Siri ya utajiri wa Majizzo

Kumbe yule Mama wa Maisha ni mamake sio?
 
Kutoka kuwa Dj,hadi kuwa mmiliki wa media. Kuna kitu cha ziada alikuwa anakifanya wakati wa U dj kinyume na hapo maswali magumu yanamuhusu.
Kumiliki redio mtaji wake si milioni 50 tu,,? Wala sio pesa ndefu kivile
 
Wana-JF mnayajua hata msiyoyajua matokeo yake mnayajua mambo mengi mno!!

Eti ametokea familia ya kishua, dah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…