Elections 2010 Siri ya Mshahara wa Rais na Marupurupu ya Rais Wastaafu...

Utashangaa kesho watu wataandamana sehemu mbalimbali kuunga mkono "hotuba ya kihistoria ya rais aliyoitoa kwenye kumbi wa Diamond Jubilee Mei 04, 2010"

Tabora tayari wametangaza kuandamana kumuunga mkono JK kwa hotuba yake "nzuri" kwa wazee wa Dar! Hii Tanzania bwana. Zaidi ya tunavyoifahamu.
 
SWALI LA KIZUSHI: Mnyalu Lukuvi analipwa mshahara upi? wa mbunge? au mkuu wa mkoa?

Hili swali inabidi ajibu Hosea ndo anae elewa huyu Lukuvi anakula mishahara mingapi na posho ngapi anakula.
 
Ama kweli aliye juu mshikie manati,..atashuka tu.
 
change
SWALI LA KIZUSHI: Mnyalu Lukuvi analipwa mshahara upi? wa mbunge? au mkuu wa mkoa?

mbunge kutoka Sh1,840,000 hadi Sh1,921,000, ikiwa ni ongezeko la Sh81,000 kwa mwezi.
Mkuu wa mkoa, ambaye anapata mshahara wa Sh2,172,000, sasa atalipwa Sh2,080,000
 
This is not true at all. Huo mtaa alioujenga kule maisara zanzibar asingeweza kwa mshahara huo hata angejenga mbavu za mbwa
 
"I may be smilling in face, but tough in action" JK

Kumbe alikuwa na maana kwa wanyonge tu, si kwa mafisadi na wezi na wanafiki wa siasa

"Maisha bora kwa kila Mtanzania" JK
Kumbe alimaanisha kwa marafiki zake tu , si unajua tena, all animals are equal, but some are more equal than others....

" Sheria ya uchaguzi kudhibiti matumizi makubwa ya fedha wakati wa kampeni" JK

Hapo hapo, hahitaji kura za wafanyakazi kwa miaka nane ijayo.......patamu kweli kweli.

Ukiona mtu ( tena aliyesomea uchumi) hajarli nguvu ya wafanyakazi ujue hyo mtu ni wa kuogopwa kama ukoma. Kwa kawaida wafanyakazi ndio wako mjini, ndio waliosoma, na ndiyo wenye mwamko wa kisiasa. Ukiwadharau hawa , lazima ushindwe kwenye uchaguzi. Lakini kwa JK ushindi ni lazima, hata kama hamtamchagua. Be warned.......
 
mbona jibu sijaona kuhusu mshahara wa rais???????????????...........au anajitolea tu halipwi???????????????
nchi za watu mambo haya yapo wzazi sana.../
 
Inashangaza na KUTISHA!! kwamba hadi sasa hatujui viongozi wetu wanavuta sh ngapi kwa mwezi! Na tushangaa kwanini nchi masikini...Watanzania tumechelewa kuamka lakini naona sasa taratibu tumeamua kufungua macho! Wenzetu Kenya hapo wanaongelea Constitutional Reform ETC sisi tunaangaika na Mishahara...we have a long way to go...tujilaumu wenyewe kwa kudiscuss haki zetu kwenye ma bar badala ya kusema kwa nguvu tusikike!!
 
inatisha sana,sasa waandishi wa habari/wahariri wa magazeti si mnapitia humu?au kuna vitisho fulani

hebu mtuhabarishe kuhusu haya;
1.ili tujue kumbe mshahara wa viongozi fulani tu ni siri na sababu tuipate!
2.uwiano wa mishahara iyo na utendaji/wingi wa majukumu yao
3.na hayo marupu-rupu {for Gods sake} chanzo cha mapato
4.kama vyote apo juu ni siri,basi tupate sababu nzito zenye akili kwanini!!
5.je nchi za jirani zetu na kwingineko mapato ya viongozi ni siri?hata kama chanzo chake si kodi ya raia

matusi ya JK/CCM na ufisadi ni agenda kuu ya nchi
 
A retirement benefits package to dream of: Why Mkapa didn`t have to do business at Ikulu:

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam


FORMER President Benjamin Mkapa is already guaranteed a comfortable life after retirement, courtesy of taxpayers’ money, according to legislation that he himself assented to while at State House.

The current Political Service Retirement Benefits Act, passed by the National Assembly in 2000, spells out a generous package of retirement perks for the former president, including an annual pension granted monthly of a sum equal to 80 per cent of the salary of incumbent President Jakaya Kikwete.

On top of that, Mkapa also now gets a monthly maintenance allowance also equal to 80 per cent of Kikwete’s current salary.

Furthermore, after leaving public office, he was entitled to receive a gratuity of a sum equal to 50 per cent of the total sum received by himself as salaries during his entire ten-year tenure as head of state from 1995.

