Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kodi ya Para ParaTutajie Vyanzo vyao vya pesa kwanza .... Ndiyo tuendelee kuwalaumu
Hii ni serious.Siyo siri, Bashungwa anapwaya wizara ya Ujenzi.
Ni Kweli mkuu , ulicho kiandika,Huna unalolijua kwenye hili. Wachina waliolipwa ni mradi gani? Kinachofanyika ni kwamba miradi mikubwa ipo subjected na interest na wachina kampuni zao zinapata mikopo toka china yenye single digit interest.
Wanachofanya ni kutekeleza mradi regardless ya financial status na faida wanaipata kwenye interest za kimkataba
Sasa ukiona mradi wa wachina unaendelea na local contractor unasuasua usifikiri jamaa wamelipwa ni madeni ya kutisha
Na vile tunaelekea kwenye uchaguzi sijui watawala hapa wanachomokaje
Siyo waziri ndo tatizo, tatizo Tanroad imeharibiwa na miradi ya viwanja vya ndege TAA, wale WA TAA warudishwe huko huko maana wanakula hela za Barabara na kazi hawafanyi yaani wapo tu ofisini hawajui wafanye wapi kazi, hela zinazotumika kwa viwanja ni za Tanroads, magari Tanroads, safari zao Tanroad sasa hela inaishia kwa wafanyakazi badala ya kwenda Barabarani kwenye kazi na hawakai kwenye mikoa wapo wanazunguka tu.Mkuu inaelekea huyu waziri wa Ujenzi Mh Bashungwa pale wizarani na kanyaboya tu!
Hana impact kwenye kutetea maslahi ya Taasisi kubwa kama TANROADS.
Hela ya Road Fund ipo, tunashangaa inaenda wapi?
Nilitaka kusema hili...WAKANDARASI WAPI hao hawajalipwa? Si waliungana kumnunulia Hangaya helikopta kwakuwa wamekuwa wanufaika wazuri wa miradi na kulipwa kwa wakati!Hao uliokutana nao siyo kwamba hawaungi mkono ununuzi wa helicopter ya Mama na ndiyo maana hawalipwi!!
Serikali haina hela ni kama Ime Collapse ila visingizio ni kuwa mwisho wa Mwaka wa fedha wanafunga mahesabu.Kwa wale wanaoifahamu TANROADS kwa miongo zaidi ya miwili au mitatu, wanasema wakala huyu wa barabara yuko hoi.
TANROADS bado ina miradi mingi lakini haina fedha za kujiendesha.
Tatizo kubwa inaonekaka kwa sasa TANROADS pamoja na wizara yake ya Ujenzi si kipenzi cha serikali..
Nimekutana na makandarasi zaidi ya wawili na ni kilio bin malamiko ya kutolipwa fedha kwa wakati au hakuna kabisa.
Siasa zile mkuu hamna lolote wakandarasi wenyewe Walishangaa kuwa ni kina nani hao walionunua helkopta.Nilitaka kusema hili...WAKANDARASI WAPI hao hawajalipwa? Si waliungana kumnunulia Hangaya helikopta kwakuwa wamekuwa wanufaika wazuri wa miradi na kulipwa kwa wakati!
Changamoto hiiKwa wale wanaoifahamu TANROADS kwa miongo zaidi ya miwili au mitatu, wanasema wakala huyu wa barabara yuko hoi.
TANROADS bado ina miradi mingi lakini haina fedha za kujiendesha.
Tatizo kubwa inaonekaka kwa sasa TANROADS pamoja na wizara yake ya Ujenzi si kipenzi cha serikali..
Nimekutana na makandarasi zaidi ya wawili na ni kilio bin malamiko ya kutolipwa fedha kwa wakati au hakuna kabisa.
Pesa za Road Fund, kwa sasa zinagawanywa kwa uwiano wa 65/35 baina ya TANROADS na TARURA.Vyanzo vya mapato TANROADS nibWizara mama ya Ujenzi na Road Fund!
Vyanzo vya mapato TANROADS nibWizara mama ya Ujenzi na Road Fund!
