Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Dahhh sijaelewa kitu hapa labda mm sio great thinker na hizi ni idioms tu
 
Ngoja nilale,ntarudi kuisoma vizuri kesho asubuhi
 
Huyo hajuwi alitendalo, kinachofanya watu wafuate post zake ni huo uongo na utapeli wake wa kujiita Nyerere.

Kuna Nyerere Mhehe?

Wewe ukiwa ni mmoja ya mashabiki wangu, hubanduki kwenye uzi huu
 
Niliwahi kumuuliza Mohamed Said kuhusu zile hekaya zake za uhuru wa Tanganyika kwa nini alifanya mahojiano na watu wengi wa zama hizo isipokuwa Nyerere aliishia kusema hakukuwa na ulazima wa kumhoji Nyerere. Hapo ndipo nilipojua mzee Said ni kiwanda cha uongo.

Hahahaa mzee amekuja na kuchungulia kidogo akapotea,

Mzee wetu ni bingwa wa habari za kariakoo tu
 
Last edited by a moderator:
Mie nakuja hapa nikupe za uso halafu nnasepa, eti sibanduki. Nimekuuliza maswali umeshindwa kujibu.

Unanipa za uso ama unanishangilia? Maswali yapi hujajibiwa?

Angalia vizuri majibu yapo nimekujibu
 
Inabidi ulete ushahidi ndipo bingwa apatikane

Hivi wewe una nini cha kushindana na Alama Mohamed Said? hebu tuoneshe japo paper yako moja iliyotolewa hata shule ya kata wacha chuo kikuu chochote kile.

Ushahidi huu hapa wewe ume kopi na kuja pesti huku na hata kuonesha chanzo umeshindwa, unajifnya eti ni wee ulioleta huu utumbo:

Mwandishi wa makala hii, Anna Julia Mwansasu, ni msomaji wa Gazeti la Jamhuri. Amepata kufanya kazi ofisi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mjue vizuri Mwalimu Julius Kambarage Nyerere | Gazeti la Jamhuri


cc Mkirindi
 
Hivi wewe una nini cha kushindana na Alama Mohamed Said? hebu tuoneshe japo paper yako moja iliyotolewa hata shule ya kata wacha chuo kikuu chochote kile.

Ushahidi huu hapa wewe ume kopi na kuja pesti huku na hata kuonesha chanzo umeshindwa, unajifnya eti ni wee ulioleta huu utumbo:

Mwandishi wa makala hii, Anna Julia Mwansasu, ni msomaji wa Gazeti la Jamhuri. Amepata kufanya kazi ofisi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mjue vizuri Mwalimu Julius Kambarage Nyerere | Gazeti la Jamhuri


cc Mkirindi

Italazimika nikufunze mambo machache ya kimandiki katika uandishi wewe bibi,

Historia ni mkusanyiko wa kumbukumbu za matukio kwa nyia ya maandishi au vitu, ninapoandika historia ya mwalimu inamaana nakusanya maandiko ya kila pembe na kuyaunganisha pamoja ili kuleta mtiririko ninaokusudia hii lazima ningeweka vyanzo vya kila niliposoma na kupata neno, kwakuwa sio uandishi wa historia halisi bali maudhui ya mada ni tofauti.

Ningekaa na kutaka kuandika rasmi historia ya Mwalimu Nyerere basi hakika ungeona vielelezo vingi sana na vyanzo vingi sana,

Historia ni tofauti na utafiti wa kitabibu, ama ya kiroho.


Na hizi utasema za nani?

http://deotemba.blogspot.com/2009/10/historia-ya-maisha-ya-mwalimu-nyerere.html?m=1

http://kingjofa.blogspot.com/2014/10/huyu-ndiye-mwalimu-jk-nyerere.html?m=1

http://www.jamhurimedia.co.tz/mjue-vizuri-mwalimu-julius-kambarage-nyerere/
 
Italazimika nikufunze mambo machache ya kimandiki katika uandishi wewe bibi,

Historia ni mkusanyiko wa kumbukumbu za matukio kwa nyia ya maandishi au vitu, ninapoandika historia ya mwalimu inamaana nakusanya maandiko ya kila pembe na kuyaunganisha pamoja ili kuleta mtiririko ninaokusudia hii lazima ningeweka vyanzo vya kila niliposoma na kupata neno, kwakuwa sio uandishi wa historia halisi bali maudhui ya mada ni tofauti.

Ningekaa na kutaka kuandika rasmi historia ya Mwalimu Nyerere basi hakika ungeona vielelezo vingi sana na vyanzo vingi sana,

Historia ni tofauti na utafiti wa kitabibu, ama ya kiroho.


Na hizi utasema za nani?

