Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its better kuweka jitihada katika kujifunza. Badala y kutegemea kuambiwa kila kitu ni vema kuperuzi mitandaoni kupata taarifa zaidi ina saidia kuufanya ubongo upate maarifa zaidi.Umeanndika kimapokeo sana.
Lakini andiko lako linaashiria mantiki ya kisayansi, hivyo basi uaweza kuweka mambo sawa kwa kuleta uthibitisho.
Usipoleta ama ukazua ubishi basi mtu yeyote mwenye akili timamu lazima atapuuza hili andiko.
Kwenye andiko lipi nilisema.? Au wap umeona Kwa kumbukumbu zangu siwah andika kitu kama hichoWe si huwa unasema haujaolewa,watoto umetoa wapi sasa?[emoji848]
Katika mwili wa mwanamke kuna hormones ambazo haumsaidia katika kuujenga mwili wake na kumfanya kuwa mwanamke imara kibaiolojia.
Kuna kitu kipo very common kati ya binti bikra ambaye hajaingiliwa kabisa na mwanaume, House girl ambaye anaweza kukaa hata miaka 3 akiwa kazini bila kufanya mapenzi,na mke wa mtu ambaye halali na mtu mwingine nje ya mumewe tu.
Hawa watu watatu wanajambo moja ambalo wanafanana. Miili yao huwa inaachia aina fulani ya jasho ambalo ni nadra sana kulipata kwa mwanamke anayefanya mapenzi kila mara na kuingiliwa na wanaume tofauti.
Mwanamke hajaumbiwa mwili wake kuguswa guswa na kila anaeutamani. Ndio maana ukitazama kwa wenzetu Waarabu na wahindi mwanamke huwa hashikwi na mtu zaidi ya mume wake na kuguswa na mtu mwingine ni offense kubwa sana inayoweza leta shida.
Mwanamke wa aina hii ambaye mwili wake hauguswi na mtu nje ya mumewe huwa unakuwa na msisimko unaokaribia ule wa binti ambaye ni bikra. Mwili unaposisimka huwa unasababisha mapigo ya moyo kupanda na kuongeza kasi ya mzunguko wa damu na kupelekea mwanamke kutokwa na jasho safi,ndani ya hili jasho ndipo hiyo hormone maalumu hutolewa kutokea kwenye mfumo wa hormones na damu.
Hii harufu ya jasho safi huwa ni very addictive na mwanaume anapoinusa humpa utulivu wa akili ( mithiri ya mtu aliyekuwa na maumivu makali ya kichwa kisha akapewa painkiller inayofanya kazi haraka sana kutibu maumivu) na imani kuwa mwanamke huyu ni msafi wa mwili na roho na hufanya mwili wake kuamsha hormone ya kiume inayompa utayari wa kuingiliana na huyo mwanamke hata kama hakuwa na hamu wala wazo la kufanya mapenzi.
Wanaume ambao katika maisha yao wameshawahi kuwa kimahusiano na mabinti bikra watanielewa vizuri sana bila kutumia nguvu nyingi ya akili sababu wanalijua hili jambo.
Jiulize ni kwann wanaume wapo obsessed sana na mabinti wa shule ambao wapo katika rika la kuvunja uongo au mabikra na ma'house girl hata kama huyo house girl anaweza asiwe anamfikia mkewe kwa uzuri?
Pia kuna hormone ambayo huwajibika na kuusisimua mwili especially eneo la uke na kuipa misuli ya ukeni nguvu ya kuubana uume mara tu unapoingia eneo lake na kutengeneza msisimko wa ajabu kwa mwanaume na mwanamke.
Hii hali ni ngumu sana kuiona miaka hii ambayo watoto wa kike wanaanza kuingiliwa wakiwa wadogo na walala na wanaume wengi kwa wakati m'moja lakini pia wanawake ambao wanasaliti ndoa zao kila kukicha,huko makazini wanashikwa shikwa viuno na wanaume mara watekenywe mbavu mara wakumbatiwe kwa nyuma ni ngumu kuruhusu mwili kutengeneza hizo hormones maalumu ambazo hufanya tendo la ndoa kuwa tiba ya asili ya stress.
Ni ngumu sana kwa wanaume wa sasa kuelewa nilichoandika sababu ya kukutana na wanawake wakiwa tayari ni wa baridi,wameshatumika na hawana tena jasho lenye hizi hormones maalumu. Wengi wanajasho chafu ambalo mwanaume akilinusa halina mating effect yoyote zaidi ya kumkera.
Mwili wa mwanamke ukitunzwa na kutoguswa na wanaume zaidi ya yule m'moja tu huwa unatuma body signals nyingi sana kwa mwanaume kumwambia kuwa huyu mwanamke ni muaminifu na hana mtu mwingine anayegusa wala kumuingilia. Mwanaume anaweza kuwa na mashaka kwenye kauli zake ila akili yake itamwambia mambo tofauti kutoka ana anachokipata kila akigusana na mwili wa mwanamke wake ambaye hauguswi na mtu mwingine.
Kuna sababu kwann vitabu na mafundisho vinaelekeza mwanamke kuolewa akiwa bikra na pia hatakiwi kusogelea hata kuthubutu kuwa na mazoea na mwanaume mwingine nje ya yule aliye nae.
Nonsense mind!That's your prerogative not my problem. Kama umeshindwa ku comprehend issue ndogo kama hii it shows u how lacking u r in the area of intelligence. Good luck figuring life with such insufficiency in brain charge.
Wewe uliharibu usichana wako mapema soo tulia mabinti zako waelimishwe..Uzoeshe ubongo kuandika vitu vya msingi mkuu