Siri ya vuja posho bunge la katiba,Mwigulu azuia hazina kutoa posho z ya laki 7,fao la jumla ml 5

Siri ya vuja posho bunge la katiba,Mwigulu azuia hazina kutoa posho z ya laki 7,fao la jumla ml 5

Katika kamati iliyoundwa CDM inawakilishwa na Mhs Mbowe. Msimamo wa chama hakuna kuongeza posho. Zikiongezwa tunajua waliokubali ni chama tawala na CCM B and C. Ieleweke!

Katika nisiowaamini ndani ya SIASA zetu hapa nchini, hao ni wa kwanza.

Jimumbushe kuhusu posho katika Bunge la tisa/kumi.

Halafu leo waseme ati wamepinga..! Kupinga si huja bali huja ni kusimamia na kumaanisha walichokuwa wakipinga.

Kesho nitafute, nakuhakikishia utasikia wamepo...!

. Jiamini mwenyewe na matendo yako kupitia muongozo wa Dini/ Imani yako.
 
Mkuu, Mwigulu Nchemba unamuogopa bure, hana uwezo kuchota pesa hazina.

Huu ni utawala wa kwanza tangia uhuru ambao NAIBU WAZIRI anakuwa na mamlaka makubwa kiasi hiki. Something is definitely wrong here.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Siku hizi kila kiongozi anataka kujionyesha kuwa anafanya yeye hizi misifa bhana ndo utuharibia nchi yetu.

Ukweli wa hilo bandiko umeukubali au ni hadithi hadithi ....?

Kama umeukubali ujumbe/ ukweli, jenga tabia ya kusifia na kama huukubali basi pinga kwa huja.

Kwanini kufanya kejeli hata katika mambo ambayo mtu kathubutu ....?!!!
 
Mwigulu anapambana na kamati ya Kina Mbowe inayolazimisha Posho iongezeke. Mungu akubariki Mh. Mwigulu.[/QUOT

Kwani kamati ya Mbowe imeridhia posho iongezwe? From which source taarifa ya kamati imetolewa na ongezeko ni sh ngapi? Huu unafiki ndo unaharbu jukwaa hili....
 
Msimamo wa chama hakuna kuongeza posho, wewe Mkirindi hao unaosema wametumwa na nani???
Wacha uongo, hakuna kuongeza posho, wajadili katiba mpya. Ndio kazi waliyo tumwa!!
 
Ukweli wa hilo bandiko umeukubali au ni hadithi hadithi ....?

Kama umeukubali ujumbe/ ukweli, jenga tabia ya kusifia na kama huukubali basi pinga kwa huja.

Kwanini kufanya kejeli hata katika mambo ambayo mtu kathubutu ....?!!!

Mimi serikali inavyofanyakazi naibu waziri hana mamlaka zaidi ya waziri wake badala ya kusema wizara ya fedha hoja inamtaja mwigulu wkt yy alimwakilisha waziri achaneni na misifa. Kwanza posho si hoja ya msingi
 
Mimi serikali inavyofanyakazi naibu waziri hana mamlaka zaidi ya waziri wake badala ya kusema wizara ya fedha hoja inamtaja mwigulu wkt yy alimwakilisha waziri achaneni na misifa. Kwanza posho si hoja ya msingi

Alipoenda kumuwakilisha maana yake ni nini?!!

Kwa maana yake ni kuwa yeye kaleta kauli ya Waziri, haezi ropoka tu kwa nafsi yake bali ni lazima hata Waziri/ Boss wake alikuwa tayari kishajua nini wanaenda zungumza na kamati.

Sasa kitu gani kinakuwa "KIROJA"?!!

Kikwete hadi amalize utawala wake tutamzeesha kabla ya wakati wake.
 
katika hili Mwigulu ameonyesha uzalendo!. huwezi kuvaa scarf ya nchi shingoni halafu ukawadhulumu wananchi, la sivyo scarf hiyo inaweza kugeuka kitanzi
 
mjumbe anayeona laki 3 kwa siku hazitoshi atoke,mimi nipo tayari kuchukua nafasi yake kwa kulipwa 50,000 tu kwa siku.
 
Ukishachagua kuwa MSUKULE wa Mbowe basi utakuwa tayari kupingana na hata hali halisi.Mimi si mshabiki wa Nchemba ila hapa inabidi nimpongeze kwa kutetea maslahi ya Taifa.Jamani yaani kusifia ni mpaka Mbowe ahusike,Bahati mbaya ni kwamba hutaweza kumsikia Mbowe katika mijadala muhimu kama hii kwasababu na yeye ni sehemu ya tatizo linaloikabili nchi hii.Kama ni ufisadi anaufanya sana katika Chama cha Chadema hivyo anaogopa kuumbuliwa mara pale atakapojifanya kukomalia mambo ya ufisadi Bungeni au katika majukwaa ya kisiasa.
 
Alipoenda kumuwakilisha maana yake ni nini?!!

Kwa maana yake ni kuwa yeye kaleta kauli ya Waziri, haezi ropoka tu kwa nafsi yake bali ni lazima hata Waziri/ Boss wake alikuwa tayari kishajua nini wanaenda zungumza na kamati.

Sasa kitu gani kinakuwa "KIROJA"?!!

Kikwete hadi amalize utawala wake tutamzeesha kabla ya wakati wake.

Kiroja hapa ni sifa binafsi ya mwigulu wkt yy katumwa tu na bosi wake kwani mwigulu hana sauti kuhusu matumizi ya Hazina yy anashugulikia Sera anayeshugulikia Hazina ni malima
 
Mada hii inajaribu kumjenga mtu binafsi. Serikali haifanyi hivyo na wala mwigulu nchemba hana uwezo wa kuzuia ikiwa iko ndani ya kanuni. Ninyi mnafikiri viwango hivyo vimewekwa kwa kutaka tu au vina misingi yake katika taratibu za Serikali?
 

Attention seeker.
Publicity stunt za ajabu kweli kweli hizi.



Nanyi mmezidi bana. Kila kitu cha CCM na Serikali kwenu lazima kiwe na kasoro unadhani nyie mko sahihi 100%. Kama mtendaji wa Serikali au CCM kafanya jema, at least on the face of it, kwanini inakuwa shida kwenu kuonesha appreciation?
 
Huu ni utawala wa kwanza tangia uhuru ambao NAIBU WAZIRI anakuwa na mamlaka makubwa kiasi hiki. Something is definitely wrong here.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mleta Mada hajui hata jinsi Serikali itendavyo na mamlaka ya watendaji husika. Kikubwa alichotaka ni kumuinua mtu!
 
Back
Top Bottom