Tetesi: Siri ya Matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar yaja juu

Tetesi: Siri ya Matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar yaja juu

Hahahaaaaa hii habari nilijua itafichuka tu sheni hakuna mzanzibari anaekutaka
 
Nami naomba kuhoji na kurejea baadhi ya kauli za Magufuli na Lubuva hapa juu ya tume za uchaguzi kuwa huru zisizopokea maagizo toka popote. Sasa, huyu Jecha ni kwanini ampigie simu Shein na siyo wagombea wote 12? Kwanini aonane na wajumbe wawili wa tume badala ya wote watano? Je, ni chombo kipi cha kisheria au mamlaka chenye kuweza kuhoji na kumchunguza Jecha na Shein? Nimshauri huyu Dr. Shein aachane na kuburuzwa na baadhi ya eatu katika ccm kwani wanamtanguliza kwa maslahi yao wao. Ajiuzulu ili kuilinda sehemu ya heshima iliyosalia nami nitamsifu kwa hilo. Ni muungwana sana na nikiri tu aliwahi kuwa mtendaji mzuri enzi akiwa bara. Asiziharibu sifa zake na heshima aliyojijengea huko nyuma. Jiuzulu uwaumbue wanaokupotosha.
 
Nimefurahi saana pale mleta uzi anapojisahau na uandishi huu kwa kuandika " Na jecha akasisitiza kuwa kwa kilichofanyika pale kiwe siri sana."

Wakubwa wamenielewa!!
 

Attachments

  • kp19012016.jpg
    kp19012016.jpg
    31.9 KB · Views: 37
Sasa hapa tukwamini vipi, mie mtu wa jikoni kabisa kaniambia hayo matokeo yamepunguzwa kwa asilimia mbili!
 
Mimi hiyo nai support 100% na ni Halali kabisa. Kuanzia leo kwa Waumini wa kiislamu wapenda haki akiingia msikitini Shein basi watu watoke hata kama itakuwa watu washafunga sala. Ni haki kwa sababu, yeye anaingia msikitini kama ni raisi wa nchi na sio kama muumini, na ndio maana akija anaekewa nafasi yake maalumu hata kama atakuwa kachelewa anasubiriwa. Muumini hasubiriwi kwenye ibada, ni imamu tu ndiye anayesubiriwa. Kama anaingia kama ni raisi na ukweli sote tunaujuwa, tukibaki msikitini kusali nae tutakuwa ni wanafiki. Hili litamu effect sana kisaikolojia na itampelekea kukubali matakwa ya wananchi!
Ataamua kwenda Kanisani maana hamna namna!
 
NGOJA TUSUBIRI HIYO KESHO WATAKAOJITOKEZA KWENYE SHEREHE YA KUMUAPISHA , NATAMANI MABAROZI WAWAKILISHI WA NCHI Z NJE WASUSIE PIA.
Mtaishia kuwaita wasaliti, wenzenu wanatumia vichwa kufikiri, sio makalio. Subiri kesho.
 
Hivi mtu yuko mwenyewe na wafuasi wake kwa majina bandia ulitegemea watangaze nini? Lazima tuletewe takwimu anazozitaka yeye tu. Yuko peke yake kama mtu anavyokwenda msalani peke yake atakavyoamua kufanya akiwa ndani ni uamuzi wake sisi hatuna haja ya kumuuliza. Hata wakisema kachaguliwa na watu milioni 20, idadi ambayo ni kubwa kukiko wakazi wa visiwani shauri yake. Ndiyo maana wenye akili wamekataa kuwa waangalizi wa kimataifa toka nchi za wenye kujitambua wamegoma kwenda huko ili wasionekane vikatuni machoni pa wenye akili
 
Au matokeo yamejumlishwa na Yale waliyoiba October 25, 2015 Kwa ukimya wa vituoni kule Pemba na unguja hata kura laki moja haifiki Tanzania Kwa sarakasi hizi wanazijua walah
 
NGOJA TUSUBIRI HIYO KESHO WATAKAOJITOKEZA KWENYE SHEREHE YA KUMUAPISHA , NATAMANI MABAROZI WAWAKILISHI WA NCHI Z NJE WASUSIE PIA.
Wakisusa sisi tunakula yote sawa tu shein ni Rais wa zanzibar.
 
Ajabu hiyoo, Iliyotokea Chake.
Kunfaywa uchaguzi, Seifu asipatee!
 
Tungoje wanaharakati watayapata tu makaratasi ya idadi ya kura walizopata ccm
 
Kwa mujibu wa moja ya wafanyakazi wa tume ya uchaguzi zanzibar ZEC jina tunalihifadhi kwa usalama wake anasema kuwa idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi wa marudio visiwani humo ni 58,732 hii ni sawa na asilimia 10% tu ya wapiga kura wote waliojiandikisha 2015..Na katika kura hizo Dr shein alipata kura 48,175. (hii ni aibu kwa dr.shein)

Ishu ikawa je tutamtangazaje shein kuwa mshindi kwa kura elfu 48?..Katika mjadala huo na ndipo mwenyekiti wa ZEC jecha akataka kupewa muda awasiliane na Dr shein baada ya dakika 18 alirejea na kusema kuwa ameshauliana na dr.shein kuwa ZEC wafanye liwezekanalo lakini shein asipate kura chini ya laki 2 (hii inaitwa kupanga matokeo ya mechi).

Baada ya hapo mwenyekiti wa tume jecha akawaita maafisa watatu wa tume na kwenda nao chemba na kukaa huko kwa takribani saa 1 na walivyorudi kwenye kikao walirudi na kura za shein 299,982 ambazo hazikujulikana zilitoka wapi..Na jecha akasisitiza kuwa kwa kilichofanyika pale kiwe siri sana.
C&p


hii habar ingawa tamu endapo angalau nyaraka flan zingekuwepo kuipa nguvu zaid
 
Bado endeleeni kususa CUF mbona mnaanza kuutamani uchaguzi wakati umeshapita!!?
 
Kwa mujibu wa moja ya wafanyakazi wa tume ya uchaguzi zanzibar ZEC jina tunalihifadhi kwa usalama wake anasema kuwa idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi wa marudio visiwani humo ni 58,732 hii ni sawa na asilimia 10% tu ya wapiga kura wote waliojiandikisha 2015..Na katika kura hizo Dr shein alipata kura 48,175. (hii ni aibu kwa dr.shein)

Ishu ikawa je tutamtangazaje shein kuwa mshindi kwa kura elfu 48?..Katika mjadala huo na ndipo mwenyekiti wa ZEC jecha akataka kupewa muda awasiliane na Dr shein baada ya dakika 18 alirejea na kusema kuwa ameshauliana na dr.shein kuwa ZEC wafanye liwezekanalo lakini shein asipate kura chini ya laki 2 (hii inaitwa kupanga matokeo ya mechi).

Baada ya hapo mwenyekiti wa tume jecha akawaita maafisa watatu wa tume na kwenda nao chemba na kukaa huko kwa takribani saa 1 na walivyorudi kwenye kikao walirudi na kura za shein 299,982 ambazo hazikujulikana zilitoka wapi..Na jecha akasisitiza kuwa kwa kilichofanyika pale kiwe siri sana.
C&p
Uwazi na ukweli na isiwe udaku. Tunaomba uthibitisho wa takwimu hizo, na chanzo aminika.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom