Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Wanamajlis,
Mie nihangaike nini?
Mimi nasomesha.

Paper naandika.
Mialiko ya kuzungumza napata kutoka kila kona ndani ni nje ya nchi.

Mwezi ulopita BBC wameniomba niwe mmoja wa wazungumzaji kutoka Tanzania katika kuadhimisha Miaka 100 ya.Vita Kuu Vya Kwanza.

Hivi majuzi nimetoka Ulaya kwa mwaliko.

Karume Day nimesikika kote nikieleza historia ya Abeid Amani Karume.

Publishers wakubwa wanamiminika kunipa miswada niifanyie uhariri.

Magazeti yanagongana kuniomba niwe columnist wao.

Watafiti wa historia ya Afrika kutoka sehemu nyingi duniani hawapungui kwenye study yangu.

Hii ni dalili ya mtu anaehangaika?

Nilitoa changamoto.
Aandike kitabu anaeweza kupinga kitabu cha Abdul Sykes.

Sijui ni mwaka wa ngapi sasa hili limeshindikana.

Lililowezekana ni kuzomea, kejeli, matusi na kebehi...

Unafahamu kwanini wengi hao uliowataja wanakuunga mkono?

Jf imeanzishwa juzi tu 2007, wakati wewe ulianza uongo tangu ukiwa mdogo na leo hii umezeeka, hivyo hukuwa na wapingaji tangu mwanzo ndiomaana leo unalazimika kukesha jf kuutetea uongo wako.
 
Unafahamu kwanini wengi hao uliowataja wanakuunga mkono? Jf imeanzishwa juzi tu 2007, wakati wewe ulianza uongo tangu ukiwa mdogo na leo hii umezeeka, hivyo hukuwa na wapingaji tangu mwanzo ndiomaana leo unalazimika kukesha jf kuutetea uongo wako.
Haha..jibu murua...mkumbushe akaze makalio na avae jinsi si msuli..kwani sasa hakuna kudanganya bure.Hata km yupo additced kwa uongo.
 
Anasema anatoa darsa huku anatoa sumu
hata watoto wao hawasomi shule,wapo busy na kuwa wanajua historia ya dar tangu ikiwa mzizima.Masikini wanatofautiana na wengine ktk kila kitu,kuanzia hesabu,kuja dini,kuja historia ..waow ana historia yao ya vilabu vya dar,ya tanganyika na ya Dar..wana set yao ya mashujaa.Ndio maana ktk serious positions lazima reference zitoke kwa hao wazee wao ili wapewe nafasi za fadhila...hivi umeshwahi kuta mtu anayeitwa darwesh km si mganga ni tapeli.Huyu mzee ni mmojawapo.Wanaomualika ni akina Dau na hela zetu NSSF..sijui nazo wazee wake alizitoa na kukusanya?
 
Singapipi,
Ulisema naandika ngano.
Nimekuwekea vitabu na paper zangu.

Bado sijapata mrejesho wowote kutoka kwako.
Wenzako kwa kawaida hurejea na matusi.

Vipi wewe leo ya tatu uko kimya?
 
Singapipi, Ulisema naandika ngano. Nimekuwekea vitabu na paper zangu. Bado sijapata mrejesho wowote kutoka kwako. Wenzako kwa kawaida hurejea na matusi. Vipi wewe leo ya tatu uko kimya?
Logic gani inakwambia ukivweka vinaacha kuwa ngano?Poor old man...unalia na references zako.NIna thread wameikimbia wenzio kuhusu Publication ya papers ktk journals ?Si mbaya ukaingiza pua hata km utatoka ikitoka damu.
 
Wanamajlis,
Post #386 .
Nimesahihisha kuhusu Uchaguzi Mkuu wa 1958 na kurekebisha
kuhusu Sheikh Takadir na Zuberi Mtemvu kuwa hawakuwa hata
siku moja wanachama wa AMNUT.

Walosahihishwa hawajakubali kuwa walikosea.

Kukosea ni ubinadamu angalau waseme,"Mzee Mohamed ahsante
kwa kutusahihisha."

