Tetesi: Siri ya Matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar yaja juu

Tetesi: Siri ya Matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar yaja juu

Sijawahi ona watu wapumbavu kama hizi ngozi nyeusi, ni bora tutawaliwe tena kama ilivyokuwa ili tufunguke akili! apite tu Donald Trump! tumechoka kupelekwa kama makondoo

Mkuu Maneno mazito sana, Pole sana ila usikate tamaa kwani kila linalopangwa chemba au gizani jambo hilo huwa na tabia ya kuwaumbua wale walilolipanga.tuvute subira kidogo wataanza kusema sio mimi alikuwa fulani.
 
Jinsi tulivyo na stress za maisha habari kama hii eti tutaiamini
Kuna haja yakufanyia Review elimu yetu ,aliyesoma ndo anakua mpumbavu kabisa....!!
 
nakala ya uzi huu imfikie mchumia tumbo anayeitwa Kizibao , mkazi wa maeneo ya mchambawima , unguja .
Naona bado mnaendelea kujifurahisha kwa uwongo wenu na amekuambia nani kama maalim seifi anaungwa mkono 95% naona hata kusema uwongo hamjui.. Maalim seif anaungwa mkono na wapemba tu.. Na huyo kwa unafiki wake amekuja eti wameshiriki watu 50 alfu na watu wazima wenye akili zao wanamuamini...Hivi hizi kauli zenu mbona zinabadilika...yaani kutaka kuwa convince watu mmekuja na kauli million moja na kila siku mnazuwa jipya na bahati mbaya Zaidi mnalozungumza leo basi linapingana na mlilozungumza jana...Sasa nasubiri kesho mtasema nini kwani mtaendelea kutapatapa tu...pengone kesho baada ya kuapisha mtakuja na kusema ZNZ kuvamiwa kijeshi... hahahahahaha...tumieni ubongo wenu kufikiri.Ninakuambia tena Dunia itakwisha Maalim Seif hatokuwa Rais ZNZ yaani bora wewe una nafasi kubwa sana ya kuwa Rais lakini yeye Hilo halitotokea milele..tulikuambieni kabla ya uchaguzi na tunakuambieno leo na kesho tunakuambieni tena
 
Japokuwa inadhaniwa kuwa siri hiyo haijulikani, mioyo yao inawasuta sana. Yaani ni kwamba, watu wamemkataa Shein. Watu wameikataa serikali ya CCM. Sasa nchi itatawalikaje? Mioyo ya watu haimo na kiongozi wao. Hayo yatakuwa ndio matatizo ya ndani ya Zanzibar. Lakini kuna matatizo mengi zaidi nje ya Zanzibar. Kuna neno la Mungu ndani ya Biblia linasema: "Haki huinua Taifa. Bali dhambi ni aibu kwa watu wote." Haya ndiyo yanayokwenda kuipata Zanzibar. Na itakuwa aibu sio kwa Zanzibar tu, bali ni kwa Tanzania nzima. Hapo ndipo itakuwa aibu kwa watu wote.
 
Naona bado mnaendelea kujifurahisha kwa uwongo wenu na amekuambia nani kama maalim seifi anaungwa mkono 95% naona hata kusema uwongo hamjui.. Maalim seif anaungwa mkono na wapemba tu.. Na huyo kwa unafiki wake amekuja eti wameshiriki watu 50 alfu na watu wazima wenye akili zao wanamuamini...Hivi hizi kauli zenu mbona zinabadilika...yaani kutaka kuwa convince watu mmekuja na kauli million moja na kila siku mnazuwa jipya na bahati mbaya Zaidi mnalozungumza leo basi linapingana na mlilozungumza jana...Sasa nasubiri kesho mtasema nini kwani mtaendelea kutapatapa tu...pengone kesho baada ya kuapisha mtakuja na kusema ZNZ kuvamiwa kijeshi... hahahahahaha...tumieni ubongo wenu kufikiri.Ninakuambia tena Dunia itakwisha Maalim Seif hatokuwa Rais ZNZ yaani bora wewe una nafasi kubwa sana ya kuwa Rais lakini yeye Hilo halitotokea milele..tulikuambieni kabla ya uchaguzi na tunakuambieno leo na kesho tunakuambieni tena
uongo utakusaidia nini ? kama maalim seif anapendwa na wapemba mbona amewagalagaza unguja ?
 
