Siridhishwi na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Siridhishwi na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Ndio hasara ya kuanzisha miradi Kwa pupa bila mkakati ,madeni tuu inayodaiwa ni balaa Bado fidia ni matrilioni.

Huwezi kuwa na taasisi ambayo haiwezi fanya ujenzi wake Kimkakati badala yake wanafanya Kisiasa.

Unaanzishaje ujenzi Kila mahala wa km 1,2,5,10 wakati ungejenga Barabara chache na hizo hela kupelekeshwa huko kiasi kwamba Tija ingeonekana.
Kusanya Kodi Wewe ulipe madeni 🐼
 
Haiwezekani labda kama Kuna Hila,unachukua fuel yote kwa Lita itakayotumika kwa namna yote hapa Tanzania unazidisha kwa kile kiwango kinachokatwa toka Kila Lita ya fuel consumed mzigo huo unaupeleka Tan road.si mabilioni hayo kama si Matrilioni,Sasa watakosa je fedha kwa mfano!
Toka kuundwa kwake TANROADS haijawahi kuwa katika hali kama hii.
Hela inayokusanywa na Road Fund inaelekea hsifikishwi inakostahili.
 
Toka kuundwa kwake TANROADS haijawahi kuwa katika hali kama hii.
Hela inayokusanywa na Road Fund inaelekea hsifikishwi inakostahili.
Haifikishwi matumizi ya mafuta Tz kwa mwaka ni zaidi ya lita Bilioni 1 sasa kama ile 100 inayotozwa ingeelekezwa kwenye TANROAD maana yake tingekuwa na uhakika wa 50km kila mwaka
 
Kwa wale wanaoifahamu TANROADS kwa miongo zaidi ya miwili au mitatu, wanasema wakala huyu wa barabara yuko hoi.
TANROADS bado ina miradi mingi lakini haina fedha za kujiendesha.
Tatizo kubwa inaonekaka kwa sasa TANROADS pamoja na wizara yake ya Ujenzi si kipenzi cha serikali..

Nimekutana na makamdarasi zaidi ya wawili na ni kilio bin malamiko ya kutolipwa fedha kwa wakati au hakuna kabisa.
Hao uliokutana nao siyo kwamba hawaungi mkono ununuzi wa helicopter ya Mama na ndiyo maana hawalipwi!!
 
Haiwezekani labda kama Kuna Hila,unachukua fuel yote kwa Lita itakayotumika kwa namna yote hapa Tanzania unazidisha kwa kile kiwango kinachokatwa toka Kila Lita ya fuel consumed mzigo huo unaupeleka Tan road.si mabilioni hayo kama si Matrilioni,Sasa watakosa je fedha kwa mfano!
Zinaingia kwenye kapu moja halafu zinatumika kwingine (naamini hivyo)
 
Haifikishwi matumizi ya mafuta Tz kwa mwaka ni zaidi ya lita Bilioni 1 sasa kama ile 100 inayotozwa ingeelekezwa kwenye TANROAD maana yake tingekuwa na uhakika wa 50km kila mwaka
Mkuu inaelekea huyu waziri wa Ujenzi Mh Bashungwa pale wizarani na kanyaboya tu!
Hana impact kwenye kutetea maslahi ya Taasisi kubwa kama TANROADS.
Hela ya Road Fund ipo, tunashangaa inaenda wapi?
 
Kwa wale wanaoifahamu TANROADS kwa miongo zaidi ya miwili au mitatu, wanasema wakala huyu wa barabara yuko hoi.
TANROADS bado ina miradi mingi lakini haina fedha za kujiendesha.
Tatizo kubwa inaonekaka kwa sasa TANROADS pamoja na wizara yake ya Ujenzi si kipenzi cha serikali..

Nimekutana na makamdarasi zaidi ya wawili na ni kilio bin malamiko ya kutolipwa fedha kwa wakati au hakuna kabisa.
Hata barabara hakuna tena mpya zinazojengwa.
 
Madhara ya kuwa ra rais dhifu ambaye Kila siku anasafiri kwenda ulaya Kwa pesa za umma na msururu wa wasaidizi zaidi ya elfumoja kwenda kupiga umbeya.
 
Wakandarasi wa china wanalipwa haraka, wazawa hawalipwi
Huna unalolijua kwenye hili. Wachina waliolipwa ni mradi gani? Kinachofanyika ni kwamba miradi mikubwa ipo subjected na interest na wachina kampuni zao zinapata mikopo toka china yenye single digit interest.
Wanachofanya ni kutekeleza mradi regardless ya financial status na faida wanaipata kwenye interest za kimkataba

Sasa ukiona mradi wa wachina unaendelea na local contractor unasuasua usifikiri jamaa wamelipwa ni madeni ya kutisha
Na vile tunaelekea kwenye uchaguzi sijui watawala hapa wanachomokaje
 
Back
Top Bottom