Huo ndiyo uungwana.

Bahati mbaya na nadhani wanaona haya wameamua kukaa kimya
lipite.

Nimewaonyesha viwanja vyangu ninavyocheza kuanzia BBC,
Northwestern University Chicago nk.

Hawajatia neno isipokuwa matusi.

Mwenye kutukana na kukebehi ni mtu aliyepandwa na ghadhabu.
Nini kinawaudhi?

Kuandika "a corrective history?"
Mbona huo ndiyo usomi wa miaka hii?

Ningeweza kuwashtaki kwa mods lakini sifanyi hivyo kwa kuwa
nafaidika.

Kila wanapokuja jamvini na matusi na kejeli mle ndipo ninapopata
"topic" mpya ya kusomesha.
 
Wanamajlis, Post #386 . Nimesahihisha kuhusu Uchaguzi Mkuu wa 1958 na kurekebisha kuhusu Sheikh Takadir na Zuberi Mtemvu kuwa hawakuwa wanachama wa AMNUT. Walosahihishwa hawajakubali kuwa walikosea. Kukosea ni ubinadamu angalau waseme,"Mzee Mohamed ahsante kwa kutusahihisha." Huo ndiyo uungwana. Bahati mbaya na nadhani wanaona haya wameamua kukaa kimya lipite. Nimewaonyesha viwanja vyangu ninavyocheza kuanzia BBC, Northwestern, Evanston nk. Hawajatia neno isipokuwa matusi. Mwenye kutukana na kukebehi ni mtu aliyepandwa na ghadhabu. Ningeweza kuwashtaki kwa mods lakini sifanyi hivyo kwa kuwa nafaidika. Kila wanapokuja jamvini na matusi na kejeli mle ndipo ninapopata "topic" mpya ya kusomesha.
BBC news hata rumour huwa wanarusha..tena ya kiswahili ya waliokuwa akina juma nkamia..BBC wangejua kuwa inawapa magaidi na sympathizers wao coverage vibaya wangepiga china mapema sana.Si ndio mliokuwa mnampa Prof haourb othman space eti mchambuzi ,upuuzi mtupu na kutuhubiria issue za mashariki ya katipalestina sijui na nini,wangejua wazungu wangefukuza wapuuzi wote.
 
Wanamajlis,
Huu uwanja huru.

Huyo anaesema ana kitu katika "publication" atuwekee hapa Majlis
hicho alichoandika.

Ninachoona kila akifunua mdomo ni ghadhabu tupu.
 
Wanamajlis,
Tujaalie BBC hawajui kitu.
Hebu tujaribu VOA nao vipi? Hicho pia ni kiwanja changu miaka mingi. Nao hawajui kitu?
 
Sasa hicho kidiploma cha miaka miwili cha makerere na hio master ya miaka miwili huoni ni giza tu ? Ameanza dkuli akiwa na 12
Ndani ya miaka nane kenda makerere yaani sawa na darasa la saba !
Then kenda kuchukua master ya saikoloji ili kuja kutuzuga kwa lugha ? Khaa
so what????
prove kama amefoji vyeti
 
Anasema anatoa darsa huku anatoa sumu

Wanamajlis,
Naomba niseme kitu kidogo.

Mada iliyopo jamvini ni kuhusu "Usikochi."
Ilitakiwa iandikwe "Uskochi."

Huyo anezungumzia Scotland wala haijui.
Mimi nimeishi Wales, England na Scotland.

Nazijua siasa za Great Britain nimesoma historia yao na nimeandika.
Katika moja ya ''past time yangu" ni kuwa nilikuwa "Royal Watcher."

Alipokufa Diana nilimuandikia taazia -''Stand by me Diana."
Kichwa cha taazia ni kutoka nyimbo ya Paul Anka.

Mhariri wa gazeti hakuamini alipoona jina langu.

Yeye akichapa makala zangu lakini alikuwa keshaniweka alioona yeye
nastahili kuwekwa.

Haya ya Diana na Paul Anka hayakuwa katika uwezo wala ujuzi wangu.
Mimi mtoto wa Gerezani.

