Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

Huku sijaona Rais wala Waziri mkuu kuja kutuona wala kufanya ziara za kustukiza kuna nini huku jamani? IPTL kuna nini?
 
Saizi hamna kiongozi anaye aminika unakuta swala moja kila mtu anaongea anavyo jua yeye.
Inamaana hapo hata wao wenyewe inaonyesha wemeanza kutoaminiana.
Mwananchi amekuwa kama punda, kila mzigo ni wake na ni lazima aubebe, atake asitake , ni lazima ufike ukate tamaa usikate tamaa is up to you, lakini yale mambo wanayo yataka wao lazima yatimie hata kama utakufa.Ndipo tulipo fikia.
 
Mwananchi amekuwa kama punda, kila mzigo ni wake na ni lazima aubebe, atake asitake , ni lazima ufike ukate tamaa usikate tamaa is up to you, lakini yale mambo wanayo yataka wao lazima yatimie hata kama utakufa.Ndipo tulipo fikia.
Tupo kwenye wakati mgumu kupita kawaida wanasema ni bora punda afe ila mzigo ufike.
 
Wanajamvi amani iwe kwenu

Kwa maoni yangu kutokana na Tanesco kukabwa koo kisheria na standard charted bank ya Hong kong juu ya IPTL kuhusu malipo ambayo ni mzigo mkubwa mno kwa wananchi wanyonge hivyo ili kukwepa hilo, Serikali iitangaze mufilisi jina la Tanesco kwa hisa zote 100% na kuanzisha taasisi ya uzalishaji nguvu za umeme Tanzania kwa share mpya na kuchonganisha ushindani hilo linaweza kusaidia kisheria kuwepa limzigo likubwa mno na kusaidia wananchi, maana sasa Tanesco inabanwa sana na wale wa kule mbali kwa mikataba ilioingia bila kustukia harufu ya baadae
 
Hilo mkuu linaweza likawa ni kweli hata kama sio leo.
Siyo leo ndiyo, lakini huko mbele nakuhakikishia watu hawatasubiri wala kuvumilia maana mambo yatakuwa tight sana hapatakuwa na namna.Kutakuwa na shida sana mkuu,mtu ataona bora afe kuliko kusikiliza usanii na story kama hizi zilizopo ambazo ndizo zimekuwa wimbo wa miaka nenda rudi.Chuki itaongozeka watu hawatasikiliza tena huu upuuzi.
 
Mwananchi amekuwa kama punda, kila mzigo ni wake na ni lazima aubebe, atake asitake , ni lazima ufike ukate tamaa usikate tamaa is up to you, lakini yale mambo wanayo yataka wao lazima yatimie hata kama utakufa.Ndipo tulipo fikia.

Mkuu usitumie maneno, "kama punda" sema, viongozi wetu wameiacha ITPL ikawafanya watanzania kama wanyama kazi wake"

Na washawasha!
 
Wanajamvi amani iwe kwenu

Kwa maoni yangu kutokana na Tanesco kukabwa koo kisheria na standard charted bank ya Hong kong juu ya IPTL kuhusu malipo ambayo ni mzigo mkubwa mno kwa wananchi wanyonge hivyo ili kukwepa hilo, Serikali iitangaze mufilisi jina la Tanesco kwa hisa zote 100% na kuanzisha taasisi ya uzalishaji nguvu za umeme Tanzania kwa share mpya na kuchonganisha ushindani hilo linaweza kusaidia kisheria kuwepa limzigo likubwa mno na kusaidia wananchi, maana sasa Tanesco inabanwa sana na wale wa kule mbali kwa mikataba ilioingia bila kustukia harufu ya baadae
Mkuu tatizo ni kuwa Tanesco wako na vitu visivyoamishika mfano Majengo yanaweza taifiswa na mahakama alafu yakaripa madeni wafanyakazi wa Tanesco nchi mzima wakaanza kupanga
 
Masiki wee!! Yule rais wa wanyonge sijui yuko wapi? Kafulila alimwambia hakusikia walijifanya hawaoni wala kusikia, maisha yalivyotaiti natabiri wapo wananchi wataanza kuvaa chupi kichwani,
Watoto wao mmewanyima mikopo, mmewafutia posho na marupurupu vikaoni, mmewapandishia asilimia wadaiwa Heslb, huku mtaani T.R.A, halmashaur na Majembe(vishoka wa t.r a) wanapishana tu maduka na vibanda vinatiwa makofuli tu, huku baadhi ya bidhaa zikipaa bei, tunaendlea kumuomba Mungu mvua inyeshe tukalime nako matumaini ni kidogo maana mpska muda huu jua ni kali sana mbaya zaidi yule rais wetu sisi masikin alishaapa hatatoa chakula cha msaada kwa halmashauri yeyote alisema ni uzembe kukosa mavuno
NI MUNGU PEKEE AJUAE TUENDAKO
 
Back
Top Bottom