MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,550
- 12,239
Mpaka uje kubwakwa ndio utajua kweli au majaribioSio kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka uje kubwakwa ndio utajua kweli au majaribioSio kweli
Acha comedy kwenye uzi wangu mkuuMpaka uje kubwakwa ndio utajua kweli au majaribio
Wakinga nao wana huo ujinga wa kuamini ushirikina.Njombe Nako shida nini
Tanzania nzima hamna mkoa uliolaanika kama Dodoma.Unamaanisha nini kusema laana
Mkuu Samahani kama nimekukwazaAcha comedy kwenye uzi wangu mkuu
Mbona makao makuu yapo dodomaTanzania nzima hamna mkoa uliolaanika kama Dodoma.
Hospital ya vichaa iko Dodoma
Ukoma ugonjwa na kiashiria cha laana ni Dodoma.
GEREZA la kunyongea liko Dodoma.
Dodoma ardhi yake haina rutuba
Dodoma ni pakame kama jangwa
Dodoma ni kuzimu halisi
We Itakuwa Ulifanyiwa Kitu kibaya DododmaTanzania nzima hamna mkoa uliolaanika kama Dodoma.
Hospital ya vichaa iko Dodoma
Ukoma ugonjwa na kiashiria cha laana ni Dodoma.
GEREZA la kunyongea liko Dodoma.
Dodoma ardhi yake haina rutuba
Dodoma ni pakame kama jangwa
Dodoma ni kuzimu halisi
Na naniWe Itakuwa Ulifanyiwa Kitu kibaya Dododma
Ndio maana nchi haiendelei ndege ya USD 35 mil inaununuliwa USD 80milMbona makao makuu yapo dodoma
Upewe wewe uindeshe kama unaona ni rahis[emoji35]Ndio maana nchi haiendelei ndege ya USD 35 mil inaununuliwa USD 80mil
Very easy. One bullet to every thief, nchi itanyookaUpewe wewe uindeshe kama unaona ni rahis[emoji35]
Mwanageita umeibuka!!Hata wewe una matatizo ya akili, uchunguzi wako umebase kushambulia kinafiki kutokana na umasikini wa watu wa huko.
Mwanageita umeibuka!!
Umesahau Dodoma ni makao makuu ya chama na serikali!!Tanzania nzima hamna mkoa uliolaanika kama Dodoma.
Hospital ya vichaa iko Dodoma
Ukoma ugonjwa na kiashiria cha laana ni Dodoma.
GEREZA la kunyongea liko Dodoma.
Dodoma ardhi yake haina rutuba
Dodoma ni pakame kama jangwa
Dodoma ni kuzimu halisi
Kama housegirl au kama houseboy eleweka mkuuKuna shoga mmoja aliajiriwa kama housgirl maeneo ya dar,Sasa best yangu mmja ni mchungaji kumuuliza ni vipi ulianza hyo tabia,akasema alikuwa anaishi na dad'a yake aliolewa huko Geita .Basi dada akiwa hayupo shemeji mtu anamwambia dogo njoo nikufundishe ujanja,akawa anamlawiti dogo mpaka kaharibikiwa
Duh,Ubakaji Geita loh...wanabaka sana yani uwe mwanaume uwe mwanamke,ukikaa hovyo unabakwa..