Najua mambo ya Kipata tu.

Akanipigia simu kutaka uhakika.
Akaniuliza imekuwaje?

Nikamwambia nakujua vuzuri Uingereza.
Turudi "Usikochi."

Hebu niangalieni hapo chini niko BBC Glasgow narusha kipindi kuhusu
Historia ya Afrika.

Bush House London wanapokea kisha wao wanarusha Afrika ya Mashariki
na Kati:

CIMG0424.JPG


Wanamajlis,
Haya mambo nimefanya miaka mingi iliyopita kama picha inavyoonesha.
Nilikuwa mtoto mdogo.

Fananisha hiyo picha hapo juu na angalia picha zangu za sasa hivi nilivyo
ndipo utanipata vizuri kabisa na utaelewa kuwa mimi sasa ni mzee.

Nacheka khasa ninapoona mtu anataka ati kunifunza historia ya Uingereza.
Hufurahi zaidi pale anapokuwa na ujasiri wa kuniita "muongo."
 
Tatizo sio kufoji. Ni elimu ya kutumikia ukoloni ndio waliokua wakipewa na pia kuwa mtiifu kwao baada ya uhuru

Crabat,
Kitu ambacho kipo wazi kabisa katika historia ya kupigania uhuru ni kuwa
TANU katika majimbo ilianzishwa na wazalendo ambao hawakuwa na hii
elimu iliyojulikana kama ya Kizungu ukitoa kuwa walisoma madras.

Soma historia ya TANU Jimbo la Kusini.

TANU iliasisiwa na Yusuf Chembera akifanya kazi katika canteen ya Lindi
Welfare Centre na Salum Mpunga aliyekuwa dereva wa lori kwa Muhindi.

TANU Dodoma iliasisiwa na Omari Suleiman fundi cherehani na Haruna
Haratibu
fundi muashi wa Public Works Department (PWD).

SAM_1088.JPG


Mzee Omar Suleiman akijuliwa hali na Rais Kikwete katika ziku zake za mwisho.

0


Kutoka Kushoto: Iddi Faiz Mafongo, Sheikh Mohamed Ramiya, Julius Nyerere, Saadan Abdu

Kandoro na |Haruna Taratibu Stesheni ya Reli Dodoma 1956

Kwa habari zaidi:KIPINDI MAALUM MIAKA 53 YA UHURU WA TANGANYIKA: HISTORIA ILIYOSAHAULIKA YA SHUJAA HARUNA TARATIBU - Mohamed Said

Crabat,
Msiba mkubwa ni kuwa kuna watu nyoyo zao zinaungua kila wasomapo
historia ya hawa mashujaa wetu waliounda TANU na kupigania uhuru wa
Tanganyika.
 
Hii historia haijakaa sawa ngoja tumsubiri ustadhi wa Gerezani Mohamed Said anyooshe mambo.
 
Last edited by a moderator:
Wanamajlis,
Naomba niseme kitu kidogo.

Mada iliyopo jamvini ni kuhusu "Usikochi."
Ilitakiwa iandikwe "Uskochi."

Huyo anezungumzia Scotland wala haijui.
Mimi nimeishi Wales, England na Scotland.

Nazijua siasa za Great Britain nimesoma historia yao na nimeandika.
Katika moja ya ''past time yangu" ni kuwa nilikuwa "Royal Watcher."

Alipokufa Diana nilimuandikia taazia -''Stay by me Diana."
Kichwa cha taazia ni kutoka nyimbo ya Paul Anka.

Mhariri wa gazeti hakuamini alipoona jina langu.

Yeye akichapa makala zangu lakini alikuwa keshaniweka alioona yeye
nastahili kuwekwa.

Haya ya Diana na Paul Anka hayakuwa katika uwezo wala ujuzi wangu.
Mimi mtoto wa Gerezani.

Najua mambo ya Kipata tu.

Akanipigia simu kutaka uhakika.
Akaniuliza imekuwaje?

