Elections 2010 Siri ya Mshahara wa Rais na Marupurupu ya Rais Wastaafu...

Elections 2010 Siri ya Mshahara wa Rais na Marupurupu ya Rais Wastaafu...

Not to forget his other 'benefits' is the hotel in Lushoto....
 
Hivi kwa nini sisi Watanzania hatuna raghba ya kutaka kujua raisi wetu analipwa mshahara kiasi gani kwa mwezi? Hili jambo mimi nimeliuliza tokea nikiwa darasa la saba na sijawahi kupata jibu la uhakika na la moja kwa moja. Jibu ambalo hupata ni makisio tu ya watu na kunielekeza niangalia 'pay scale' za serikali. Hii haijibu swali.

Nijuavyo mimi mishahara ya viongozi wetu inalipwa na fedha za walipa kodi labda aje mtu aniambie kuwa inalipwa na fedha za wafadhili. Lakini kama sisi walipa kodi ndio tunawalipa mishahara hawa viongozi, basi tuna kila haki ya kujua wanalipwa kiasi gani.

Mbona mishahara ya wabunge iko wazi. Kwa nini ya raisi na makamu wake haiko wazi? Au ni mimi tu nisiyejua wanalipwa kiasi gani?

Anayejua tafadhali anijuze na mimi niweze kujua. Linanisumbua sana hili jambo.
 
swali zuri, jibu lake sina. Ukipata tujuzane humu jamvini
 
Ni hulka ya raisi mwenyewe kutaka kuanika mshahara wake ila kama una mizengwe ya apa na pale hautakaa uujue watakwambia ni siri
 
Ni hulka ya raisi mwenyewe kutaka kuanika mshahara wake ila kama una mizengwe ya apa na pale hautakaa uujue watakwambia ni siri

Mwajiri wa raisi ni nani? Kama sisi ndio mwajiri wake basi ni lazima tujue. Au kuna mwajiri asiyejua mshahara wa mwajiriwa wake?
 
Kuna siku nigoogle dunia nzima ili nione mkwere analipwa ngapi in vain. Sijaona sababu ya msini ya kutufanya tusifahamu ni ngapi analipwa. Ukiuliza usishangae kuambiwa NI KWA USALAMA WA TAIFA, so what?
 
Ni hulka ya raisi mwenyewe kutaka kuanika mshahara wake ila kama una mizengwe ya apa na pale hautakaa uujue watakwambia ni siri
suala lake sio mshaara, maana mshaara waweza kuwa ni 100,000 lakini matumizi mengine ambayo serikali inaingia kwake.mana yeye ndio aneiendesha nchi na ndie anaetoa amri sio mwingine...
wale wasaidizi wakipewa oda alafu wasifanye ipasavyo ndo uwa unakuta mtu anahamishwiwa kwingine au anapotezwa tu katika nafasi aliyonayo..
kwa ufupi mshahara uwa wanaufanya siri na hata kwa wanaoujua uwa hawajui allowance nyingine

 
Najua mpaka wakati Ali Hassan Mwinyi anatoka kwenye urais total package kwa mwezi ilikuwa Tshs 30m.
Ni muda mrefu umepita sijajua kwa sasa total package kwa mwezi ni shilingi ngapi
 
suala lake sio mshaara, maana mshaara waweza kuwa ni 100,000 lakini matumizi mengine ambayo serikali inaingia kwake.mana yeye ndio aneiendesha nchi na ndie anaetoa amri sio mwingine...


Lakini anaiendesha nchi kwa ridhaa ya nani (kama unaamini alichaguliwa kihalali) kama si wananchi?

wale wasaidizi wakipewa oda alafu wasifanye ipasavyo ndo uwa unakuta mtu anahamishwiwa kwingine au anapotezwa tu katika nafasi aliyonayo..
kwa ufupi mshahara uwa wanaufanya siri na hata kwa wanaoujua uwa hawajui allowance nyingine

Raisi ni mwajiriwa wetu na hakuna sababu ya yoyote ile ya msingi sisi waajiri wake kutojua fidia apatayo kwa kazi yake. Ni upumbavu wetu tu ndiyo unaotufanya tuogope hata kuuliza. Sijawahi hata siku moja kusikia mwandishi wa habari akimwuliza raisi swali hilo.
 
Najua mpaka wakati Ali Hassan Mwinyi anatoka kwenye urais total package kwa mwezi ilikuwa Tshs 30m.
Ni muda mrefu umepita sijajua kwa sasa total package kwa mwezi ni shilingi ngapi

Ulijuaje?
 
Kuna siku nigoogle dunia nzima ili nione mkwere analipwa ngapi in vain. Sijaona sababu ya msini ya kutufanya tusifahamu ni ngapi analipwa. Ukiuliza usishangae kuambiwa NI KWA USALAMA WA TAIFA, so what?


Mmhh!!! Kwa Mkwere ngumu kupata jibu, lakini angekuwa Dr. Slaa angetangaza wa kwake mwenyewe hadharani. Simnajua aliropoka bungeni kuwa analipwa 7m, wakataka kumfukuza.
 
