Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Alawi ndio nani? au baba mkwe wake baraka mbona ana mambo ya kimbea mbea yaani kwakua ameoa kwenye familia ya akina Naj ndo anajua kila kitu basi angetoa na hati ya nyumba kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo mwanaume wa Shinyanga/mkoani
Naweza kubaliana na wew maana wajaluo mda mwingine sijui wakoje nilikuwa na kajamaa kamoja hiv kajaluo sasa kuna siku bro wake alitutoa out kakawa kamependeza ila kakaharibu kwenye viatu nikakashauri badilisha viatu vingine hivi haviendani kabisa kakanijibu eti kana viatu vingi sasa mda mwingine kanashindwa kavae vipi shemej ake akaniambia kaongo hako viatu vyake havina mvuto hata kidogo na hivyo alivyo vaa sio vyake nika mcheka kwa dharau nikakaona ka ovyokhaaa utukome, huyo ni mjaluo. Usukumani alivamia tu. Wasukuma huwa hatuna masahuzi ya kipuuzi.
Wajaluo wana tabia ya majivuni wapo km wahaya.Naweza kubaliana na wew maana wajaluo mda mwingine sijui wakoje nilikuwa na kajamaa kamoja hiv kajaluo sasa kuna siku bro wake alitutoa out kakawa kamependeza ila kakaharibu kwenye viatu nikakashauri badilisha viatu vingine hivi haviendani kabisa kakanijibu eti kana viatu vingi sasa mda mwingine kanashindwa kavae vipi shemej ake akaniambia kaongo hako viatu vyake havina mvuto hata kidogo na hivyo alivyo vaa sio vyake nika mcheka kwa dharau nikakaona ka ovyo
Huyu dogo Ni wa mkoani,Si unamuona alivyo bwegebwege...Ngoja waje wanaume wa dar es salaam
Wanaume wa Dar katika ubora wenu.Wiki iliyopita Msanii Baraka Da Prince alijigamba kuporomosha mjengo wa maana na kudai ametumia kiasi kikubwa sana na bado haujaisha. Jeuri hiyo ikapelekea hata kubadilika kwa kiswahili chake na kujigamba kidon don na kusema ''Nawachekaga kwa madharau mengi hahahahahaha watu wenye maneno MINGI MINGI''
Ukweli umewekwa wazi na Alawi Junior ambaye ameoa kwenye familia ya akina Naj, alawi amemporomoshea sifa kede kede mama mkwe wake (Mama Naj) kwa kushusha mjengo huo.
Sina maneno mengi, tusubiri kuujua ukweli zaid.
View attachment 419480
Usicheke sana. Hawakii kubadilika.ha hahaha