Siri yafichuka, Kumbe nyumba Baraka Da Prince anayotamba kujenga si yake, ni ya Mama Naj

Siri yafichuka, Kumbe nyumba Baraka Da Prince anayotamba kujenga si yake, ni ya Mama Naj

Hii nyumba itakuwa labda kwa mbele ni ya mama Naj, na kwa nyuma ni ya the Purinsi. tehetehe
 
Ila haka kasukuma kamekuwa tatizo mjini
 
Hahahaaa watu wafukunyuku balaa mmefukunyua wee hadi mmejua mjengo ni wa nani.
 
Dogo kachoka kuliko dushe lilipopigishwa punyere
 
Wajaluo wana tabia ya majivuni wapo km wahaya.
Hacha ukuda ww,wahaya uwa tunalingia kile tulichonacho na ni cha ukweli...walikuwa wakwanza kuwa wasomi Tz...kuongea Kidhungu kila wapatapo chance....kausha braza plz.
 
Hacha ukuda ww,wahaya uwa tunalingia kile tulichonacho na ni cha ukweli...walikuwa wakwanza kuwa wasomi Tz...kuongea Kidhungu kila wapatapo chance....kausha braza plz.
Heheheee 'tunalingia' ebu andika vizuri.
Uliyo ongea yote hayanihusu, btw tofautisha kati ya Mr & Mrs msomi wewe. Usiku mwema.
 
Sa hv dogo kakua,once nlmuona mwaka huu utoto utoto kaacha
 
Back
Top Bottom