Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 568
Malkia Elizabeth ni Mkatolic?.... Alshabaab Education in Tanzania, hawana la msingi la kudiscuss, ama kweli shetani yupo kazini ni bora ukaabudu majini tu uko.
anglican
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malkia Elizabeth ni Mkatolic?.... Alshabaab Education in Tanzania, hawana la msingi la kudiscuss, ama kweli shetani yupo kazini ni bora ukaabudu majini tu uko.
Je unajua Mwalimu Julius Nyerere hakupigania uhuru wa Tanganyika yeye kama yeye bali aliandaliwa angali mdogo akakabidhiwa na kanisa katoliki kwa ubia wa Malkia Elizath wa Uingereza?
Je unafahamu Mwaliu Julius Nyerere alinusurika mara 18 kwenye majaribio ya mauaji, na alinusurika mara sita kwenye majaribio ya mapinduzi?
Je unajua kuwa Mwalimu Nyerere ni sehemu ya familia ya Malkia Elizath na aliachiwa urithi kupitia Fabian Society?
Unafahamu Mwalimu Nyerere mpaka anafariki hakuwahi kuendesha gari na kujua kuendimesha gari?
Zingatia sheria ya Cybercriminal haijasainiwa, rais bado yupo USA anakagua kiwanda cha kutengenezea ndege za Boing ingawa tz haina hata toy la ndenge ya maonyesho kwa wanafunzi tu, wakati huo shirika la ndege linawafanyakazi 120 na wote wanalipwa vizuri kabisa.
Navumilia kuwa mtanzana, sijivunii kuwa mtanzania!
Nitaelezea kwa ufupi jinsi kanisa la Tanganyika lilivyoshiriki harakati za ukombozi wa Tanganyika na madhila liliyokumbana nayo. Ifahamike kuwa vyama vya harakati za ukombozi Tanganyika vilikuwa vingi sana, na vipo vilivyokuwa vikipingana vyenyewe kwa vyenyewe. Mwaka 1927 1929 kanisa Katoliki nchini chini Joseph Gabriel Zelger, lilibainika kuingiza siasa katika utendaji kazi zake, kitendo hiki kiliwakwaza wakuu wa mamlaka ya kikoloni na kupelekea majasusi wakikoloni wapendekeze aachishwe uongozi wa kanisa nchini. Ni kweli tarehe 12 februari 1929 Zelger alistaafu wadhifawake kwa lazima.
Kisa hiki kinasema, Kanisa lilianzisha mafundisho yenye kuchochea fikra za kimaasi, nalilifanikiwa kuandaa wakufunzi maalumu kwenda katika majimbo yote ya kihuduma Tanganyika, hilo lilipelekea kuleta mtafaruku na dola ya mkoloni wa kiingereza ambapo ilimgharimu kiongozi huyu wa kiroho kuachia madaraka yake. Alipoingia askofu Edger Aristide Maranta mwaka 1930, ikiwa kama vile mwendelezo wa mtangulizi wake, Askofu Maranda alianzisha harakati za kuwashawishi viongozi wengine wa majimbo kuendeleza kutoa mafundisho yenye kumfanya mtanganyika ajitambue na adai uhuru wake, Mfano: 23 mei 1938 wakati makanisa saba ya Kilutheri yakiwa kwenye hatua za mwanzo za mchakato wa kuungana,
Askofu maranda aliomba kuhudhuria kikao cha tarehe 8 mwezi wa sita kilichofanyika Mjini Arusha, Askofu Maranda aliudokeza mpango ule wa siri wa katoliki katika kikao hicho, japokuwa kulikuwa na hofu ya kutoaminiana, lakini uthabiti wa malengo hayo ulijipembua baadae na kuwa wamafaa. Juhudi za kanisa kupigania ukombozi ziliendelea kushika kasi huku zikiendeshwa kwa siri sana kwamfumo wa neno la kiroho, na ilipofikia miaka ya 1950+ kanisa sasa lilikuwa tayari linanguvu ya ushawishi kufuatia mafanikio ya harakati za kanisa katika nyanja za ukombozi barani afrika.
