Siri yafichuka, Kumbe nyumba Baraka Da Prince anayotamba kujenga si yake, ni ya Mama Naj

Siri yafichuka, Kumbe nyumba Baraka Da Prince anayotamba kujenga si yake, ni ya Mama Naj

Jiulize tu, Mentor wake mwenyewe bado anaishi kwa mama Kariakoo pamoja na kuwa kwenye game kwa muda mrefu.

Huku tabata anatuigizia kumbe..... sikujua maana Hata kule Segerea namwona mamake anaenda kukusanya kodi na kuna ndugu yangu ni mpangaji wake .....da kazidiwa hadi na mama yake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aibu yake tatizo lao wanaigiza mpaka real life wanaishi kwa msukumo na matwakwa ya mashabiki wao insta
 
Huyo Alawi bado hajatukanwa..???
 
Baraka da princess anazingua...kama kweli nyumba yake alete hati
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Baraka alidanganya kuhusu ile nyumba.
Baraka ana madhaifu mengi lakini sidhani kama kafikia kwenye udhaifu wa uongo wa kiwango hicho.
Naam. Kama ni kweli basi utakua ni udhaifu wa kiwango cha lami.
 
Wasaniii wetu hawa kila mmoja akijarbu kutafta kick vzr
 
Wanaposema mjumba wanakusudia nini? Mbona ni kajumba tu
 
Back
Top Bottom