Tetesi: Siri ya Matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar yaja juu

Tetesi: Siri ya Matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar yaja juu

Kwa mujibu wa moja ya wafanyakazi wa tume ya uchaguzi zanzibar ZEC jina tunalihifadhi kwa usalama wake anasema kuwa idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi wa marudio visiwani humo ni 58,732 hii ni sawa na asilimia 10% tu ya wapiga kura wote waliojiandikisha 2015..Na katika kura hizo Dr shein alipata kura 48,175. (hii ni aibu kwa dr.shein)

Ishu ikawa je tutamtangazaje shein kuwa mshindi kwa kura elfu 48?..Katika mjadala huo na ndipo mwenyekiti wa ZEC jecha akataka kupewa muda awasiliane na Dr shein baada ya dakika 18 alirejea na kusema kuwa ameshauliana na dr.shein kuwa ZEC wafanye liwezekanalo lakini shein asipate kura chini ya laki 2 (hii inaitwa kupanga matokeo ya mechi).

Baada ya hapo mwenyekiti wa tume jecha akawaita maafisa watatu wa tume na kwenda nao chemba na kukaa huko kwa takribani saa 1 na walivyorudi kwenye kikao walirudi na kura za shein 299,982 ambazo hazikujulikana zilitoka wapi..Na jecha akasisitiza kuwa kwa kilichofanyika pale kiwe siri sana.
C&p
Weka ushahidi hapa!
 
Kwa mujibu wa moja ya wafanyakazi wa tume ya uchaguzi zanzibar ZEC jina tunalihifadhi kwa usalama wake anasema kuwa idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi wa marudio visiwani humo ni 58,732 hii ni sawa na asilimia 10% tu ya wapiga kura wote waliojiandikisha 2015..Na katika kura hizo Dr shein alipata kura 48,175. (hii ni aibu kwa dr.shein)

Ishu ikawa je tutamtangazaje shein kuwa mshindi kwa kura elfu 48?..Katika mjadala huo na ndipo mwenyekiti wa ZEC jecha akataka kupewa muda awasiliane na Dr shein baada ya dakika 18 alirejea na kusema kuwa ameshauliana na dr.shein kuwa ZEC wafanye liwezekanalo lakini shein asipate kura chini ya laki 2 (hii inaitwa kupanga matokeo ya mechi).

Baada ya hapo mwenyekiti wa tume jecha akawaita maafisa watatu wa tume na kwenda nao chemba na kukaa huko kwa takribani saa 1 na walivyorudi kwenye kikao walirudi na kura za shein 299,982 ambazo hazikujulikana zilitoka wapi..Na jecha akasisitiza kuwa kwa kilichofanyika pale kiwe siri sana.
C&p
nakala ya uzi huu imfikie mchumia tumbo anayeitwa Kizibao , mkazi wa maeneo ya mchambawima , unguja .
 
hivi list ya matokeo ya kila kituo ikoje na hao watu laki 3 walioenda kupiga kura walipita njia gani ...mbona palikuwa kimya kutwa nzima ....KAILIMA RAMADHANI Alikuwa anahojiwa bila aibu anawaambia waandishi msione mlikuwa mnaenda vituoni mnakuta kimya ..kuna vituo vingi kufikia saa sita kura wengi walishapiga
Ni jambo LA aibu na fezea kali
 
hivi list ya matokeo ya kila kituo ikoje na hao watu laki 3 walioenda kupiga kura walipita njia gani ...mbona palikuwa kimya kutwa nzima ....KAILIMA RAMADHANI Alikuwa anahojiwa bila aibu anawaambia waandishi msione mlikuwa mnaenda vituoni mnakuta kimya ..kuna vituo vingi kufikia saa sita kura wengi walishapiga
Huyu Kailima ndiye mtu nisiyemwamini kuliko wote duniani kwa sasa .
 
Kila mtu anajua walipika data ngoja ipo siku wataumbuka wao wenyewe
 
Weka ushahidi hapa!
160321093836_zanzibar_results_624x832_bbc-1.jpg
 
Hivi la kukimbia nyumba ya ibada kisa aliyewasili si mwenzao likoje?
 
Ndani ya masaa 24 mshindi kishapatikana kumbe mambo uwa yanawezekana ndani ya masaa 24,sasa mbona uwa wanachukua muda mrefu sana kumtangaza mshindi.
 
Ningelikuwa naingia msikiti mmoja na Shein, singeliingia humo tena kwani hata uwepo wake, swala ishaharibika tiyari.
 
What shame..'


Ina maana hio karatasi ya jecha ndio nini si jamaa anakwambia hio ni siri?

wewe hujuwi maana ya kupanga matokeo?


Mara hii utaratibu wa kutanguliza kura za urais kwa kila JIMBO hazikufanyika. walikimbilia kumtangaza kwa ujumla.


Aibu ilikuwa kubwa. Licha ya kuwashurutisha wafanyakazi hao wachache waliokwenda waliziharibu.


Ni kweli HARAMU HUZAA HARAMU
 
Ndani ya masaa 24 mshindi kishapatikana kumbe mambo uwa yanawezekana ndani ya masaa 24,sasa mbona uwa wanachukua muda mrefu sana kumtangaza mshindi.

Mkendo;
Nilisema hesabu ya kura zilizopigwa hata mtoto wa skuli ya upili mmoja tu alitosha kuzihesabu na kutupa jawabu. 98 elfu. Hata akihesabu ka vidole, ndani ya masaa 24 angelikuwa kamaliza na kwenda kulala
 
Hili lazima hata Hamad Rashid analijua, sasa inakuwaje MTU mzina kama yule anasimama na kusema maneno kama Yale yakuunga mkono hadharani matokeo yale? Huyu ni mnafiki mkubwa sana, ccm wakiunga mkono hilo linaeleweka sasa yeye toka chama cha upinzani tumweleweje?
Huyo akae huko huko Zanzibar na unafiki wake asiulete Dar anakofanya makazi yake
Alafu mbaya zaidi huyu Hamad Rashid kapata asilimia 3 aibu na iwe juu yake dhambi ya usaliti mbaya sana.
 
Haha wonders will never cease to happen in Tanzania
Yes u r wright , in Tanzania we create wonders every minute, including rumours, lies and dis Information. I hope one would ask himself how come the owner of this post has all these inner circle info., while the opposition parties and the newspapers who will pay for these info., don't have them and they have never raised them . Also it's a wonder how in Tanzania ppl like yourself without questioning and analysing the info you blindly support the lies.

Ask yourself among the registered voters how many of them are ccm members?
 
Back
Top Bottom