Nnangale
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 2,664
- 1,379
unatenganisha vipi umeme wa gas na umeme wa iptl,usilete mzaha kwenye issue serious kama hii.Upo wa gas ya mtwara mkuu usihofu mambo poa kabisa,hapa kazi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatenganisha vipi umeme wa gas na umeme wa iptl,usilete mzaha kwenye issue serious kama hii.Upo wa gas ya mtwara mkuu usihofu mambo poa kabisa,hapa kazi tu.
We ni fa.la kweli ndio mmezoea uongo kila siku kudanganya watu ...Kwanza inaonyesha uko nyuma katika kupata habari lakini so kosa lako, ni uvivu wa kufikiri ambao so ugonjwa wako pekee.
TANESCO haihusiki na kupandisha bei ya Umeme kisheria EWURA ambae ni mdhibiti anatakiwa kufanya tathmini ya bei ya Umeme kila robo mwaka, si hivyo tu lakini nakusaidia hii ni kwa mujibu wa sheria, najua bado huelewi kwa Kuwa umezoea kulishwa vya uongo na kuamini.
Sasa sikiliza IPTL unayoitaja nadhani kwa sababu unaipenda sana lakini haihisiani kabisa na bei ya Umeme.
Halafu nani kakwambia maombi ya TANESCO yatakubaliwa au la!
Bado kuna mchakato utakaohusisha maoni ya wadau na yatasikilizwa
Halafu gharama za Umeme nakukumbusha zilishuka mwezi April kwa 1.6 na TANESCO hiyo unayoilaumu ndiyo iliiomba EWURA.
Sitaki kukuchosha sana kwakuwa unaonyesha wewe umezoea kulalamika na kupotosha ukweli.
Nchi zingine zinatumia vyanzo vingi ikiwa ni pamoja na nuclear, mkaa wa mawe, mafuta, gesi nk! Hivyo wanakuwa na ziada ya umeme!Nchi zingene wamefanikiwa vipi kuwa na umeme wa uhakika?
We ni fa.la kweli ndio mmezoea uongo kila siku kudanganya watu ...
Ndio mliwadanganya watu hivyo hivyo kwenye VAT matokeo yake bank zikaongeza makato....
Endelea kudanganya watu tu......
Mkuu,waweza Iandika Sheria kwa Kirefu?Mpaka waondoe sheria ya monopolistic ambayo inaibeba Tanesco.
Hivi yule jamaa aliesema ikitoa inshu kama hii atawajibika yuko wapi?
Na alisema Serikali itauza Umeme nchi ya Ethopia Yani TZ itaanza ku export Umeme kwenye Ethopia sasa kikowapi kuanza kupandisha bei ya Umeme ?
Nnangale IPTL ni ya mkubwa wa dunia punguza hasira,hata watoto wako wataikuta hii kitu.Kuteganisha umeme wa gas na IPTL hakukusaidii chochote.Upepo unavuma kwa wafanyakazi hewa,vyeti hewa,wanafunzi hewa n.k,umeshasikia pameguswa hapo? think big.unatenganisha vipi umeme wa gas na umeme wa iptl,usilete mzaha kwenye issue serious kama hii.
Wapi thubutu kutengeneza tu umeme wako ni kosa kama vijana wengine wanajua kutengeneza umeme wa choose lakini ukitengeneza unaambiwa unaihuju Tanesco.....IPO siku watu wanaoishi maeneo yenye upepo mkali watajiondoa Tanesco halafu wengine tutatumia solar ndo tutakapo heshimiana.....
Natamani kuifahamu vizuri sheria hii mkuu japo in brief. Inaibebaje Tanesco?Mpaka waondoe sheria ya monopolistic ambayo inaibeba Tanesco.
Natamani kuifahamu vizuri sheria hii mkuu japo in brief. Inaibebaje Tanesco?Mpaka waondoe sheria ya monopolistic ambayo inaibeba Tanesco.
Uwezi waona hapo hata mawaziri wanaoshinda humu na kutuambia tufanye kazi tuache kulalamika hakuna hata mmoja utamuona akichangia hapo wanapita kimya kimyaNimeangalia comments zote nilijua issue kama hiz nitawaona wanaojidai na kujipambanua kama wazalendo yaani Lizaboni, wakudadavua, lupyee, yehodava... Lakini kwasababu ya upuuzi na uchumia tumbo hamna hata mmoja aliyekoment wala kutoa lolote.. Kweli watanzania twaongoza unafiki na siku wote tukiwa wazalendo kwenye issue sensitive zinazohusu taifa tutafika mbali sana.
Wakubwa gani hao?Nnangale IPTL ni ya mkubwa wa dunia punguza hasira,hata watoto wako wataikuta hii kitu.Kuteganisha umeme wa gas na IPTL hakukusaidii chochote.Upepo unavuma kwa wafanyakazi hewa,vyeti hewa,wanafunzi hewa n.k,umeshasikia pameguswa hapo? think big.
Natamani kuifahamu vizuri sheria hii mkuu japo in brief. Inaibebaje Tanesco?
Natamani kuifahamu vizuri sheria hii mkuu japo in brief. Inaibebaje Tanesco?