Kiukweli wakandarasi wazawa wana hali mbaya..Serikali hebu wakumbukeni hawa wakandarasiWakandarasi wa china wanalipwa haraka, wazawa hawalipwi
Kwa kweli hiyo ni point.Siyo waziri ndo tatizo, tatizo Tanroad imeharibiwa na miradi ya viwanja vya ndege TAA, wale WA TAA warudishwe huko huko maana wanakula hela za Barabara na kazi hawafanyi yaani wapo tu ofisini hawajui wafanye wapi kazi, hela zinazotumika kwa viwanja ni za Tanroads, magari Tanroads, safari zao Tanroad sasa hela inaishia kwa wafanyakazi badala ya kwenda Barabarani kwenye kazi na hawakai kwenye mikoa wapo wanazunguka tu.
Hali ndio hiyo wako taabani Road fund imefanyiwa relocation na Mwigulu & Co wakandarasi wahajalipwa muda sasa na haijulikani lini wanalipwa. Kingine nafikiri CEO wa Tanroads na waziri wa ujenzi hawana maelewano yanayoeleweka au tuseme mmoja au wote hawatekelezi majukumu yao ipasavyo haijawahi kutokea ukame huu wakandarasi wanasita kuomba kazi kwa sasa maana hali sio nzuri kazi zinasusua sekta ya ujenzi wa barabara imesinyaa vibaya sana hizo kodi sijui zinapatikana wapi na hayo makampuni yanajiendesha vpHaiwezekani labda kama Kuna Hila,unachukua fuel yote kwa Lita itakayotumika kwa namna yote hapa Tanzania unazidisha kwa kile kiwango kinachokatwa toka Kila Lita ya fuel consumed mzigo huo unaupeleka Tan road.si mabilioni hayo kama si Matrilioni,Sasa watakosa je fedha kwa mfano!
Hawa ndio wapiga kura 2025.Kiukweli wakandarasi wazawa wana hali mbaya..Serikali hebu wakumbukeni hawa wakandarasi
Hazina nafikiri kuna shida kubwa sana kuliko tunavyofikiri maana wenyewe ndo wanapeleka mafungu kwenye hizo taasisi kingine CEO na waziri wa ujenzi hawana maelewano yanayoeleweka maana wao ndo viuongo muhimu wa wizara na taasisi sasa kama mafungu hayafiki mbona hatumuoni waziri akipaza sauti juu ya hilo. Tuliona enzi za Mfugale na mawaziri wote aliofanya nae kazi mambo yalikuwa yanaenda muswano kabisa ila sasa hovyo kabisa wanachechemea kama enzi zile za idara ya ujenzi miaka hiyo.Wadau tumefuatilia.
TANROADS hawapewi hiyo fedha kama inavyostahili.
Siasa zinaua huyu wakala wa maendeleo.
Kila lita 1 inayoingia nchini sh 100 inaingia mfuko wa barabara pia fees (mabango, ujenzi Hitachi ya barabara) and fines (vyombo vya moto vinavyopita barabara kuu), mfuko mkuu (basket fund) nkTutajie Vyanzo vyao vya pesa kwanza .... Ndiyo tuendelee kuwalaumu
Vyanzo vya mapato Tanroads viko wazi mbona pesa hazipelekwi ipasavyo fatilia ujifunzeNdio mjue yule mwehu alikuwa anadhulumu watu na plea bargain, hela za NSSF, na kuwaibia wa Bureau de change na kukopa mikopo ya kausha damu huko india na china.
Leo hii chato inapumulia machine sababu uchumi wake uliendeshwa na hela za kudhulumu wafanyabiashara
Mwigulu anakana hilo lakini muda utatuelezaSerikali haina hela ni kama Ime Collapse ila visingizio ni kuwa mwisho wa Mwaka wa fedha wanafunga mahesabu.
Haya ngoja tuone maana ndio mwezi huu wa mifumo kufunguka.
Tunapoelekea kuna miezi mishahara itaanza kusua sua kulipwa kwa wakati
Umemuelekeza as if huyo ni "rais wa mawe/miamba".Kusanya Kodi Wewe ulipe madeni 🐼