Siri ya vuja posho bunge la katiba,Mwigulu azuia hazina kutoa posho z ya laki 7,fao la jumla ml 5

Siri ya vuja posho bunge la katiba,Mwigulu azuia hazina kutoa posho z ya laki 7,fao la jumla ml 5

Kuna watu kwa kupenda kujitoa ufahamu,naibu waziri kapata maelekezo na waziri na waziri kapata kutoka kwa w/mkuu au raisi au baraza la mawaziri ambapo rais ni m/kiti au waweza sema pia ni mchezo wa kuigiza yaani wamelitengeneza wao wenyewe ( ccm) na kujifanya wanalitatua wao wenyewe (ccm) wawaongopee wenye upeo mdogo.
 
Mkuu Tumaini Makene acha unafiki,ulitaka akubaki ndio uamini ama umuone anafaa?!

Au siku zote ninyi mnayaka tu kuona anakosea?!

Hayo malumbani yenu ya kisiasa pelekeni huko huko,ameharibu tutamwambia,amefanya vyema tutamsifia!!
Mbona hukumwambia amekosea alivyolala na mke wa kada mwenzie.
 
Siyo mwigulu aliyezuia ongezeko la poho yeye kama mwakilishi wa hazina alitakiwa aeleze hali halisi ya kipesa ikoje angekuwa mtu wa ajabu kusema kuna uwezo wa kulipa wakati pesa hamna kumbuka mpaka sasa serikali inakopa pesa nyingi toka kwenye mabenki ya kibiashara kwanini tusiseme waziri wa fedha amezuia posho kuongezwa

Basi tuambie wewe nani alizuia? Na angepitisha unafikiri zisingepatikana? Wakati mwingine tuache chuki za kisiasa mkuu.
 
Post nyingine huwa ni vituko vitupu.

Mkuu hata wewe unaandika upuuzi huu! Mkisimama majukwaan tunawaona mnajua kumbe mmejaa chuki hivi. Unahisi hufahamiki wakati tunakujua vzur... Shame on U
 
Mwigulu ni nani huko hazina ? Huyu ni naibu waziri hana sauti hana maamuzi , hana mamlaka , hana haki ya kusema bila kupewa kibali na waziri wa fedha .....huyu kazi yake ni Kujibu maswali na kutumwa kumwakilisha waziri...

Nan mwenye sauti na mamlaka? Mtahangaika sana na Mwigulu mwaka huu
 
Mwigulu ongeza speed naona chadomo wanatoka povu kweli kwenye huu uzi. Walikuwa yanataka laki saba
 
Bado laki 3 ni kubwa mno, ingewezekana ipungue ifike 150000/- vinginevyo ni wizi wa mchana kweupe!
 
Mkuu Tumaini Makene acha unafiki,ulitaka akubaki ndio uamini ama umuone anafaa?!

Au siku zote ninyi mnayaka tu kuona anakosea?!

Hayo malumbani yenu ya kisiasa pelekeni huko huko,ameharibu tutamwambia,amefanya vyema tutamsifia!!

Hii habari ni uwongo kabisa. Kama kawaida yao vijana wa Mwigulu wale wa book 7 wameiandika hii ili kumpa ujiko bosi wao. Mwigulu angekuwa na uchungu na nchi asingeratibu matumizi ya fedha za umma kny kutengeneza issues za kigaidi fake, mabomu ya Arusha etc ambazo zimetumia fedha nyingi pamoja na pesa waliomlipa Zitto ili aihujumu CHADEMA! Hakuna kikao kama kile
 
Last edited by a moderator:
Acheni kutuona wana jf mapoyoyo huyu chemba kazi yake ni kujiandikia post za uongo za kujisifia bajeti ya katiba ilipangwa hata kabla hajawa Waziri mdogo, tafuteni sehemu nyingine ya kujisifia sio hapa.
 

Attention seeker.
Publicity stunt za ajabu kweli kweli hizi.



Hivi wewe huwa unatetea nini? Mtu anatetea pesa za walipa kodi wewe unamwambia attention seeker. Wakati mwingine ona aiubu ficha upuuzi.
 
Kajitahidi kathubutu na kasema katumia ukaribu wake na JK pamoja na ugumu wake,umaarufu wake kukompea na huyo dada wa Zenji,kwanini basi kwahili hamuungi mkono??????
Jamani kafunguka,hata hili???
 
mkuu, siyo vituko mwigulu ni mzalendo sana wa nchi, amegoma kabisa wajumbe bunge la katiba kuongezewa posho, kamati ya akina mbowe walikuwa wanashinikiza posho ziongezwe mwigulu akakataa, hongera sana mwigulu taifa linakutegemea

Kweli kuwaelimisha watu kama wewe yataka moyo, unaambiwa ile ni kamata yakwenda kuchunguza kama kuna haja ya kuongezewa Posho wajumbe wa bunge la kamati wewe umekazana na Kamati ya akina Mbowe bla bla bla, wewe hovyo kabisa. Au kwa Vile yumo kamanda mbowe nini? Acha nyege za karibu wewe mmama.
 
Back
Top Bottom