Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
huyo mwanaume wa Shinyanga/mkoaniNgoja waje wanaume wa dar es salaam
ndiyo mambo ya bongo hayo.Partership na mama wa girlfriend wako? Bora angekuwa mke kidogo anaweza jitetea
Kana dharau sana, siku hizi sikapendi kabisaaaaaaa.ila baraka kwa kujiskia huyu kaka hatari sijui hata hao wadada anaodate nao cjui wanalivumlia vipi hilo swala.
Jiulize tu, Mentor wake mwenyewe bado anaishi kwa mama Kariakoo pamoja na kuwa kwenye game kwa muda mrefu.Hivi kujenga ni kwa mchezo mchezo eeeee
na hakajui kama heshima ndio chachu ya mafanikio.kiukweli apo unapoishia kumchukia mi ndo napoanziaKana dharau sana, siku hizi sikapendi kabisaaaaaaa.
Jiulize tu, Mentor wake mwenyewe bado anaishi kwa mama Kariakoo pamoja na kuwa kwenye game kwa muda mrefu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] we jamaa bhanana hakajui kama heshima ndio chachu ya mafanikio.kiukweli apo unapoishia kumchukia mi ndo napoanzia
Umbea wake nini? Kusifia nyumba ya mama mkwe?Huyu Alawi nae mmbeya!!
Mwanaume kama shoga!