Nikamwambia nakujua vuzuri Uingereza.
Turudi "Usikochi."

Hebu niangalieni hapo chini niko BBC Glasgow narusha kipindi kuhusu
Historia ya Afrika.

Bush House London wanapokea kisha wao wanarusha Afrika ya Mashariki
na Kati:

CIMG0424.JPG


Wanamajlis,
Haya mambo nimefanya miaka mingi iliyopita kama picha inavyoonesha.
Nilikuwa mtoto mdogo.

Fananisha hiyo picha hapo juu na angalia picha zangu za sasa hivi nilivyo
ndipo utanipata vizuri kabisa na utaelewa kuwa mimi sasa ni mzee.

Nacheka khasa ninapoona mtu anataka ati kunifunza historia ya Uingereza.
Hufurahi zaidi pale anapokuwa na ujasiri wa kuniita "muongo."
Unatoa elimu nzuri japo unaiharibu unapohamaki. Mwalimu hatakiwi kuhamaki. Vinginevyo nakupongeza kwa kutufungua kwa baadhi tuliyokuwa hatuyafahamu. Majils ni nini?!
 
Wanamajlis,
Post #386 .
Nimesahihisha kuhusu Uchaguzi Mkuu wa 1958 na kurekebisha
kuhusu Sheikh Takadir na Zuberi Mtemvu kuwa hawakuwa hata
siku moja wanachama wa AMNUT.

Walosahihishwa hawajakubali kuwa walikosea.

Kukosea ni ubinadamu angalau waseme,"Mzee Mohamed ahsante
kwa kutusahihisha."

Huo ndiyo uungwana.

Bahati mbaya na nadhani wanaona haya wameamua kukaa kimya
lipite.

Nimewaonyesha viwanja vyangu ninavyocheza kuanzia BBC,
Northwestern University Chicago nk.

Hawajatia neno isipokuwa matusi.

Mwenye kutukana na kukebehi ni mtu aliyepandwa na ghadhabu.
Nini kinawaudhi?

Kuandika "a corrective history?"
Mbona huo ndiyo usomi wa miaka hii?

Ningeweza kuwashtaki kwa mods lakini sifanyi hivyo kwa kuwa
nafaidika.

Kila wanapokuja jamvini na matusi na kejeli mle ndipo ninapopata
"topic" mpya ya kusomesha.

Mzee Mohamed Said,

Kuna jambo mhimu inatakiwa ulifahamu,

Mtemvu alikuwa katibu mkuu wa TANU wakati unafanyika ule mchujo wa kumpata mgombea wa TANU atakayekwenda kupambana na UTP pale Jimbo la Magharibi yaani Tabora.

Na baada tu ya uchaguzi ule wa ndani ambao Julius Nyerere alishinda na kuwa mgombea wa TANU atakayepambana na UTP, Mtemvu, mwenyekiti wa Baraza la Wazee Shehe Seluleiklman aka Babu yake na Mohamed Said, Shekhe Takadir nk walijivua uanachama wa TANU,

Na kisha wakaunda chama chao cha kidini kilichoitwa AMNUT, Chama hiki hakikuchukua hata mwaka, kwani kwenye uchaguzi wa 1961 chama hicho cha kidini kilikuwa kimeshasambaratika.

Uundwaji wa chama hicho ulikuwa na mkono wa Abdul Sykis akichukizwa kushindwa uchaguzi mara mbili mbele ya mwamba wa Mwitongo.

Abdul amekufa na kinyongo chake, Tanzania imeendelea kuwepo na itakiwepo daima
 
Last edited by a moderator:
Unatoa elimu nzuri japo unaiharibu unapohamaki. Mwalimu hatakiwi kuhamaki. Vinginevyo nakupongeza kwa kutufungua kwa baadhi tuliyokuwa hatuyafahamu. Majils ni nini?!

Gagnija,
Ikiwa unahisi kuna sehemu nimehamaki basi niwie radhi upungufu ndiyo sifa
yetu binadamu sote.

