Siri ya vuja posho bunge la katiba,Mwigulu azuia hazina kutoa posho z ya laki 7,fao la jumla ml 5

Siri ya vuja posho bunge la katiba,Mwigulu azuia hazina kutoa posho z ya laki 7,fao la jumla ml 5

Kwa hiyo wale wabunge wa CCM (Ndasa na yule aliyeomba iPad) wanapingana na Makamu Mwenyekiti wa chama chao?
 
Wahamisha mijadala wanaendelea kuhamisha mawazo ya watanzania kuhusu katiba,
Pia wajumbe kujikita na mijadala ya muhimu.

Watanzania wenzangu tukikite kwenye mjadala mkuu wa kupata katiba mpya.
 
Mwigulu anapambana na kamati ya Kina Mbowe inayolazimisha Posho iongezeke. Mungu akubariki Mh. Mwigulu.
Kamati ya akina Mbowe pia wamo Paul Kimiti (CCM), Jenista Mhagama (CCM), William Lukuvi (CCM) na Pandu Ameir Kificho (CCM)
 
Mkuu Tumaini Makene acha unafiki,ulitaka akubaki ndio uamini ama umuone anafaa?!

Au siku zote ninyi mnayaka tu kuona anakosea?!

Hayo malumbani yenu ya kisiasa pelekeni huko huko,ameharibu tutamwambia,amefanya vyema tutamsifia!!

kweli mkuu! Kwa mara ya kwanza nitaungana na mwigulu. japo siaminiamini kama kweli ana uwezo huo wa kufikiri
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, Mwigulu Nchemba unamuogopa bure, hana uwezo kuchota pesa hazina.

Waziri ndie mwenye kuamua kukataa au kukubali sio Naibu ambaye ni kidampa tu Bwana Savimbi Killer one
 
Hawa ma Mp's wangejua namna tunavyoteseka wangechukua hiyo laki tatu. Mimi mwanachuo tangu asubuhi sijala hata mkate.yaani ingekuwa ni kuongea ningeshindwa maana hii kiu ni nomaa
 
katika kamati iliyoundwa cdm inawakilishwa na mhs mbowe. Msimamo wa chama hakuna kuongeza posho. Zikiongezwa tunajua waliokubali ni chama tawala na ccm b and c. Ieleweke!

ndugu waongeze kwenye list na wale waroho akina lema, mbowe, sugu, msigwa na halima mdee. Naona mnashindwa kumeza mate, kusikia mwigulu kaweka ngumu.
 
Rais Kikwete!
Fukuza hao watu wanaotaka malaki ya pesa kwa ajili tu ya kupitia hiyo rasimu kwenye bunge la katiba.
Kuna watanzania (wazalendo) kibao ambao wanaweza wakafanya kazi hiyo kwa ufanisi zaidi huku ukiwalipa TShs 80,000 per day!
 
Mwigulu tumemzoea hata kwenye MISIBA hutafuta sifa hana lolote gaidi tuu!
 
Spin Doctor huyu,watanzania mnahamishwa kwenye mijadala ya msingi ili mambo ya kipuuzi yapite bila kuwa "noticed"

Hiyo habari ya mafao ya milion 5 ni kutaka tu kuongeza mjadala ili kesho watu msifuatilue mambo ya msingi ndani ya Bunge na hasa wanahabari.

Please,mods funga huu uzi.

CC: Invisible
 
Last edited by a moderator:
Mwigulu Nchemba Mwakilishi wa Hazina hapo nimebaki dilema.
 
Sijui kwa nini mimi napata picha tofauti, ni kana kwamba wadanganyika tunasetiwa ili tuishie kuona hata hiyo laki tatu ni halali............mimi nadhani tungepambana hata hii posho ya laki tatu ipunguzwe na anayeona haizitomtosha aondoke.

Hata laki moja naona bado ni kubwa.
 
Biva Nchemba piga kazi hao wahafidhina wanaokuchukulia poa wakukubali japo sie tunajua kazi yako ni nzuri sana

Hiki kilio cha kuongezwa posho kina mengi yaliyojificha – uwazi katika mambo ya fedha bado sana.
· Kumbe laki saba (700,000/=) zilizosemwa mwanzoni zilikuwa kweli!
· Jiulize hao waliopanga ziwe 700,000/= walikuwa wanatumia kigezo gani – ni wehu? Sidhani kipo kilichojificha
· Ukisoma mambo yanavyokwenda yapo mengi hayawekwi bayana mfano
o hivi posho hii ni sawa kwa wajumbe kutoka Zanzibar na wale wa Tanganyika?
o Hivi wajumbe wa Tume ya Warioba walilipwa kiasi gani –labda hiyo pia ni reference pt

Kwa vyovyote kiwango cha 300,000/= kinatosha, haijalishi nani kasema, hii ni kutumia tu akili ndogo kulingana na hali ya Tanzania tuionavyo sisi walipa kodi, ila kwa vile yako yaliyojificha ikiwa ni pamoja na precedence ndiyo maana tunajadili, tutajadili weee halafuwatakuja na EUREKA- Posho inatosha! …. Kama vile hilo ni geni na wao wamelivumbua
 
Siku hizi kila kiongozi anataka kujionyesha kuwa anafanya yeye hizi misifa bhana ndo utuharibia nchi yetu.
 
baada ya serikali yetu sikivu kuweka ulinzi mkali katika hifadhi na mbuga zetu za wanyama. mh. ameamua kujileta kwa wananchi na kujifanya mzalendo. r.i.p ndovu wetu.
'kamwe hatutasahau tembo wetu..
 

Attention seeker.
Publicity stunt za ajabu kweli kweli hizi.



Haya mambo ya kitoto kabisa.

1. Mwandiko - yaani choice of words, ni ile ile inayotumiwaga na Mwigulu, Taswira etc
2. Mwandiko - yaani font, ni ile ile inayotumiwaga na Mwigulu, Taswira, Tuntemeke etc.

Theme ya post pamoja na picha?

"Mwigulu ni kiongozi shupavu, mpigania wazalendo, amefiti kwenye cheo alichokipewa, anastahili "kuwa rais wa Jamhuri"

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
Back
Top Bottom