uongo utakusaidia nini ? kama maalim seif anapendwa na wapemba mbona amewagalagaza unguja ?
Seif hajapatapo kuongoza kwa kura Unguja.. hata katika yale matokeo yenu Feki mliyoyatoa basi hakuongoza
 
Siku ya kutangaza matokeo yule mbilikimo mke wa cheni alicheka mapaka ushuzi ulimtoka. Hakuamini kama cheni anarudi madarakani baada ya kufanya mapinduzi ya tar 20/03/16. Shame on ccm na magufuli wake, stupid kabisa
 
Kwani baba wa Taifa la Zanzibar mwaka 1964 alipata kura nagapi ? Mbona mzee wetu alitawala vizuri Zenj ? Mapinduzi Daima kama hutaki ushindi wa Shein shahuri lako , ndo Rais wetu ebooo !
 
NGOJA TUSUBIRI HIYO KESHO WATAKAOJITOKEZA KWENYE SHEREHE YA KUMUAPISHA , NATAMANI MABAROZI WAWAKILISHI WA NCHI Z NJE WASUSIE PIA.
ok kesho bila shaka mtaona jinsi uwanja utakavyojaa.mtasema wanapelekwa kwa nguvu uwanjani.
 
Naona bado mnaendelea kujifurahisha kwa uwongo wenu na amekuambia nani kama maalim seifi anaungwa mkono 95% naona hata kusema uwongo hamjui.. Maalim seif anaungwa mkono na wapemba tu.. Na huyo kwa unafiki wake amekuja eti wameshiriki watu 50 alfu na watu wazima wenye akili zao wanamuamini...Hivi hizi kauli zenu mbona zinabadilika...yaani kutaka kuwa convince watu mmekuja na kauli million moja na kila siku mnazuwa jipya na bahati mbaya Zaidi mnalozungumza leo basi linapingana na mlilozungumza jana...Sasa nasubiri kesho mtasema nini kwani mtaendelea kutapatapa tu...pengone kesho baada ya kuapisha mtakuja na kusema ZNZ kuvamiwa kijeshi... hahahahahaha...tumieni ubongo wenu kufikiri.Ninakuambia tena Dunia itakwisha Maalim Seif hatokuwa Rais ZNZ yaani bora wewe una nafasi kubwa sana ya kuwa Rais lakini yeye Hilo halitotokea milele..tulikuambieni kabla ya uchaguzi na tunakuambieno leo na kesho tunakuambieni tena

Hayo ya upemba ndio yaliyo fanya sheni kupata hizo 48,175. Tu suala hapa lipo wazi vituo vilikua vitupu kote unguja na pemba.
Ubaguzi wa kuwagawa wazanzibari ndio ujinga wa mwishi mlio nao. Cuf inaringa sana kwani imekuonesheni kuwa nani anaungwa mkono na wananchi

Hebu pitia ushindi wa wawakilishi ..mbona hautangazwi yana fichwa...lile jimbo moja alopata UPDP jimbo basi yeye kashinda kwa kura 277 na ccm 250 ...hizi ni kura za baraza lakini jimbo hilo hilo la ziwani Ccm wakampa sheni kura 3000+
Hata aibu hamna basi..ccm imekwisha kabisa unafikiri watu wanafurahia kuletewa ndani ya nchi yao majeshi na magari na maaskari kuleta fadhaa kwa raia ? Hata akiwa ccm basi anabadilika hawezi mzalendo kukubali ujinga huo hata siku moja...wananchi wapo kimya hawajafanya hata maandamano wamesikiliza viongoxi wao...nina uhakika zoezi hilo la kuleta majeshi na mapolisi sio wazo la ccm wote znz ...
Upemba na uunguja mwisho kisonge....sisi ni wazanzibari wacha tongo tongo
 
Kwa mujibu wa moja ya wafanyakazi wa tume ya uchaguzi zanzibar ZEC jina tunalihifadhi kwa usalama wake anasema kuwa idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi wa marudio visiwani humo ni 58,732 hii ni sawa na asilimia 10% tu ya wapiga kura wote waliojiandikisha 2015..Na katika kura hizo Dr shein alipata kura 48,175. (hii ni aibu kwa dr.shein)

Ishu ikawa je tutamtangazaje shein kuwa mshindi kwa kura elfu 48?..Katika mjadala huo na ndipo mwenyekiti wa ZEC jecha akataka kupewa muda awasiliane na Dr shein baada ya dakika 18 alirejea na kusema kuwa ameshauliana na dr.shein kuwa ZEC wafanye liwezekanalo lakini shein asipate kura chini ya laki 2 (hii inaitwa kupanga matokeo ya mechi).