Mtihani mkubwa kwa kanisa ilikuwa ni namna gani linaweza kuingia rasmi kudai uhuru wa Tanganyika. Katika kipindi hiki tangu harakati za kanisa zianze, Askofu Maranta pamoja na mapadre wa baadhi ya mikoa, walikuwa tayari ameshafanya juhudi kadhaa za kukutana na Mashehe waliokuwa na ushawishi mkubwa, mfano 05/02/1948, Askofu Maranda alikutana Shehe Issa bin Amir kiongozi wa kiroho katika msikiti wa Ilala - mchikichini. Shehe Issa Bin Amir alizaliwa 1846 katika viunga vya mchikichini Mzizima na kuhudumu katika wadhifa wa shekhe katika msikiti uliokuwa hapohapo viwanja vya nyumbani kwake akiwa na umri wa miaka 34 tu, hiyo ni mwaka 1880 hadi 1953 Nje ya kuhudumu katika uislamu, alikuwa ni mvuvi aliyevua pamoja na Ally Ramadhan mwekahazina wa kwanza wa AA,
Shehe Issa Bin Amir kwa kabila alikuwa Mzaramo na akiishi hadi kifo chake Mchikichini pale nyuma ya kilipo kiwanda cha bia leo (TBL) Shehe Issa Bin Amir rafiki kipenzi wa Padre Maranta na mzee wa hekima za kilele za cha zama hizo, mtu aliyekuwa kiungo muhimu kati ya uislamu na ukristu, Mtu ambae Mwalimu Cesil Matola rais wa kwanza wa AA na Klest Sykes katibu mkuu wakwanza wa AA, na wanachama wengine waliokuwa AA walimheshimu sana kwa hekima zake! Mazungumzo yao yalihusu harakati za ukombozi, Shehe Issa alimshauri Askofu kuwa ikiwa makanisa na misikiti yanapigwa marufuku na mkoloni kujihusisha na siasa za ukombozi basi watafute baadhi ya vyama vya harakati za ukombozi na waviunge mkono, wazo hilo lilimvutia Askofu lakini akajenga hofu kama je ndani ya vyama hivyo watapata vijana wasomi?.
Siku chache baada ya makutano yake na Shehe Issa, Askofu Maranta aliletewa mapendekezo kutoka kwa Attilio Beltramino kassi wa katoliki aliyehudumu kule Iringa, mapendekezo ya kasisi huyu yalikuwa ni, Umishonari makao makuu uruhusu udurufu wa biblia zisomeke kwa makabila ya wahusika wa eneo, ndani ya biblia hizo yaongezwe mafundisho ya haki ya kujitambua na kujitawala wenyewe. Pendekezo hili lilimvutia sana Maranta hivyo akalipa baraka zake, kwa hakika lilifanikiwa na ndio lilizaa hisia kali za mwamko wa kudai uhuru, mfano biblia ya lugha ya kihehe ilikuwa inaeleza wazi athari za kutawaliwa.
Harakati za Ukombozi za Mwalimu Nyerere zililivutia kanisa na likaamua kumuunga mkono, mfano mwaka 1953 wakati TAA kikiwa chama chenye nguvu, Askofu Maranta alimwalika ofisini kwake Mwalimu Nyerere, walizungumza mengi lakini kubwa nikuwa alimsifu kwa juhudi za kujipambanua bila kuwaogopa wakoloni na akamweleza jinsi kanisa linavyounga mkono juhudi za ukombozi wa Tanganyika, kisha akamshauri kuwa ajaribu kuvishawishi baadhi ya vyama vya harakati za ukombozi viungane ili kuvipa nguvu ya kudai uhuru na kanisa litasaidia. Wazo la Askofu Maranta lilimkaa Mzee Nyerere na mwaka 1954, alianza juhudi za kuwaunganisha vijana wenzake wa kariakoo ambao walikuwa ndani ya TAA na wenye nguvu ya ushawishi lakini wakikabiliwa na matatizo makubwa mawili katika lengo lao ambayo ni Elimu, Woga.