Majlis ni sawa na kusema baraza.
Ikiwa unapenda kuisoma historia hii zaidi ingia: Mohamed Said

Kuna mtu anataka sana nizungumzenae.
Ataniwia radhi hadi hapo atakapojifunza adabu.

UAMUZI WA BUSARA WA TABORA
Kumbukumbu ya Uchaguzi wa Kura Tatu 1958

na Mohamed Said


KITABU KIPYA KUHUSU HISTORIA YA KUDAI UHURU WA TANGANYIKA


005+-+Copy.JPG

Katika moja ya misiba ya Tanzania ni kutokuandikwa kwa ukweli historia ya wazalendo walopigania uhuru wa nchi hii. Vitabu vichache vilivyoandikwa vimejikita zaidi katika kujipendekeza kwa viongozi walio madarakani kuliko ukweli wenyewe ulivyokuwa. Hii imeifanya historia ya Tanzania kuwa sawasawa na mchuzi uliokosa viungo. Matokeo yake chakula kinakuwa doro hakina ladha. Sasa ni miaka hamsini toka siku ile kwa mara ya kwanza TANU katika mkutano uliofanyika Tabora ilipoamua kuingia katika uchaguzi mkuu wa kwanza licha ya masharti magumu yaliyowekwa na serikali ya kikoloni. Masharti ya kibaguzi na kudhalilisha ambayo TANU ilipania kuyakataa na kususa kushiriki katika uchaguzi ule kwa sababu mpiga kura alitakiwa ampigie kura Mzungu, Muasia na Mwafrika hna hapo ndipo lilipopatikana jina la kura tatu. Endapo hilo lingetendeka chama pinzani cha wazungu - United Tanganyika Party (UTP) ingepata mteremko na kuzoa viti vyote na hivyo kuingia katika Baraza la Kutunga Sheria. TANU ingebaki nje ya ulingo wa siasa na ikawa msemea pembeni.


Katika kitabu hiki mwandishi anaeleza yale ambayo hayafahamiki kwa wengi ni kwa nini suala la kura tatu lilitishia kuigawa TANU pande mbili. Moja likiwa na Mwalimu Nyerere rais wa TANU na jingine likiongozwa na Zuberi Mtemvu, Sheikh Suleiman Takadir, Said Chamwenyewe, Ramadhani Mashado Plantan na wazalendo wengineo. Katika kitabu hiki mwandishi anamchukua msomaji na kumkutanisha na wazalendo ambao lau kama wanahistoria wa leo wamewapuuza ukweli unabaki palepale kuwa bila ya kuwataja hawa katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika na hata historia ya Mwalimu Nyerere mwenyewe basi historia hiyo si tu itakuwa haijakamilka bali itakuwa historia ya uongo.


Mwandishi wa kitabu hiki kwa hakika ni mpiga hadithi kwa jinsi anavyohadithia visa na mikasa iliyowapata wazalendo pamoja na michango yao katika kurasa za kitabu. Mathalan anawajulisha wasomaji wake mzalendo ambae wala hayumo katika vitabu vya historia ya Tanganyika Mzee Mshume Kiyate, dalali wa samaki katika soko la Kariakoo lile la zamani la miaka ya 1950. Katika soko lile mkuu wa soko alikuwa Abdulwahid Sykes mmoja wa wazalendo 17 walioasisi TANU. Abdulwahid Sykes akiuza kadi za TANU pale sokoni. Kwa ajili hii pale sokoni ndipo palipotoa wanachama wa mwanzo wa TANU mmoja wapo akiwa Mzee Mshume Kiyate, mzee aliyeheshimika sana mjini. Pale sokoni Kariakoo ndipo palipokuwa kituo chake cha mwanzo Mwalimu Nyerere alipofikia kila alipotoka Pugu kuja Dar es Salaam akifika pale kumwona Abdulwahid Sykes ofisini kwake na kisha kukutana na wazee wengine wafanyabiashara pale sokoni kama Mzee Mshume Kiyate. Kitabu kinaeleza mchango wa hali na mali wa Mzee Mshume Kiyate kwa Mwalimu Nyerere binafsi na katika Baraza la Wazee wa TANU.


