Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

1. Dhambi vizazi na vizazi vya maskini. Salamu kwa JK na Lowassa.
2. Aliyeko alitamka kuwalinda, na hivi majuzi amekiri hatofukua makabuli, kwa kuwa hana 'ubavu' wa kuyafukia
3. Je TFS mpo?
TFS?
 
Nadhani mambo kama haya ndio tulitakiwa kukomaa nayo.....Hii sera ya monopoly kwenye baadhi ya mashirika inaumiza sana maana haina ushindani?
Kuwalazimisha watanzania kulipa deni wasilo na maslahi nalo kwa sababu ya wajanja wachache! Inauma sana!!!
 
Hii serkal inatia kinyaaa. Kilio changu ni kizazi changu kisijekuta hii serkal bado madarakan.
 
Sometomes huwa nao ni kama dhambi kuzaa na kumleta kiumbe wa Mungu aje aishi kwenye hii nchi ilyojaa watu ambao ni irresponsible citizen.
Hii nchi imejaa dhuruma kila mahala,wao ccm waendelee tu kutawala hakuna shida.
 
Inashangaza mno,vitu sen7sitive kama hivi vinakosa mantiki kwa sababu hii nchi kila kitu kimekuwa ni siasa...hili suala watu waliwajibika..mbele ya muhimili wa nchi..walishindwa kwa hoja..facts zili prove escrow ilikuwa ni "deal"...muhongo akaachia ngaz..maswi akangatuka..CAG na TRA walithibitisha kwa kutoa tafsir kuwa zile ni pesa za wananchi..yan za serikali..chakushangaza..aliyesema..anakuja kusaidia wananchi..wanyonge..kuinua hali ya kiuchumi..ndio huyo huyo aliewarudishia uongoz maswi na muhongo...ham a jipya hapa...sitegemei jipya kutoka huko!
 
Sakata kama hili litatukumbusha mengi sana ya kipuuuzi ya awamu ya nne.
 
Bank ya standard chartered ya hong Kong uenda ikaifilisi TANESCO.

Ni baada ya kuiomba mahakama TANESCO isitishe kwanza kuilipa IPTL mpaka pale itakapoilipa bank hiyo kiasi cha bilioni 320.

Zilizokwapuliwa kupitia bank hiyo hivyo TANESCO itaamuliwa kulipa deni hilo huku waliendelea kuweka pesa kwa ajiri wa kuilipa IPTL

View attachment 432820

My take: Kumbe siri ya kupanda umeme January ndio hiyo TANESCO wanahaha kuhakikisha wanawakamua wananchi ili kulipa deni la IPTL na standard chartered yaani kiufupi TANESCO sasa wanadaiwa Mara mbili.

Masikini Tanzania nawaonea huruma sana wanachi hasa wa vijijini waliowekewa umeme kwa mbwembwe kwa miradi ya Umeme vijijini sasa wanazidi kukamuliwa na serikali kupitia Tanesco.
IPTL Mzimu unaoitafuna Tanzania,Bila shaka mwenye hili dubwasha ni yule mkuu wa dunia.Piga kelele ujuavyo lipo tu. tusipoangalia litakuwepo vizazi na vizazi.pumbavu sana.
 
Naona saizi kuwa Na Umeme ndani ni anasa.
Enzi za JPM kila kitu ni anasa.

1.Kunywa chai, anasa.

2.Kusafiri nje, anasa.

3.Mikutano ya kisiasa, anasa.

4.Kuwa na umeme, anasa.

5.Kupata mafao yako kutoka kwenye mifuko ya kijamii, anasa.

6.kupata mikopo ya Chuo kikuu, anasa.

7.Kuangalia Bunge LIVE, anasa.

8.Stahiki za Seif, anasa.

9.Kuwasaidia wahanga wa tetemeko la Kagera, anasa.

10.Uhuru wa vyombo vya habari, anasa.

............Nadhani ipo siku hata kupumua kutakuwa ni anasa.
 
Enzi za JPM kila kitu ni anasa.

1.Kunywa chai, anasa.

2.Kusafiri nje, anasa.

3.Mikutano ya kisiasa, anasa.

4.Kuwa na umeme, anasa.

5.Kupata mafao yako kutoka kwenye mifuko ya kijamii, anasa.

6.kupata mikopo ya Chuo kikuu, anasa.

7.Kuangalia Bunge LIVE, anasa.

8.Stahiki za Seif, anasa.

9.Kuwasaidia wahanga wa tetemeko la Kagera, anasa.

10.Uhuru wa vyombo vya habari, anasa.

............Nadhani ipo siku hata kupumua kutakuwa ni anasa.
Duuuuh mkuu punguza hasira
 
Serikali yetu wambie IPTL waondoe mitambo hiyo mara mmoja au itaifishe haraka iwezekanavyo. Hii IPTL ni kimeo, ni jipu.ni shetani. Ni mzuka, blackmailers. FUNGA MITAMBO hiyo wahujumu na wachochezi ni baadhi ya watanzania weusi wanaokuza mgogoro kwasababu ya ulafi wa maslahi binafsi
 
Back
Top Bottom