Siri ya kibaiolojia katika mwili wa mwanamke ambayo wengi hawaifahamu

Wewe Zemanda unazijua siri za mwanamke?
Inategemea na siri gani unaongelea,mfano siri za demu wako mimi hata sizijui? Unaongelea siri gani za mwanamke?🤔
 
Waarabu issue yao na wanawake ni controlling tuu, na wanawake wao utakuta wana bikira lakini marinda hakuna
Una amini unachokisema au unakizungumza tu sababu huwa unasikia watu wakisema?
 
Hormorn zina majina yanayoeleweka. Hebu tujuze majina ya hizo hormones ili tuzijue kwa uhakika.
Zipo na zina majina yake. Do your homework my friend. That's how you understand something better. Go online and search.
 
Umeanndika kimapokeo sana.

Lakini andiko lako linaashiria mantiki ya kisayansi, hivyo basi uaweza kuweka mambo sawa kwa kuleta uthibitisho.

Usipoleta ama ukazua ubishi basi mtu yeyote mwenye akili timamu lazima atapuuza hili andiko.
Its better kuweka jitihada katika kujifunza. Badala y kutegemea kuambiwa kila kitu ni vema kuperuzi mitandaoni kupata taarifa zaidi ina saidia kuufanya ubongo upate maarifa zaidi.
 
Kuandika mambo kama kisayansi halafu hamna evidence ni uchawi!!!!!!....
 
Kumekucha
 
That's your prerogative not my problem. Kama umeshindwa ku comprehend issue ndogo kama hii it shows u how lacking u r in the area of intelligence. Good luck figuring life with such insufficiency in brain charge.
Nonsense mind!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…