Siri ya utajiri wa Majizzo

Apana alikua ni mfanyabiashara ya madini.....
Itafahamika. Ila serikal ifikie mahali iache kuishi kwa Ku seek media attention. List ya hawa manguli IPO ikulu
 
Majizo alikuwa anamiliki hisa nyingi sana magic fm hilo mlikuwa hamlifahamu?? Baada ya kuuza hisa zake ndio akasepa kwenda kuanzisha kituo chake mwenyewe.
Radio haiwezi kukutajilisha halaka hi hivyo kma mnavyotaka kutuaminisha.
 
Itafahamika. Ila serikal ifikie mahali iache kuishi kwa Ku seek media attention. List ya hawa manguli IPO ikulu
Wakati wakubembelezana umeshaisha hapa kazi tu watu wanaishi kama malaika kumbe ngada
 
Majizo alikuwa anamiliki hisa nyingi sana magic fm hilo mlikuwa hamlifahamu?? Baada ya kuuza hisa zake ndio akasepa kwenda kuanzisha kituo chake mwenyewe.
Hizo ni njia za kutakatisha fedha.....

Thamani ya magic FM n shi ngap mpaka ikupe fedha za magari, Bangalow, kufungua kitua cha redio na TV wakati mmoja.......
 
Wakati wakubembelezana umeshaisha hapa kazi tu watu wanaishi kama malaika kumbe ngada
Serikali ikiendelea kuwalea hawa mapapa hakika siku chache zijazoTanzania itakuwa imejiimarisha kwenye hii biashara haramu pia kutatokea makundi yenye nguvu kubwa kuzidi hata jeshi la polisi kama ilivo mexico. Just a matter of time.
 

Huyu Mange Kimambi ni kama mtu aliye katika system anajua mambo mengi sana na labda mengi ni kweli au na yeye ni muhanga wa madawa ya kulevya.
 
Hizo ni njia za kutakatisha fedha.....

Thamani ya magic FM n shi ngap mpaka ikupe fedha za magari, Bangalow, kufungua kitua cha redio na TV wakati mmoja.......
Shangaa sasa wanazani hatujui vipato vya radio
 
Tafuta Cha kwako....ukishajua siri za utajiri wake alafu utafanya nini?!

Role Model wako Mange Kimambi kishakwambia anauza Unga na wewe unavyomuamini Mange umeamua kukubaliana nae sasa unatuuliza maswali ya kutuchora ili iweje?!
Konstebo NGUZU
 
waswahili bana sasa wauza unga waliofulia mbona hamwafwati ila wenye maisha mazuri tu ndio wabaya
 
Majizo alikuwa anamiliki hisa nyingi sana magic fm hilo mlikuwa hamlifahamu?? Baada ya kuuza hisa zake ndio akasepa kwenda kuanzisha kituo chake mwenyewe.
Tuambie alikuwa na hisa % ngapi pale magic na aliuza kwa thamani ya sh ngapi?? Hebu tusaidie hapo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…