Apana alikua ni mfanyabiashara ya madini.....Au huyu ww mawingu FM?
Itafahamika. Ila serikal ifikie mahali iache kuishi kwa Ku seek media attention. List ya hawa manguli IPO ikuluApana alikua ni mfanyabiashara ya madini.....
Radio haiwezi kukutajilisha halaka hi hivyo kma mnavyotaka kutuaminisha.Majizo alikuwa anamiliki hisa nyingi sana magic fm hilo mlikuwa hamlifahamu?? Baada ya kuuza hisa zake ndio akasepa kwenda kuanzisha kituo chake mwenyewe.
Wakati wakubembelezana umeshaisha hapa kazi tu watu wanaishi kama malaika kumbe ngadaItafahamika. Ila serikal ifikie mahali iache kuishi kwa Ku seek media attention. List ya hawa manguli IPO ikulu
Hizo ni njia za kutakatisha fedha.....Majizo alikuwa anamiliki hisa nyingi sana magic fm hilo mlikuwa hamlifahamu?? Baada ya kuuza hisa zake ndio akasepa kwenda kuanzisha kituo chake mwenyewe.
Serikali ikiendelea kuwalea hawa mapapa hakika siku chache zijazoTanzania itakuwa imejiimarisha kwenye hii biashara haramu pia kutatokea makundi yenye nguvu kubwa kuzidi hata jeshi la polisi kama ilivo mexico. Just a matter of time.Wakati wakubembelezana umeshaisha hapa kazi tu watu wanaishi kama malaika kumbe ngada
Aliyewaambia kuwa majizo ni tajiri mkubwa kiasi hicho ni nani?? Na ke nani kawaambia kuwa majizo ndiye mmiliki pekee wa E-FM??Radio haiwezi kukutajilisha halaka hi hivyo kma mnavyotaka kutuaminisha.
Majee.. Majii... Majiizo.. DJ Majiizo wale wakongwe wenzangu watakubaliana na mimi enzi hizo Magic FM jamaa alikua anakimbiza balaa na scratch zake za hatari
Miaka mingi imepita I think less than ten years nakuja kusikia mchizi ana miliki kituo cha radio kutahamaki kituo cha Televisheni hiki hapa sitaki ku sound kama mchawi hapa ila ni vizuri umma tukajua source ya utajiri huu je ni personal equity ama ni debt from financial institution.
Mara kwa mara Mange Kimambi kupitia kwenye page yake ya Instagram amekua akimtuhumu Majizzo na biashara flani flani hivi.
It is high time Majizzo to come out and inform the public source of his wealth...
Shangaa sasa wanazani hatujui vipato vya radioHizo ni njia za kutakatisha fedha.....
Thamani ya magic FM n shi ngap mpaka ikupe fedha za magari, Bangalow, kufungua kitua cha redio na TV wakati mmoja.......
Kuna watu wanatetea sana. Nadhani ni hao hao. Ndege wafananaoShangaa sasa wanazani hatujui vipato vya radio
Utajili wa watanzania wengi ni wamashaka sana ndomaa watetezi wengiKuna watu wanatetea sana. Nadhani ni hao hao. Ndege wafananao
Kuna Uzi humu. Zilianza kama tetesi kumbe ni kweli. Fuatilia Uzi wa daudi kanyauUtajili wa watanzania wengi ni wamashaka sana ndomaa watetezi wengi
Konstebo NGUZUTafuta Cha kwako....ukishajua siri za utajiri wake alafu utafanya nini?!
Role Model wako Mange Kimambi kishakwambia anauza Unga na wewe unavyomuamini Mange umeamua kukubaliana nae sasa unatuuliza maswali ya kutuchora ili iweje?!
Weka link ya hiyo threadKuna Uzi humu. Zilianza kama tetesi kumbe ni kweli. Fuatilia Uzi wa daudi kanyau
waswahili bana sasa wauza unga waliofulia mbona hamwafwati ila wenye maisha mazuri tu ndio wabayaMajee.. Majii... Majiizo.. DJ Majiizo wale wakongwe wenzangu watakubaliana na mimi enzi hizo Magic FM jamaa alikua anakimbiza balaa na scratch zake za hatari
Miaka mingi imepita I think less than ten years nakuja kusikia mchizi ana miliki kituo cha radio kutahamaki kituo cha Televisheni hiki hapa sitaki ku sound kama mchawi hapa ila ni vizuri umma tukajua source ya utajiri huu je ni personal equity ama ni debt from financial institution.
Mara kwa mara Mange Kimambi kupitia kwenye page yake ya Instagram amekua akimtuhumu Majizzo na biashara flani flani hivi.
It is high time Majizzo to come out and inform the public source of his wealth...
Tuambie alikuwa na hisa % ngapi pale magic na aliuza kwa thamani ya sh ngapi?? Hebu tusaidie hapo kwanzaMajizo alikuwa anamiliki hisa nyingi sana magic fm hilo mlikuwa hamlifahamu?? Baada ya kuuza hisa zake ndio akasepa kwenda kuanzisha kituo chake mwenyewe.
Ukiwa na uwezo wa kumlisha mtu si kigezo cha UTAJIRI