Siri ya ukimya wa mfalme(KING) Alikiba kutoa nyimbo ya bumburuka, Man walter kamwaga mchelee kweupe

Siri ya ukimya wa mfalme(KING) Alikiba kutoa nyimbo ya bumburuka, Man walter kamwaga mchelee kweupe

man water anabusara sana kama angetaka kumchafua kiba huu ndo ulikua upenyo bt kazungumza kistarabu sana
 
Yaani mtu kakosa hela ya kumlipa mtu deni lake tunashikia bango, watanzania sisi wachawi
 
Unajua bei ya kurecord kwa LIZER huyo anaetengeneza hit za diamond?

Unajua bei ya Master J, master J akae studio atengeneze ngoma yako?

Unamjua P funk unajua gharama za mikono yake?

Achana na Production,Uliza tu bei za Studio time kwa hao watu nliokutajia uskie.

Man walter sio underground ni HIT MAKER huyo anajua anachokifanya,hiyo 1M yenyewe ni kisela tu.
Eti Kisera tu, Kuna Mazwazwa Dunia Hii

Eti Lizer anatengeneza Hit Za Diamond labda Matakataka, Mara ya Mwisho Diamond kutoa hit ya Idea yake sijui ilikua Lini..

Huo ujinga Umenunua Duka Gani?
 
kuna STUDIO na BORA STUDIO

sidhani kama alikiba atashindwa fungua Bora studio ajirekodi humo atoe miziki ovyo kama kina s kide na wenzake wengine wengi.

uwezo wa kununua computer anao vispika Fl studio akatafuta producer wake wa kuunga unga mwana akafanya yake,maisha yangemuendea tu fresh.
Tumekupata AMINA KIBA

Huo ujinga Umenunua Duka Gani?
 
Tatizo man Water naye ana bei mno...eti unarekod ngoma moja kwa mil 1???
Mfumo wa man walter kufanya recording uko todauti kidogo kuna watu tofauti wanashiriki kuingiza vionjo vya live, mfano mafioso analipwa kwa ajili ya guitar tu na trumpet kuna mzee anatumiwa hata na diamond anaingiza live, Jamaa hana mziki wa kuchora kwenye computer ndio maana sijashangaa hilo.
 
Nifah , ila huyu alishaamua ku laylow. Kuna huyu anaitwa Numbisa.
Kama sio mganga huyu basi tu.
Numbisa sio fan wa kiba Wala hampendi kabisa kiba ila ni fan wa zari na pia ni hater wa diamond na sababu kubwa ilimfanya amchukie diamond ni baada ya diamond kumtema zari.
 
Sina chuki na kiba wala sishabikii bongo fleva

Point of correction domo alitemwa siku ya Valentine

#blackrose
Numbisa sio fan wa kiba Wala hampendi kabisa kiba ila ni fan wa zari na pia ni hater wa diamond na sababu kubwa ilimfanya amchukie diamond ni baada ya diamond kumtema zari.
 
Back
Top Bottom