Kitabu kinamrejesha katika historia Said Chamwenyewe mzalendo aliyetoa kwa niaba ya TANU taarifa ya hali ya siasa ya Tanganyika mbele ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa unaoshugulikia makoloni ulipozuru Tanganyika mwaka 1955. Said Chamwenyewe ndiye aliyeipatia TANU wanachama wake wa mwanzo kutoka Rufiji. Said Chamwenyewe akipanda baiskeli kutoka Dar es Salaam hadi Rufiji huku akiuza kadi za TANU katika vijiji vya njiani. Kitabu kimepambwa na picha hadimu sana ambazo hazijapata kuonwa na yeyote kabla. Kuna picha ya Mshume Kiyate akiwa na Mwalimu Nyerere, halikadhalika ya Sheikh Suleiman Takadir akiwa na Nyerere na John Rupia na picha ya pamoja ya Mwalimu Nyerere na Dossa Aziz wakiwa na Wazee wa Baraza la TANU ndani yake wakiwemo, Issa Nassir, Sheikh Haidar Mwinyimvua, Mwinjuma Mwinyikambi, Jumbe Tambaza, Sheikh Suleiman Takadir, Mshume Kiyate, Said Chamwenyewe na wengine wengi. Mwandishi kwa ufasaha na ustadi mkuu anaeleza historia ya Yusuf Olotu mzalendo mwingine aliyesahaulika kutokea Moshi ambae peke yake alitembea Kilimanjaro nzima kueneza TANU na ilipofika uchaguzi wa kura tatu ilibidi afanye kazi ya ziada kuwarai Wachagga kujiandikisha kama wapiga kura wakatim mwingine ikibidi ahutubie mikutano kwa Kichagga. Wachagga walikuwa na hofu kuwa endapo watajiandikisha basi serikali ya kikoloni itawaendea kuwadai kodi kwa mali walizonazo.


Mwandishi anahadithia kwa ufasaha mkubwa kisa ambacho kwa muda mrefu ilikuwa siri. Vipi Mwalimu Nyerere aliweza kuwapiku wapinzani wa kura tatu ambao walikuwa wengi katika TANU si tu pale makao makuu Mtaa wa New Street Dar es Salaam bali hata majimboni. Mwandishi anafichua mkakati wa siri uliopitika Tanga kati ya Mwalimu Nyerere na Amos Kisenge kwa upande mmoja na viongozi wa TANU Tanga uliowakilishwa na Mwalimu Kihere, Hamisi Heri, Sheikh Rashid Sembe na wengineo. Kitabu kinafichua ujanja wa Mwalimu Nyerere aliokuwanao kiasi cha kuweza kuwazidi maarifa si maadui zake bali hata marafiki zake wa karibu na kupata kile alichoamini yeye kuwa ndiyo mwelekeo unaofaa.


Mwandishi anaeleza jinsi TANU ilivyokuwa imetawaliwa na Uislam kiasi ambacho TANU haikufanya jambo lolote kubwa bila ya kutanguliza dua. Hapa msomaji anaingizwa katika yale ya ndani katika TANU ya wakati ule ya kufanya tawaswil na visomo Mwalimu Nyerere lau kama alikuwa Mkristo akishiriki sawia. Msomaji atapata mengi kwa kusoma kisa cha dua hii maalum kwa ajili ya kura tatu dua iliyosomwa katika kijiji cha Mnyanjani nje kidogo ya mji wa Tanga. Kitabu kinafichua ni ujanja gani aliotumia Nyerere kumwacha nyuma ofisini katibu wa TANU Mtemvu na kumchukua Amos Kisenge badala yake kwendanae Tanga kupanga mbinu ya kupambana na hila za Waingereza. Vipi Mtemvu ambae agenda ya kura tatu ilikuwa yake alikubali apokonywe na kuamini kuwa Nyerere ataitetea kwa niaba ya Waafrika wa Tanganyika ni swali linalotatanisha. Mtemvu aliposhtuka basi lilikuwa limeshamwacha na Nyerere kaondoka. Matokeo yake alijuzulu TANU na kuanzisha chama chake kipya Tanganyika African Congress akiwa na Said Chamwenyewe na wazalendo wengine waliokuwa na msimamo mkali ndanin ya TANU.


