Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Wiki iliyopita Msanii Baraka Da Prince alijigamba kuporomosha mjengo wa maana na kudai ametumia kiasi kikubwa sana na bado haujaisha. Jeuri hiyo ikapelekea hata kubadilika kwa kiswahili chake na kujigamba kidon don na kusema ''Nawachekaga kwa madharau mengi hahahahahaha watu wenye maneno MINGI MINGI''
Ukweli umewekwa wazi na Alawi Junior ambaye ameoa kwenye familia ya akina Naj, alawi amemporomoshea sifa kede kede mama mkwe wake (Mama Naj) kwa kushusha mjengo huo.
Sina maneno mengi, tusubiri kuujua ukweli zaid.
Ukweli umewekwa wazi na Alawi Junior ambaye ameoa kwenye familia ya akina Naj, alawi amemporomoshea sifa kede kede mama mkwe wake (Mama Naj) kwa kushusha mjengo huo.
Sina maneno mengi, tusubiri kuujua ukweli zaid.