Siri ya ukimya wa mfalme(KING) Alikiba kutoa nyimbo ya bumburuka, Man walter kamwaga mchelee kweupe

Siri ya ukimya wa mfalme(KING) Alikiba kutoa nyimbo ya bumburuka, Man walter kamwaga mchelee kweupe

Unajua bei ya kurecord kwa LIZER huyo anaetengeneza hit za diamond?

Unajua bei ya Master J, master J akae studio atengeneze ngoma yako?

Unamjua P funk unajua gharama za mikono yake?

Achana na Production,Uliza tu bei za Studio time kwa hao watu nliokutajia uskie.

Man walter sio underground ni HIT MAKER huyo anajua anachokifanya,hiyo 1M yenyewe ni kisela tu.
Msamehe bure tu huyo msukuma mwenzagu @citizenb kazoea studio za Tivoli elf sabin tu unatoa bonge la ngoma na unakuwa star mkubwa tu kama akina Budagala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo jamaani mpumbavu. Kwanza anamaringo balaaa ila watu hawamjuagi tu. Yule pimbi tu kiukweli [emoji23] [emoji23]
Sema angemlipa manwalter nimesikiliza interview zote nne yani ile aliyoifanya manwalter Azam tv ilikuwa ya kwanza, halfu ikaja ya clouds ambapo alikiba akajibu ikaja hii ya wasafi.
Nime conclude alikiba hana shukurani na ana majivuno,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msamehe bure tu huyo msukuma mwenzagu @citizenb kazoea studio za Tivoli elf sabin tu unatoa bonge la ngoma na unakuwa star mkubwa tu kama akina Budagala

Sent using Jamii Forums mobile app
Switch rekod unajua shngap?? Wanene ent. Unajua sh ngap,kimamba unajua bei yake?? Zote izo studio kubwa lakini ni lak5 unarekod chupa....tena kuna wanangu walirekod hadi kwa s2kz kwa laki5 pesa halali kwa matumizi ya mtanzania
 
Naamini tatizo kubwa la Kiba lilikuwa yule meneja wake Seven. Dada ana maringo sijawahi ona.
 
Unajua bei ya kurecord kwa LIZER huyo anaetengeneza hit za diamond?

Unajua bei ya Master J, master J akae studio atengeneze ngoma yako?

Unamjua P funk unajua gharama za mikono yake?

Achana na Production,Uliza tu bei za Studio time kwa hao watu nliokutajia uskie.

Man walter sio underground ni HIT MAKER huyo anajua anachokifanya,hiyo 1M yenyewe ni kisela tu.
Maproducers wa tz ni wapumbavu sana wasanii wakubwa wote huwa wanarekodi bure na wana hela wanafanya show 5m,10m n.k lakini cha kushangaza ma underground ndio wanaotoa hela so acha walizwe
 
Walikua wanaaminisha watu maisha ambayo hawana... Sasa wanaanza kuadhirika
Am telling you. Huyu dada the last time nimekutana nae kwenye masuala ya muziki, nikasema no wonder Kiba amekwama. Huwezi kwenda na manager mwenye dharau vile.
 
Eti Kisera tu, Kuna Mazwazwa Dunia Hii

Eti Lizer anatengeneza Hit Za Diamond labda Matakataka, Mara ya Mwisho Diamond kutoa hit ya Idea yake sijui ilikua Lini..

Huo ujinga Umenunua Duka Gani?
Nazani sound $ inama ni za Kung kiba
 
Mashabiki wa King wajichange wamsaidie kulipa deni hii ni fedheha!
 
Nilikua namheshimu sana Ali Kiba lakini sasa hivi nitakuwa naheshimu nyimbo anazozitoa tu.
Wote ni watafutaji, kwanini amdhulumu mwenzake? Mbaya zaidi anamfanyia uswahili wakati mwenzake amemfanyia kazi zake kiroho safi kabisa.
Kiba anatakiwa amuimbe radhi Manwalter tena in Public.
Jinga Kabisa.
 
Back
Top Bottom