Lakini juu ya hayo yote msomaji atavutiwa sana na hotuba mbili za Mwalimu Nyerere alizotoa wakati wa sakata la kura tatu. Hotuba ya kwanza ni ile aliyotoa ndani ya mkutano kiasi ambacho aliweza kuzipiku hoja zote za wapinzani wa kura tatu na ya pili ni ile hotuba ya machozi Mwalimu alipozungumza katika mkutano wa hadhara Tabora sokoni na akalia na kuwaliza wasikizaji wake. Hata hivyo baadhi ya wana TANU hawakuridhika na uamuzi wa TANU wa kuingia katika kura tatu. Walihisi kuwa uamuzi ule haukuwa na maslahi na Waislam ambao ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kudai uhuru. Walijitoa na kuanzisha chama kipya All Muslim National Union of Tanganyika (AMNUT).


Juu ya hayo yote sijui ni kwa utashi wake mwenyewe mwandishi au ni kwa sababu za uhariri kitabu kimekuwa kimya kwa jambo muhimu sana katika historia ya kura tatu. Mwandishi hakusema nani alipoteza katika kura tatu na nani alipata. Hofu kubwa katika kura tatu ilikuwa itakuwaje Waislam walio mstari wa mbele katika kupigania uhuru leo wanawekwa pembeni na Mwalimu Nyerere analeta watu kutoka nje na wengi wao Wakristo kugombea viti vya TANU? Nukta hii ni katika mambo muhimu sana ndani ya historia ya TANU. Ni katika jambo hili Sheikh Suleiman Takadir alipotofautiana na Mwalimu Nyerere na likapelekea kwa Sheikh Takadir kufukuzwa TANU kwa kosa la kuchanganya dini na siasa. Mwandishi hakugusa hata kwa mbali kisa hiki muhimu. Kwa wale ambao wanaoijua kalamu ya mwandishi huyu hili linaweza likawatatanisha sana. Lakini kitabu kina picha inayomwonyesha Sheikh Takadir akiwa na Mwalimu Nyerere na nyuma yao wamesimama wahamasishaji wa TANU waliokuwa wakijulikana kama Bantu Group iliyopigwa mwaka 1955. Picha hii ya pamoja baina na Sheikh Takadir na Mwalimu Nyerere ni moja ya hazina adhimu katika historia ya Tanganyika kwani inaaminika Sheikh Suleiman Takadir alifutwa kabisa katika historia ya TANU na hakuna popote picha yake inaonekana. Mwandishi anastahili pongezi kwa utafiti wake na kuandika kitabu hiki ambacho kitasaidia kizazi kipya kuwajua wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika ambao leo hawatajwi. Hakika kitabu hiki kinatia nyama katika mifupa ya historia ya TANU na historia ya Mwalimu Nyerere mwenyewe.
Wednesday, 04 March 2009

Kwa habari zaidi:http://www.mohammedsaid.com/2014/03/uamuzi-wa-busara-wa-tabora-kumbukumbu.html
 
Lugha usioijua ni shida tu.
Sasa hebu nipe tafsiri ya ulichokiandika hapo juu km hukuchekesha watu hapa.!!

Eti kwa sababu yesu alikuwa mzungu na nyie waefeso mnajilazimisha kuandika lugha yake mkisahau kuwa yule msela kwenye picha ni mtaliano!
Teh teh teh teh!
Ugalatia Mtihani wa ajabu sana.

Acha kubwabwaja. Vaa mabomu kalipue makanisa au kalipue wenzio kule Syria,iraq,afghanstan etc km wao wnavolipuana uende ahela kwa mudy. Malaya akikuambia koa wake wengi unakubali. mwisho wa siku mnatuizalishia watoto wa mitaa kibado. DINI Y LAANA YA DUNIA
 
Back
Top Bottom