Ikumbukwe kuwa mwaka 1953 baada ya harakati za ukombozi kupamba moto na kamata kamata ya wanaukombozi, Askofu Edger Aristide Maranta alihamishiwa Zanzibar na nafasi yake ikachukuliwa na Vicar Apostolic, lakini bado aliendelea kuwa mshauri imara wa Mwalimu Nyerere.
Jambo la kushangaza kama si kufurahisha, mwaka huohuo mwezi wa 8, Edger Aristide Maranta alirudishwa tena Dar es Saalam, na sasa mbinyo dhidi ya ukoloni ikahika mkondo wake. Mnamo tarehe 7/7/1954, Vijana (wazee wa kariakoo) wakiongozwa na Julius Kambarage Nyerere, walikubaliana wazo la kuhuisha chama kutoka TAA kwenda TANU, chini ya uratibu wa karibu wa kanisa Katoliki (Askofu Maranta) na Waislamu (Shehe Issa bin Amir) ijapokuwa alikuwa amefariki mwaka mmoja nyuma, lakini hekima za Shehe huyu zilisaidia! Na zaidi ni kuwa safari ya kwanza ya Mwalimu Nyerere ya kwenda UNO 05/03/1955 , Kanisa Katoliki lilitoa msaada kwa chama cha TANU wa tiketi ya ndege ya kwenda na kurudi, lilifanya hivyo kupitia shirika lake la Maryknoll Sisters la New York Marekani,
Si hivyo tu bali katika moja ya utani wa Mwalimu wenye ukweli ndani yake aliwahi kusema kuwa Kasisi Art Wille wa waiwaaa la Maryknoll ni boss wake, NduguNduguguumletaauzikinaonekanauhhunaa wa wawwaa vyakovyakokobvyanhabartnaaunatakankutudanganyaa.Unasema mwlmwlmwlleNyergara hajawahajawahiekuendeshaagarakayakea yakeyakekweli.Soma kitakitabu mandmandelag walkwalkedomdom page 344_345,anasema we metNyereree in 1962.He impress me so much,I rrecallhe ddrovehhimselfin a ssimpleccara little Austin.So mwalimu aliendesha gar acha uwongo.
####team Pdidy busy at work
Tunaonmba reference la bandiko lako. Bila ya hivyo ni chai tu. Usitulazimishe kuamini ya kichwani mwako. Bila evidence huna credibility ha ha haLete ukweli
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Nimepekuwa mtandaoni sijaona kuwa Scotland ilikuwa na Malikia "Elizath".
Jee, unamjuwa Ilongo?
uo mtandao gani wewe!!! kasome historia
wewe unaye mjua kwanini usimwelezee?.acha ukatuni wewe mama.unamjua kadoda?Ipi hoja ya kujibu mkuu?
Mtoa mada kama alivyosema mr mohamed hapo juu,mambo mengi ni mwongo .Hana uhakika na mambo yake.Hii ni hatar kwan anapotosha umma wa Tanzania ambao wengine wanajifunzia hapa forum.Mm niseme uwongo wako pale unasema mwalimu Nyerere hajawahi kuendesha gari hata siku moja.Siyo kweli mtoa mafa.Kasome kitabu cha mandela long walk to freedom page 344 to345,Mandela anaandika hivi.We met Julius Nyerere in Dar es salaam in 1962.I recall that he drove himself in a simple car a little Austin.This impressed me so much.Sasa wewe unakuja na uwongo wako sijui umekula maharage ya wapi.Soma vitabu,tatizo munapenda kuongea tu bila evidence.
Yericko Nyerere ni zao la Al Shabaab?Malkia Elizabeth ni Mkatolic?.... Alshabaab Education in Tanzania, hawana la msingi la kudiscuss, ama kweli shetani yupo kazini ni bora ukaabudu majini tu uko.
Haha unamkaribisha huyu mzee, yeye anajua habari za gerezani na viunga vya ghahawa tu
Hiyo siri iko Wapi?
wewe unaye mjua kwanini usimwelezee?.acha ukatuni wewe mama.unamjua kadoda?