Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,056
- 1,102
Sawa abdukibaEndeleeni hamjui kitu maneno mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa abdukibaEndeleeni hamjui kitu maneno mengi.
Afu kiburiiVijana ndo mnazijua leo tabia za alikiba
[emoji28][emoji28]
Kajamaa ni kajuaji mnoo
Liwa uleSasa ndugu yangu msanii mkubwa kama huyo ulitaka amtoze kiasi gani??
Toa hela upate pesa hiyo ndio sheria mkuu,habari ya kuleta ustaa kwenye maisha ya watu sio poa kabisa
Mbona watetezi wake siwaoni hapaa...
Jamani kuna nini tena kimemsibu King!!!?
Amna asingesema hivyo kamw anamuona kwenye mazingira yakeYaani mtu kakosa hela ya kumlipa mtu deni lake tunashikia bango, watanzania sisi wachawi
Afungue hata studio ya kutafsiri movie za ki Afghanistan kwenda kwenye kiswahili
Eti Kisera tu, Kuna Mazwazwa Dunia HiiUnajua bei ya kurecord kwa LIZER huyo anaetengeneza hit za diamond?
Unajua bei ya Master J, master J akae studio atengeneze ngoma yako?
Unamjua P funk unajua gharama za mikono yake?
Achana na Production,Uliza tu bei za Studio time kwa hao watu nliokutajia uskie.
Man walter sio underground ni HIT MAKER huyo anajua anachokifanya,hiyo 1M yenyewe ni kisela tu.
Tumekupata AMINA KIBAkuna STUDIO na BORA STUDIO
sidhani kama alikiba atashindwa fungua Bora studio ajirekodi humo atoe miziki ovyo kama kina s kide na wenzake wengine wengi.
uwezo wa kununua computer anao vispika Fl studio akatafuta producer wake wa kuunga unga mwana akafanya yake,maisha yangemuendea tu fresh.
Mfumo wa man walter kufanya recording uko todauti kidogo kuna watu tofauti wanashiriki kuingiza vionjo vya live, mfano mafioso analipwa kwa ajili ya guitar tu na trumpet kuna mzee anatumiwa hata na diamond anaingiza live, Jamaa hana mziki wa kuchora kwenye computer ndio maana sijashangaa hilo.Tatizo man Water naye ana bei mno...eti unarekod ngoma moja kwa mil 1???
Embu ibalance mzee..Ngoja nitengeneze balancing story...
Jr[emoji769]
Numbisa sio fan wa kiba Wala hampendi kabisa kiba ila ni fan wa zari na pia ni hater wa diamond na sababu kubwa ilimfanya amchukie diamond ni baada ya diamond kumtema zari.
Numbisa sio fan wa kiba Wala hampendi kabisa kiba ila ni fan wa zari na pia ni hater wa diamond na sababu kubwa ilimfanya amchukie diamond ni baada ya diamond kumtema zari.