Mkapa also received a winding-up allowance of a sum equal to the amount that would be received as salary in 24 months by incumbent President Kikwete.

Apart from this financial windfall, the legislation also allows the ex-president to continue using diplomatic passports for himself and his wife, plus the use of the VIP lounge at all airports.

He was also given a health insurance policy that covers medical treatment within Tanzania, plus the services of two motor vehicles to be provided by the government, and two drivers.

Also included in Mkapa’s handsome retirement benefits package is a fully-furnished house of not less than four bedrooms, two of which shall be self-contained, with a furnished office and servants’ quarters.

The specific legislation also guarantees ’’all necessary security and other protection services to himself and his immediate family.’’

Courtesy of taxpayers’ money, the former president also gets one of each of the following: Personal assistant, personal secretary, office attendant, personal cook, laundry man, domestic servant, and gardener.

And if he is requested to travel outside Tanzania on official (Kikwete) government business, only first class travel is appropriate for Mkapa, with the state also obliged to foot travel expenses for his spouse and two assistants.
Overall, the perks listed in the legislation in question basically ensured that the ex-president would be well taken care of by the state for the rest of his life, after retirement in 2005.

But still, Mkapa stands accused of aggressively seeking to acquire even more personal wealth during his tenure as president, regardless of the huge pension cheque he knew he would receive after leaving public office.

Records show that the legislation in question was assented hardly a year after Mkapa and former first lady Anna Mkapa started their own private business company, ANBEM Limited, and operated it from within the Ikulu premises.

ANBEM Ltd dealings included obtaining loans totalling 750m/- from the National Bank of Commerce (NBC) and CRDB Bank, some of this money reportedly being used to buy a two-storey building in Dar es Salaam’s upmarket Sea View area, which has now been rented to Bank (M) Tanzania Limited.


[The rest of the story can be read at: www.thisday.co.tz]
 

Waandishi wa Habari wepi wakati asilimia 90 ya hao jamaa wameishatiwa 'mfukoni' na wengine wanahofia maisha yao na ya familia zao?! Mmoja mwenye ngozi ya kenge anayestahili pongezi ni Kubenea ambaye pamoja na kumwagiwa Tindikali bado anaendelea na msimamo wake.
 
Mishahara na marupurupu ya hawa viongozi wetu wala msihangaike kuitafuta kwa sababu katu hamuwezi kupewa mkaijua maana wanajua wanawadhulumu wananchi maskini.
 
...Kweli hii ni nchi ya watu wa ajabu, including me! Yaani hata mshahara wa mtu niliyemuajiri mwenyewe kwa kura yangu ni siri nisiyotakiwa kuijua???? Mungu Ibariki TZ.
 
Hii nchi inaendeshwe [COLOR]kisenge senge[/COLOR] sana. Yaani mpaka leo hatujui mshahara wa raisi ni kiasi gani. Huu mshahara si unatokana na kodi za wananchi au?

Mkuu NN si vizuri kuweka matukano hata kama jambo fulani linakera sana.
Ni kweli naonja namana inavyokuudhi SANA.
 

Nani kakwambia huyo anangozi unayoitaja? umewahi kujiuliza ni toleo lipi la M'Halisi limewahi kuandika kosa JK? Tafuta ukipata taja namba yake hapa. Lakini tafuta ni matoleo mangapi yameandika makosa ya EL na RA. Jiulize kwanini alikuwa anamwandama sana EL ni muungwna hamgusi( to know what is behind go to the scratch, who is the founder of "mtandao").
Hivi unaijua TINDIKALI au unasimuliwa wewe? wakumwagie tindikali machoni na macho yawe mazima? wakati uatafuta jibu la swali hilo, jikumbushe nani kiongozi wa juu aliyekwenda kumwona pale Muhimbili, kisha ni nani aliyefadhili safari yake ya kwenda India kwenye "matibabu" kama sio "utalii"?
 
Mshahara wa Lukuvi = Ubunge (Sh1,921,000) + Ukuu wa Mkoa (Sh2,080,000) = 4,001,000 ( Hapa nimeondoa posho za Ubunge na Ukuu wa Mkoa)

Duh! Only in Tanzania wakati tunalalamika Ukosefu wa Ajira kuna watu wana ajira Mbili mbili, wakati Mtu analipwa Milioni 4 kwa Mwezi mwingine analipwa 80,000 kwa Mwezi kaaazi kweli kweli
 
Kwa hiyo ina maana kwa hawa mawaziri ambao pia ni wabunge. Mfano Spika wa Bunge ambaye pia ni mbunge wa Urambo, je anapita mishahara hiyo miwili ya Uspika na Ubunge?????????????????????????????????? na katiba ya nchi inasemaje kuhusu kuwa na ajira mbili?????????????
 

MKULU.
Hizo ni hasira, ujue watu wana machungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…