Baada ya hapo mwenyekiti wa tume jecha akawaita maafisa watatu wa tume na kwenda nao chemba na kukaa huko kwa takribani saa 1 na walivyorudi kwenye kikao walirudi na kura za shein 299,982 ambazo hazikujulikana zilitoka wapi..Na jecha akasisitiza kuwa kwa kilichofanyika pale kiwe siri sana.
C&p
hii ina ukweli fulani kwa sababu Shein hajawahi kufikisha kura hala 180,000. Na kama walikuwa wakigawana nusu kwa nusu na Seif, na wapiga kura walikuwa asilimia 67, ukifanya cross multiplication, utakuta kura zake zingekuwa kama asilimia 70 ya waliopiga kura. Jecha ni Pimbi
 
Wacha uwongo huu
Hayo ya upemba ndio yaliyo fanya sheni kupata hizo 48,175. Tu suala hapa lipo wazi vituo vilikua vitupu kote unguja na pemba.
Ubaguzi wa kuwagawa wazanzibari ndio ujinga wa mwishi mlio nao. Cuf inaringa sana kwani imekuonesheni kuwa nani anaungwa mkono na wananchi

Hebu pitia ushindi wa wawakilishi ..mbona hautangazwi yana fichwa...lile jimbo moja alopata UPDP jimbo basi yeye kashinda kwa kura 277 na ccm 250 ...hizi ni kura za baraza lakini jimbo hilo hilo la ziwani Ccm wakampa sheni kura 3000+
Hata aibu hamna basi..ccm imekwisha kabisa unafikiri watu wanafurahia kuletewa ndani ya nchi yao majeshi na magari na maaskari kuleta fadhaa kwa raia ? Hata akiwa ccm basi anabadilika hawezi mzalendo kukubali ujinga huo hata siku moja...wananchi wapo kimya hawajafanya hata maandamano wamesikiliza viongoxi wao...nina uhakika zoezi hilo la kuleta majeshi na mapolisi sio wazo la ccm wote znz ...
Upemba na uunguja mwisho kisonge....sisi ni wazanzibari wacha tongo tongo

Wacha uwongo huu umeenda kaskazini unguja au kusini unguja na wilaya ya magharibi yaani nyinyi watu mna matatizo.. Hivi umesoma Gazeti na lipashe la jana.. Jina matokeo ya wawakilishi.
Pemba watu wote waliojiandikisha kura ni laki moja na arobaini something sasa kupata kura 48,1175 kwa hivyo inaonyesha amepata kura Zaidi ya 25% kutoka Pemba.

Upemba na Uunguja umenza Pemba na unaendelezwa nawapemba tangu mwaka 1985.. Baada ya seif kupitwa na kwa kura saba na mzee Idrissa na akahamaki kwa uroho wa madaraka akenda Pemba na kuanza kupiga kampeni za wazi kabisa ya kuwa Idrissa asipewe kura na Yeye Seif hakuchaguliwa kwa Sababu ni mpemba...Na kuanzia hapo akaanza kuhubiri upemba wake kuwa mission ya kumfanya kuingia ikulu....

Na angalia kama CUF siku itakayomchagua muunguja kugombea uraisi kama wapemba hawatompinga wazi wazi kabisa
 
CCM Ktk ubora wao! Licha ya figisufigusu Zote ndo wamepata hizo 48k tu??
Jecha alitangaza kura za Rais moja kwa moja badala ya utaratibu wa kutangaza matokeo ya majimbo.
Sasa ndio wana panga matokeo kwa majimbo na yatata tangazwa baadae.

Waziri wa fedha Zanzibar ndie mtaalamu wa kupanga matokeo

Kura zilo pigwa 2015 ni 349756
Kura zilo pigwa 2016 ni 341865 difference of 7891 na hawa ndio waliogoma ?
Mgombea CCM kapata 299,982 kwa hivyo kura 41883 ndio zimemkataa
 
Hili lazima hata Hamad Rashid analijua, sasa inakuwaje MTU mzina kama yule anasimama na kusema maneno kama Yale yakuunga mkono hadharani matokeo yale? Huyu ni mnafiki mkubwa sana, ccm wakiunga mkono hilo linaeleweka sasa yeye toka chama cha upinzani tumweleweje?
Huyo akae huko huko Zanzibar na unafiki wake asiulete Dar anakofanya makazi yake
His spirit of vengeance won't help the chap!
 
Back
Top Bottom