The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Usichukulie foleni kua ni tatizo kwako, fanya ni kitu cha kawaida
Ndio kukubaliana kwenyewe na hali halisi huko, ila nikaona sio lazima niishi Dar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichukulie foleni kua ni tatizo kwako, fanya ni kitu cha kawaida
poa mkuu umesomeka...ila avatar yako2 ndo huwa inchekesha..Haha,,haswa ubwabwa ukiwa wa nazi na haragwe la nazi,,
Kazi kwelikweli hizi tafiti, tunatakiwa tuangalie miaka ijayo kwa jicho la matumaini sio la hofu za kupitilizaHahhha nimecheka sana leo loh hizi tafiti nyingine bana, Inawezekana hata kufanya utafifiti juu ya umri wa kuishi ikapunguza umri wa kuishi wa anayetafiti (utafiti mwingine tena huo)
Ndio inavyotakiwa kwani hata nadharia za kina Aristotle zilifanyiwa kazi mwisho wa siku vikatoka vitu ambavyo ni comprehensive, ila ukimaliza KUZITAFITI HIZO TAFITI urudi JF ili na mie NIITAFITI TAFITI yako