Siri ya mkoa wa Geita kuwa na matukio ya ovyo na ya ajabu hii hapa

Siri ya mkoa wa Geita kuwa na matukio ya ovyo na ya ajabu hii hapa

Tanzania nzima hamna mkoa uliolaanika kama Dodoma.
Hospital ya vichaa iko Dodoma
Ukoma ugonjwa na kiashiria cha laana ni Dodoma.

GEREZA la kunyongea liko Dodoma.
Dodoma ardhi yake haina rutuba
Dodoma ni pakame kama jangwa
Dodoma ni kuzimu halisi
Mbona makao makuu yapo dodoma
 
Tanzania nzima hamna mkoa uliolaanika kama Dodoma.
Hospital ya vichaa iko Dodoma
Ukoma ugonjwa na kiashiria cha laana ni Dodoma.

GEREZA la kunyongea liko Dodoma.
Dodoma ardhi yake haina rutuba
Dodoma ni pakame kama jangwa
Dodoma ni kuzimu halisi
We Itakuwa Ulifanyiwa Kitu kibaya Dododma
 
Tatizo la watu wa Geita ni elimu duni mno,pia Imani za kishirikina zimetawala kupita kiasi ,pia Kuna umasikini wa kustua!? Nilipofika huko Kwa mara ya kwanza nilishangaa Sana!!
Wana Geita Wana urafiki wa karibu na fisi!??
 
Kuna shoga mmoja aliajiriwa kama housgirl maeneo ya dar,Sasa best yangu mmja ni mchungaji kumuuliza ni vipi ulianza hyo tabia,akasema alikuwa anaishi na dad'a yake aliolewa huko Geita .Basi dada akiwa hayupo shemeji mtu anamwambia dogo njoo nikufundishe ujanja,akawa anamlawiti dogo mpaka kaharibikiwa
 
Tanzania nzima hamna mkoa uliolaanika kama Dodoma.
Hospital ya vichaa iko Dodoma
Ukoma ugonjwa na kiashiria cha laana ni Dodoma.

GEREZA la kunyongea liko Dodoma.
Dodoma ardhi yake haina rutuba
Dodoma ni pakame kama jangwa
Dodoma ni kuzimu halisi
Umesahau Dodoma ni makao makuu ya chama na serikali!!
Dodoma ni nyumbani Kwa mwanajamii forum alimaarufu Mpwayungu yeye huwananga walimu na kuwafedhesha kisa aliutaka ualimu akaukosa!!
Dodoma ndiko mwanasiasa maarufu TL alipigiwa risasi!?Haina Dodoma Iko na shida
 
Kuna shoga mmoja aliajiriwa kama housgirl maeneo ya dar,Sasa best yangu mmja ni mchungaji kumuuliza ni vipi ulianza hyo tabia,akasema alikuwa anaishi na dad'a yake aliolewa huko Geita .Basi dada akiwa hayupo shemeji mtu anamwambia dogo njoo nikufundishe ujanja,akawa anamlawiti dogo mpaka kaharibikiwa
Kama housegirl au kama houseboy eleweka mkuu
 
Wakulaumiwa geita kuwa ovyo mbona wanajulikana

Ova
 
Back
Top Bottom