Siri ya utajiri wa Majizzo

Siri ya utajiri wa Majizzo

Majee.. Majii... Majiizo.. DJ Majiizo wale wakongwe wenzangu watakubaliana na mm enzi hizo Magic FM jamaa alikua anakimbiza balaa na scratch zake za hatari... Miaka mingi imepita I think less than ten years nakuja kusikia mchizi ana miliki kituo cha radio kutahamaki kituo cha Televisheni hiki hapa...sitaki ku sound kama mchawi hapa ila ni vizuri umma tukajua source ya utajiri huu je ni personal equity ama ni debt from financial institution... Mara kwa mara Mange Kimambi kupitia kwenye page yake ya Instagram amekua akimtuhumu Majizzo na biashara flani flani hivi.

It is high time Majizzo to come out and inform the public source of his wealth...
Kama unayo evidence ya wrong doing then you have the right to question lakini kama huna kinachokusumbua ni majungu na roho ya umaskini. KWamba kwanini mimi sina wao wanacho. F.u.c.k Dude change that stupid mindset sababu ni ya kilofa. You don't need 10 years to be a millionaire even five years is enough to hit a 1 million dollar mark.

Kwa hiyo jaribu kuhangaika na maisha yako unless kama unao ushahidi kwamba anafanya kitu ambacho siyo lakini kama huna just shut up anfd focus on looking for money to feed your family. Mnalia lia hali ngumu wakati badala kuzidirect akiliu katika utafutaji wa pesa mnazi direct katika utafutaji wa majungu..
 
Mange anamwekaga ktk ile list yake,hata mm naamini ,maana jamaa anachokifanya ni kama kutakatisha fedha,amekuja na radio haina hata miaka mitano na haina hata coverage nusu ya tz nzima analeta TV,bora hata redio tungeona imejiimarisha na matangszo ya kutosha,redio yenyewe matangazo ya kuokoteza,hii faida gani ndani ya muda mfupi imefanya azalishe TV?? Huyu naanza kuamini maneno ya Mange,kuuza ngada
Tv Na redio gan hizo?
 
Kwenye hiyo miaka kumi aliyokaa kimya alikua ana heka 100 za shamba la miti Iringa, alivyouza ndiyo akafungua radio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sio habari sahihi ila nimejaribu kukustua tu kuwa sio lazima uuze ngada ndiyo upate mafanikio!!! Huwez jua mtu kahustle vp kufikia hapo! Tuacheni wivu jamani
 
Mange anamwekaga ktk ile list yake,hata mm naamini ,maana jamaa anachokifanya ni kama kutakatisha fedha,amekuja na radio haina hata miaka mitano na haina hata coverage nusu ya tz nzima analeta TV,bora hata redio tungeona imejiimarisha na matangszo ya kutosha,redio yenyewe matangazo ya kuokoteza,hii faida gani ndani ya muda mfupi imefanya azalishe TV?? Huyu naanza kuamini maneno ya Mange,kuuza ngada

Kama mnakuwa hamjuwi mambo mnakuwa mnauliza! Majay amekuwa mmilikiw wa DTV kwa miaka 4 na ilikuwa ikifanya vizuri saana alikuwa na matangazo mengi sana vivyo hivyo UEFA ilimpa mkwanja mwingi sana! Haitoshi Majay ni mmiliki wa Club kubwa tanzania inamatawi mengi nchi mzima ya Maisha Clubu!

Kampuni yake ya E mstrs imekuwa ikiingiza mkwanja sana kwa kuleta wasanii wengi toka nje sasa kama watu hamjuw DTV ilikuwa ya majizo na vifaa vyake vyote vilikuwa mali yake! Baadae aaachana nayo now ana ETV
 
Tafuta Cha kwako....ukishajua siri za utajiri wake alafu utafanya nini?!

Role Model wako Mange Kimambi kishakwambia anauza Unga na wewe unavyomuamini Mange umeamua kukubaliana nae sasa unatuuliza maswali ya kutuchora ili iweje?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzaramo wewe wa chole ndo maana!
 
Mange anamwekaga ktk ile list yake,hata mm naamini ,maana jamaa anachokifanya ni kama kutakatisha fedha,amekuja na radio haina hata miaka mitano na haina hata coverage nusu ya tz nzima analeta TV,bora hata redio tungeona imejiimarisha na matangszo ya kutosha,redio yenyewe matangazo ya kuokoteza,hii faida gani ndani ya muda mfupi imefanya azalishe TV?? Huyu naanza kuamini maneno ya Mange,kuuza ngada
EFM ina matangazo ya kutosha mdau, ww isikilize tu.

Labda mambo ya coverage, ila usikariri sana kuhusu kusikika nchi nzima au nusu, maana hakuna FM station iloanza ikaskika nchi nzima, zilianzia na coverage ndogo kisha ikaja kubwa.

Clouds imeanza muda tu ila 2005 ndo imefika DODOMA, radio one ilianzia dsm ikaja mikoa mitano tu kwa FM now nchi nzima, EA RADIO ilikua DSM, KAMPALA NA NAIROBI now inaskika sehem kubwa, same to Magic Fm haina miaka mingi Dodoma na moro, Ila suala la utajiri wake ni lake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom