Siri yafichuka, Israel imepania kupiga vinu vya nyuklia iwapo Iran itafanya chochote

Siri yafichuka, Israel imepania kupiga vinu vya nyuklia iwapo Iran itafanya chochote

Kinu cha Ayatolah kisipoteketezwa Israel watakuja kujuta baadae.
 
We bwege nini? Ukishindwa kujua kitu kidogo kama hicho sitojisumbua kukuelezea maana level yangu sio ya upumbav wako
Povu la nini man, simple question deserve answer, after all hamna mahali nimekutakana
 
Mimi nimeamua kukutukana maana umezidi ujinga! Ni hasara na aibu kwa familia yako
Huna ustaarabu, matusi hayatolewi kwa random person, jifunze ustaarabu. Huna hadhi ya kujib watu kama huna control ya mdomo wako
 
Sasa hawa wameaishindwa Hamas wataweza jeshi kubwa kama Iran?

Wakipiga vinu vya Nuclear Iran anatandika Dimona, Na Viasset vyote vya Israel huko Tel Aviv kuanzia viwanda vya High tech mpaka military runaway zote.

Halafu baada ya hapo tuone nani anaweza kusimama kidedea
kwann Iran anajificha nyuma ya hamas na hizbollah ? kama huez elewa achana nayo
 
We bwege nini? Ukishindwa kujua kitu kidogo kama hicho sitojisumbua kukuelezea maana level yangu sio ya upumbav wako
mkuu muona daktari wa psychology una ttzo sehem sio bure , unaea guswa na mambo ya middle east kias hicho ilihali hapa nyumbani tuna mabovu mengi ya kukera
 
Mumepigwa kwenye ubalozi, bado mnaongea ongea.... Hivi unajua kupiga ubalozi wa nchi nyingine ni mithili ya kupiga nani ya nchi hiyo.....Hamna lolote zaidi ya kuvaa dera/kanzu
Hivi upo hai wewe jamaa?
 
Back
Top Bottom