Siri ya Jumapili, Waweza kujua ukubwa wa maumbile ya mwanaume kwa kuangalia vidole pekee, vidole vinaeleza mengi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Elimu ni bahari haina mwisho, Leo nawapa darasa la kibailojia linalotoa elimu kuhusu njia ya kufahamu ukubwa wa maumbile ya mwanaume

Pindi nikiwa nasoma boarding kuna rafiki alikuwa anapenda sana kujua mambo ya miili ya watu, aliwahi kutuelimisha urefu wa mtu unaaweza kupimwa akinyoosha mikono yote, watu wengi wana makovu kidole cha shahada mkono wa kushoto, kupima urefu wa mguu kwa mkono unaponunua kiatu, n.k. ni mambo yaliyokuwa yakitushangaza.



Kuna siku akatupa maarifa mapya kwamba kidole cha shahada kikiwa kifupi kuzidi cha pete uume huwa ni mdogo, kidole cha shahada kikiwa kirefu kuzidi cha pete uume huwa ni mkubwa, vikilingana uume ni wa kati ama mkubwa, ilileta gumzo na tulidhani ni masikhara.



Hio ishu ilisambaa sana pale shuleni, tukaanza kukaguana vidole tu maana size tulikuwa tunajuana tukiwa tunaoga bafuni asubuhi, tulishangazwa sana kwamba vidole vya mtu vinaweza kuwa kipimo cha maumbile, ila uzuri enzi hizo mambo ya ukubwa wa maumbile hayakuwa ishu kama siku hizi.

1. Kidole cha shahada kirefu kuzidi cha pete




2. Kidole cha shahada kifupi kuzidi cha pete

 
Kwa Ke vidole vya miguuni baina ya kidole gumba na kinachofuata.

Kingine ni mdomo japo ni kwa asilimia chache sana.
 
Ndo maana baadhi ya Wanaume wanahangaika sana na maumbile ya wengine wala hawajifichi, kumbe ni tabia tangu shule.
 
uko sahihi , mi nikitaka kujua ukubwa wa sehemu za mwanamke namuangalia mdomoni, ukubwa wa mdomo unaelezea mengi, na mara zote nakuwa sahihi
 
uko sahihi , mi nikitaka kujua ukubwa wa sehemu za mwanamke namuangalia mdomoni, ukubwa wa mdomo unaelezea mengi, na mara zote nakuwa sahihi
Hio niliwahi kuisikia lakini vipi kama mwanamke ni bikra ?
 
Mawazo ya kijinga ndivyo watanzania tulivyo1 Is this news? what is strange with female parts?
 
Uzi nyingine bwana daah😂😂😂. Muandishi wa nyuzi unatulia zako bar unaangalia vidole vya wanaume wenzako unasema” daaah jamaa ana kauboo kadogo” *****😂😂😂😂, si semi ww ni shoga, kitamaduni epuka huu usenge, kuna vitu moyo wako ukikutuma uandike achana navyo hata kufikir kama mtoto wa kiume mdogo wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…