kuhusu hili
If I invite you would you be ready for that?




Mke sio sawa na washkaji,kumfananisha mke na mshkaji haimake sense hata kidog.

MKuu huwenda hujaielewa vizuri concept ya masculinity na ndio maana inakupa shida kuielezea,ungekuwa umeilewa ungeifafanua vizuri sana.

swali langu la msingi nilikuuliza kuhusu love kwamba nipe tafsiri ya love alafu tuone kama kweli Kings hawahitaji hiyo love kutoka kwa wake zao ?

hoja sio kusema kwamba mke anahitaji love,fafanua ili iwe love iweje then tuweke kwenye mizani kama mume haihitajii hiyo love ?

haya mambo hatutakiwi kukariri lazima tuyaelewe sana mkuu wangu.

lakini pia NIKSKUULIZA tafsiri ya respect ni ipi ili tuitie kwenye mizani tuone kama mke haihitaji hiyo respect. naye ?

ili tuone kwamba mke kweli hahitaji kuwa respected na mumewe ?

Ili tuone kwamba mfu ambaye analea watoto wako hahitaji kuwa respected?
Ili tuone mtu ambaye mnashare miili kwa sex hahitaji kuwa respected ?
Ili tuone kwamba mtu ambaye ana tunza nyumba na kukuhudumia mahitaji ya nyumbani kweli hahitajii respect ?

Naomba ufafanuzi wako mkuu nahisi bado hujaelezea ama UNAELEZEA kitu ambacho bado hujakifahamu yaani umekunywa cocept.
 
Mkuu
Wewe unatatizo na mama wa nyumbani?

Wewe hutaki mkeo afanye kazi zake za nyumbani badala yake unataka nayeye akapambane kama wewe
Ndo maana mnaonekana inferior because you have nothing to offer than sex

Mwanamke anabidi kuwa hustler Mpambanaji sio kufugwa na kutombwa to his whole life
 
Unataka nitoe definition ya love?
NDIO kwa sababu ndio italeta hitimisho na kipimo sahihi cha kujua nani haihitaji hiyo love,so kuleta definition kutaonesha namna gani hata wewe umeelewa concept ya masculinity.
Nilijaribu kukuonyesha nmna gani love na respect vinafanya kazi kwenye mahusiano ya mwanamke na mwanaume.
Unaonesha kitu ambacho sijakihitaji,unaonesha kitu ambacho sio mjengo wa hoja yangu,unajibu suala ambalo sijaliuliza,

una maelezo mazuri mkuu Lakini shida ni kwamba unatoa maelezo ambavyo hayajibu maswali yangu.
Kama unataka kuanzisha mahusiano na mwanamke na kigezo unachokiangalia au unachokitafuta ni love , bro nivema ukajitazama.
Bado hujatoa maana ya love ama vipimo vya kuijua kwamba hii ni love,na hapo ndipo ulipo msingi wa swali langu ulipo.

Kama unataka kuanzisha mahusiano na mwanamke na kigezo unachokiangalia au unachokitafuta ni love , bro nivema ukajitazama.
Lakini pia mbona hii hoja ndio unaileta wewe mkuu,mbona mimi nimegusia sana suala la urafiki na wewe ukaja na suala la LOVE ?

ULipokuja na suala la love lazima uje kufafanua love ni nini badala yake umeleta hoja ya LOVE kwemyewe lakini tafsiri tu ya what is llove hutoi why mkuu ?
Love love
Love is not real
Love is God
God is imaginery
Hapa bado hujatoa tafsiri ya love,na huo ndio mzizi wa swali langu Mkuu.

Hoja ya love umeileta mwenyewe so unao wajibu wa kuelezea umma ni kitu gani hicho ?
najua huwez nielewa.
Utaeleweka vipi wakati maswali ya msingi unasema hauwezi kuyajibu mkuu wangu ?

Yale ambayo Umeyaleta kuyaelezea yakaeleweka bado hujayaelezea,lakini unaelezea vitu simple ambavyo haviendaji na yale ambayo nimetaka uyafafanue.

Hivyo ili ueleweke lazima ujikite kwenye maswala ya msingi niliyokuuliza kwani ndo ufahamu utaanzia hapo.
What do you say about men who are seeking attention and validation from other men.
Na wewe unasemaje kuhusu definition of love and respect ?

Kumbuka hujajibu maswali ambayo mimi ndio wa mwanzo kuuliza,vipi unapata haki ya wewe kuniuliza mimi wakati una deni langu mkuu ?
What do you say about men who are seeking attention and validation from other men.
unaposema attention lazima uifafanue .
Unaposema validation lazima uifafanue.

UKishafafanua hayo maneo ndio unaweza kuwa na haki ya kuniuliza nasemaje kuhusu huyo men.

Kama hujafafanua maana ya hayo maneno mimi najuaje kwamba uliposema attention umekusudia kitu fulani ?

Mara ya mwisho lini ume show love kwa baba yako?
Fafanua kwanza LOVE ni nini na inapimikaje ?
Kumbuka wewe ndio umeleta hoja ya love,hivyo hautakiwi kukwepa kuelezea what is love ?
Love is for women bro
Come on bro.
SWali la msingi ni what is love ?
Love is for women bro
Come on bro.
Huko juu ulisema hivi nanukuu

"Love,hope, fear na mengine mengii
Ni miongoni mwa vitu FAKE..." mwisho wa kunukuu.

kwa mujibu wa maneno yako hapo juu maana yake love ni kitu fake sio kitu real,alafu hapa unasema LOVE IS FOR WOMEN kwa maana hiko kitu fake (love)is for womem.

Masculine men hawezi kuhamaisha kitu fake.
Masculine men hawezi kutoa kitu fake kwa mwanamke ambacho ni love maana ulisema mume ndio anatakiwa atoe love kwa mke,so utaona namna gani UNAHAMASISHA WANAUME tutoe kitu fake(love) kwa wake zetu.

hivyo point zako zenyewe zinajigonga,masculine men hawezi kutoa kitu ambacho sio real.
Vinginevyo toa maana ya LOVE NI NINI KUEPUSHA MGONGANO HUU UNAOTOKEA KWENYE HOJA ZAKO MWEMYEWE.

Mimi sitakupa definition ya love.
KAma hautoi definition basi tuufunge mjadala mkuu maana mzizi wa maswali yangu yapo hapo,na wewe hutaki kujibu maswali yangu lakini wewe unataka uulize na ujibiwe,so why tuendelee na mjadala ambao mhusika mmoja anachagua tu kwa makusudi KUTOKUJIBU mambo aliyoulizwa na mwenziwe ?
Hivi unajua respect inavyopatikana?
Respect ni nini kabla ya kujua inavopatikana mkuu ?
Unajua nin kitatokea kama mwanamke atataka apewe respect na mwanaume wake?
Swala la msingi ni kwamba Respect ni nini ?
Mkuu naona umekuwa emotional kuona kama nawa under estimate women.
Hapana mkuu bado nipo na kuhoji juu ya hoja ulizotoa mwenyewe hapa vinginevyo uniambie kwamba kuhoji maneno ya mtu mwenyewe ni kuwa emotional,yes.
Kusema hawa desrve respect unaona kama siwapi haki yao
Unakuja alafu unakataa,unakujq alafu unakataa,unakuja alafu unakataa.

(Unakuja kwa maana unakubali mwanamke ana deserve respect,lakini ukiendelea unakataa kwamba respect is not for them,😄😄)

Okay swali langu la msingi respect ni nini na mtu afanye vipi ili aonekane ametoa respect kwa mtu fulani ?
Bro nani anaenufaika kati ya anae gain love na respect?
Nipe maana ya respect ni nini ?

Mbona maswali yangu haujibu alafu wewe pia unataka kujibiwa wakati una viporo vya maswali yangu mkuu ?
Respect inatafutwa inapiganiwa.
But do women fight for love?
Love ni nini ?

Respect ni nini ?
Respect mwanaume anaipata kupitia mambo haya?
Purpose in life, kama ni famly guy una gain respect after takin care of your family.
Masculine man core is respect not love.
Mkuuhata mwanamke atakiwakuwa kuwa na purpose in life.
Ata mwanamke hutakiwa kutake care ya familia yake

Unafahamu vizuri namna dhana ya masculinity inavyomtaka mwanamke awe ni muwajibikaji katika nyumba yake kulea watoto na kufanya kazi za ndani na kumhudumia mumewe NA HUU NDIO ULIKUWA MWENDO WA WAZAZI MABABU NA MABIBI na huku nako ni kutake care of the family.

So unaona namna ambavyo vitu unavyovitaja hata mwanamke yuko navyo na anavifanya ?
Unajua kina nani wana fight for women right?
Feminist
They are lookin for equality.
SIjawazungumzia popote movement za feminist bali hiyo hoja unaileta wewe mkuu wangu.
So mwanaume love unaenda kuifanyia nin?
What am going to do with the love.
LOve ni nini mkuuuuuuuuuu ?
Can we do a podcast togther? Tutajadili kuhusu hili
If I invite you would you be ready for that?
Nipo tayari mkuu na tutakuwa pamoja katika kujadili hizi mambo nashukuru sana.
 
Back
Top Bottom