The president earns a $400,000 annual salary, along with a $50,000 annual expense account, a $100,000 non-taxable travel account and $19,000 for entertainment.[35][36] The most recent raise in salary was approved by Congress and President Bill Clinton in 1999 and went into effect in 2001.

hiyo ni kwa wa Amerika ila nina wasiwasi marais wa afrika watakuwa wana package nzuri kuliko wa amerika.
 
Zambian president's salary, lowest among African leaders😱fficial
LUSAKA, Aug. 7 (Xinhua) -- Zambian President Levy Mwanawasa earns a monthly salary of 7000 US dollars, presidential spokesman Arthur Yoyo revealed Wednesday.
Refuting local media reports Wednesday that President Mwanawasa earns a monthly salary of 7,000 dollars, Yoyo said there was a great discrepancy between what President Mwanawasa earns and the salaries of his counterparts in the region and abroad.
"It is therefore saddening that the press should even make judgement on a false premise. The papers cannot claim to have heard Vice-President Enock Kavindele wrongly when the records at parliament …



Source: Zambian president's salary, lowest among African leaders😱fficial - Xinhua News Agency | HighBeam Research - FREE trial
 
afrol News, 8 December - In spite of protests from opposition deputies, the Kenyan parliament yesterday approved a motion that more than doubled the monthly salary of President Mwai Kibaki to make sure he was the best paid state official.
This was meant to bring Mr Kibaki's salary in tandem with high-profile officials who were said to be earning more than the President. It is believed that the former President, Daniel arap Moi, and the head of the national anti-graft agency were earning more than President Kibaki.

President Kibaki will now earn close to US$ 27,600 a month. His salary was originally pegged at US$ 10,000. This increase represents 186 percent.

Kenyan parliamentarians went ahead to approve President Kibaki's retention of his monthly allowance of US$ 17,000. But the same parliament had earlier refused to endorse salary increase for civil servants, teachers and government health workers, despite strikes.
 
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]PRESIDENT Robert Mugabe's annual salary for 2009 has been pegged at US$20,800, according to figures in the national budget unveiled last week.[/FONT] [FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] Mugabe's US$1,733 per month pay includes allowances. It is dwarfed by the US$27,400 paid to Members of Parliament.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] With Zimbabwe's economy in terminal decline and most fingers pointing at Mugabe for the mess, some may feel he is overpaid – but his salary pales into insignificance when compared with what other Presidents in the region are getting.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] Former South African President Thabo Mbeki is known to have been earning US$118,200 (about R1,2 million) per annum, including allowances, when he stood down last year.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] His salary was considered miserly by private sector standards. The average chief executive officer of a listed company in South Africa earns between R3,3-million and R4,5-million a year.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] Even in retirement, Mbeki continues to have all the payments, salaries and other packages that he was receiving the day before he left office, for the rest of his life.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] Mugabe is obviously cushioned by the perks and privileges that come with his office, but with two of his children in university and another in a private school, it becomes apparent he is unlikely to be depending on his salary to pay their fees.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] His daughter, Bona, is attending university in Hong Kong. Fees for foreign students at the university for the 2009/10 academic year are pegged at US$12,896 (£9,062) which would even be a challenge to pay using his savings.

Source:Mugabe's new salary revealed
[/FONT]
 
Nimejaribu kweka salaries za maraisi wa nchi za africa na kule US unachatoakiawa kijaribu kuangalia possibility TZ tutakuwa na mshahara kiasi gani kwa Rais.
 
Najua mpaka wakati Ali Hassan Mwinyi anatoka kwenye urais total package kwa mwezi ilikuwa Tshs 30m.
Ni muda mrefu umepita sijajua kwa sasa total package kwa mwezi ni shilingi ngapi

Hii ikiwa kweli basi hatari sana maana kama zimbambwe na zambia wanapata chini ya US $ 1500 pm sisi tna 30 mil tena za mwaka 1995! hii hatari sana basi na ndio maana hatuendelei na kila mtu anautaka urais...........
 
Nimejaribu kweka salaries za maraisi wa nchi za africa na kule US unachatoakiawa kijaribu kuangalia possibility TZ tutakuwa na mshahara kiasi gani kwa Rais.

Kwa nini tujaribu kuangalia uwezekano raisi wetu analipwa mshahara kiasi gani kwa kuangalia maraisi wegine wa nchi jirani wanalipwa kiasi gani? Kilicho kigumu kupata kiasi cha uhakika kutoka kwenye chanzo cha kuaminika ni kipi? Sioni sababu yoyote ya kuhisihisi raisi wa Tanzania analipwa msharahara kiasi gani.
 
Kwa nini tujaribu kuangalia uwezekano raisi wetu analipwa mshahara kiasi gani kwa kuangalia maraisi wegine wa nchi jirani wanalipwa kiasi gani? Kilicho kigumu kupata kiasi cha uhakika kutoka kwenye chanzo cha kuaminika ni kipi? Sioni sababu yoyote ya kuhisihisi raisi wa Tanzania analipwa msharahara kiasi gani.

Nadhani ni siri na pengine uhaini pia maana watu wakijua wanaweza kuutamani Urais so mie simo maana nimegoogle mshara wa rais wa Tanzania majibu ninayoyapata nayajua mwenyewe yaani hayahusuani kabisa na search zangu :doh:
 
Back
Top Bottom