Siri ya utajiri wa Majizzo

Siri ya utajiri wa Majizzo

UCHAWI, UCHAWI UCHAWI? Kufuatilia maisha ya watu wengine, mpaka kuulizia wamepataji utajiri/mafanikio yao, hii ni aina fulani ya uchawi. Mleta mada kabla kuleta mada hapa nina hakika umewaza na kuwazua sana kuhusu utajiri wake unavyokutesa. Laiti kama ungetumia muda wako wote huu kutafakari jinsi gani wewe utakavyopata utajiri na mafanikio, ungekuwa mbali sana. Acha uchawi, jifunze kutoka kwake na endelea kutafuta
 
Mkuuu......
Jina Hili wadau hawakubalian kabisa........
Na wala awataki kuskia likitajwa.......!
 
Wabongo kwa roho mbaya tu na majungu hatujambo mtu akifanikiwa tu kama sio muuza ngada basi freemason
 
Majee.. Majii... Majiizo.. DJ Majiizo wale wakongwe wenzangu watakubaliana na mimi enzi hizo Magic FM jamaa alikua anakimbiza balaa na scratch zake za hatari

Miaka mingi imepita I think less than ten years nakuja kusikia mchizi ana miliki kituo cha radio kutahamaki kituo cha Televisheni hiki hapa sitaki ku sound kama mchawi hapa ila ni vizuri umma tukajua source ya utajiri huu je ni personal equity ama ni debt from financial institution.

Mara kwa mara Mange Kimambi kupitia kwenye page yake ya Instagram amekua akimtuhumu Majizzo na biashara flani flani hivi.

It is high time Majizzo to come out and inform the public source of his wealth...
Uzi wako ni wa kiuwoga.
umekuwa mnafiki na yet unataka kushutumu watu!
umeshindwa kusema shutuma za Majizo, kwa maandishi yako, lkn kwa uwoga wako umemtaja eti Mangi kimambi anamshutumu kwa biashara Fulani, sasa kwanini na wewe unaandika kama tayari anashutumiwa somewhere else!
ukileta post ya shutuma za mtu mwenye jina hebu zihakiki na kama unaona huna guts za kutosha kusimama na kutetea hoja yako zipotezee!
 
Hivi kuna mtu anaweka wazi siri ya utajiri wake ? Kama wapo ni wachache sana
Utajiri wa mtu ni suala binafsi mpaka ikitokea vyombo vya vya dola vikihitaji kisheria maelezo ya utajiri huo, Haiwezekani tu eti Yamakagashi aniambie nitoke nielezee nimepata wapi huo utajiri. Huna ulichoibiwa alafu unasaka mwizi?
 
Kwa nini mkuu?
Ndo hivyo ..........
Mkuuu we soma tu huu Uzi utagundua Ila at a kwa kutumia akili ya kawaida MTU unaemjua Majizo lazima ujiulize Mara 2.........

Mkuu mbona umefukua huu Uzi unataarifa yoyote ....? Au jina limetoka....?
 
Ndo hivyo ..........
Mkuuu we soma tu huu Uzi utagundua Ila at a kwa kutumia akili ya kawaida MTU unaemjua Majizo lazima ujiulize Mara 2.........

Mkuu mbona umefukua huu Uzi unataarifa yoyote ....? Au jina limetoka....?
Yeah. Nimeona instagram anatajwa kuitwa central ila kaitwa bila media kama ilivokuwa kwa wengine
 
Hivi ni lazima mtu kuweka wazi siri ya mafanikio yake?
Huyo Mange aliripoti kituo gani cha polisi? Vijana huwa wanajidai wana uchungu na maendeleo na wanapenda maendeleo lakini kijana mwenzao akiendelea basi watampiga vita hadi....huyo Mange huwa ana ugomvi na kila aliyefanikiwa...
Kwanini vijana wote msiungane na nyinyi mfanye hizo biashara ili mfanikiwe kama majizzo kama mnafikiri ni rahisi kiasi hicho?

Mimi ninachofurahi kutoka kwa Majjizo ni kutupa burudani na kutuhabarisha na pia kuleta ushindani.
pia kinachonifurahisha toka kwa majizo ni kutojibizana na wanaomshuku na kumponda kwa vijineno
 
Yeah. Nimeona instagram anatajwa kuitwa central ila kaitwa bila media kama ilivokuwa kwa wengine
OK......

Kama Jana kaitwa yule mwingine inawezekana akawa kaitwa nafiri muda wa mapapa umeanza..........!

Kwa mfano akiomba msamaha na kuachana na hiyo biashara itakuaje.....?
 
OK......

Kama Jana kaitwa yule mwingine inawezekana akawa kaitwa nafiri muda wa mapapa umeanza..........!

Kwa mfano akiomba msamaha na kuachana na hiyo biashara itakuaje.....?
Yule mwingine yupi mkuu. Maana Jana walienda Tunda na vanesa?
 
Yule mwingine yupi mkuu. Maana Jana walienda Tunda na vanesa?
Kuna mwingine mkubwa kaitwa Jana....

Jina silijui vizuri.......

Awa wakubwa wao Amna promo ya Midia......
 
Majizo alikuwa anamiliki hisa nyingi sana magic fm hilo mlikuwa hamlifahamu?? Baada ya kuuza hisa zake ndio akasepa kwenda kuanzisha kituo chake mwenyewe.
 
Majizo alikuwa anamiliki hisa nyingi sana magic fm hilo mlikuwa hamlifahamu?? Baada ya kuuza hisa zake ndio akasepa kwenda kuanzisha kituo chake mwenyewe.
Kama serikali ipo serious na hili jambo basi itafahamika tu. Lisemwalo lipo kama halipo......
Time will tell. Hata vigogo wengine ilianza km hivi.
 
Back
Top Bottom