TAFAKURI YETU: HISTORIA YA MAISHA YA MWALIMU NYERERE

Kilimanjaro Official Blog: HUYU NDIYE MWALIMU J.K NYERERE USIYEMFAHAMU...,

Mjue vizuri Mwalimu Julius Kambarage Nyerere | Gazeti la Jamhuri

Ewe punguani, ndiyo maana nikakwambia kuwa u finyu sana na hauna cha kushindana na Alama Mohamed Said, paper yako hata moja ya kihistoria iko wapi?

Umemkopi huyo mwandishi niliyeweka link na kuja kumpesti hapa bila hata haya, hiyo inaitwa "plagiarism". Nchi zenye kufata "copy rights" unashitakiwa, ulipata "consent" yake huyo aliyeandika hayo kumkopi?

Onesha katika uliyoyaandika yako wewe ni yepi?

Waandishi wa historia hufanya research zao wenyewe pia ku interview watu na kupitia nyaraka mbali mbali tofauti na wanapochukuwa ya mwengine hufanya "citation", wewe umeingia mzima mzima kudanganya watu halafu unataka ushahidi?

Na hata wanapofanya "citation" amma huyakubali, amma huyapinga hayo wanayoyanukuu amma huyakosoa amma huyaboresha, wewe mwenzangu na mie na kuandikia historia wapi na wapi? jinsi unavyoandika nnauhakika hata essay huwezi andika wacha history.

Hivi toka mjuwe kuingia mtandaoni na kakutana na makanjanja na misukule wenzenu basi mnajiona mnaandika sana.

Soma kazi za watu wenye papers zao vyuoni na vitabu vyenye hadhi ya kimataifa, siyo hivyo vi kopi and pesti vyako vya mtandaoni kwa watu ambao ni kama wewe halafu unajiona umenadika historia.

Wewe uliingia library ipi duniani hata siku moja kufanya utafiti wako? au una paper ipi yako ya historia katika library ipi?

Hapo sasa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Hivi wewe una nini cha kushindana na Alama Mohamed Said? hebu tuoneshe japo paper yako moja iliyotolewa hata shule ya kata wacha chuo kikuu chochote kile.

Ushahidi huu hapa wewe ume kopi na kuja pesti huku na hata kuonesha chanzo umeshindwa, unajifnya eti ni wee ulioleta huu utumbo:

Mwandishi wa makala hii, Anna Julia Mwansasu, ni msomaji wa Gazeti la Jamhuri. Amepata kufanya kazi ofisi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mjue vizuri Mwalimu Julius Kambarage Nyerere | Gazeti la Jamhuri


cc Mkirindi

Dahhh kumbe kweli jamaa ka copy na kupaste halaf anajifanya ni chapisho lake. What a shame
 
Soma historia fupi ya uasi wa jeshi wa mwaka 1964 ili upevuke kiakili na kimwili ewe kizazi cha nyoka,

Kuasi kule kwa Wanajeshi Januari/20/1964 (Tanganyika Rifles) wala sio jambo la zamani sana kiasi cha kusema kwamba Historia ile imetupwa na hakuna anayesema ukweli,nilikuwa nahisi Viongozi kama Mwalimu,kawawa na Kambona wangeyaweka katika maandishi mambo yale muhimu ktk Historia ya Nchi yetu kabla hawajatutoka.Hakuna mahali mambo haya yameandikwa na ndio maana Vijana wanaotaka kujua historia ya Nchi yao wanakuja na hizi hear/say

......
Ukitaka kupata mambo mengi kuhusu maasi yale pitia kitabu "Dar Mutiny Of 1964" by Christopher MacRae

Sasa hivi vina uhusiano gani na mada hii?

Mtoto wa nyoka ni wewe ambae umesoma hivi majuzi na hicho kitabu chako kimoja cha reference ndiyo unajiona tayari ni mtaalamu.

Endelea kufanya reference ili uelewe zaidi kuhusu mutiny in Tanganyika........ Amrit Wilson, CIA declassified documents na hata waandishi wengine wanaoandika kwenye magazeti yetu ya kiswahili.
 
SoNotorious,
Umechagua ya kuandika.

Mtu wa kati kuniunganisha hakurudi kunipa jibu ndipo nikajiambia
nitakiandika.kitabu bila mahojiano na yeye.

Hata wale wasonipenda hawajapatapo kuniita muongo.
 
Yericko,
Umesema kweli.

Mimi ni bingwa wa historia ya wazee wangu ndiyo maana walipotaka
kuiharibu historia ya Dar es Salaam nilisimama kurekebisha.

Mada yako inachosha ndiyo maana siji kuchangia.
 
Back
Top Bottom