Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu huyu mama mm namkubari pamoja na mifumo inaweza muathiri lakin ni kiongozi hodari ..atapambana kikamilifu pia anaweza Fanya refoms nzuri ndani ya jeshi la police..said ya huyu sioni mwingine,,,wewe jee?View attachment 1916357
Amefanya nini na nini?Wakuu huyu mama mm namkubari pamoja na mifumo inaweza muathiri lakin ni kiongozi hodari ..atapambana kikamilifu pia anaweza Fanya refoms nzuri ndani ya jeshi la police..said ya huyu sioni mwingine,,,wewe jee?View attachment 1916357
Ila tungependa kujua kama hivyo vyeo alivipata kihalali, au vilitolewa hovyo hovyo kwa kuwa ni mtoto asiye hovyo hovyo wa IGP SirroWeka picha yenye cheo chake cha SACP hicho ni ACP
Nakazia hapo hapo na mimiWeka picha yenye cheo chake cha SACP hicho ni ACP
Namkubali sana tena sana. Tatizo mjambazi haya hayatampa nafasi hiyo maana yanajua huyu ni mpenda haki! Manyangau hayataki mtu anayependa haki hata kidogo. Siro aliteliwa kwa vile Jiwe alimuona katili la kutisha, akamuondoa aliyekuwepo mople (lkn anatimiza wajibu wake).,wewe jee?
Kumbe na wewe Polisi🙄Namkubali sana tena sana. Tatizo mjambazi haya hayatampa nafasi hiyo maana yanajua huyu ni mpenda haki! Manyangau hayataki mtu anayependa haki hata kidogo. Siro aliteliwa kwa vile Jiwe alimuona katili la kutisha, akamuondoa aliyekuwepo mople (lkn anatimiza wajibu wake).
Na wewe pia Police? 🙄Yupo Vema
Nakukumbusha Ndani Ya Police Kuna Fitna Kuliko Ccm
HapanaNa wewe pia Police? 🙄
Mkuu umejisahau umereply na ID yako nyingine ndugu retired..Hapana
Wakuu huyu mama mm namkubari pamoja na mifumo inaweza muathiri lakin ni kiongozi hodari ..atapambana kikamilifu pia anaweza Fanya refoms nzuri ndani ya jeshi la police.. zaidi ya huyu sioni mwingine,,,wewe jee?
View attachment 1916357
Ni mzuri yes, ila siyo kila anayeongea vizuri mkadhani ana uwexo mzuri kiutendaji. Kingine, Mtakapoambiwa kinachopelekea kufifia kwake ni Mobeto au Kajala type msije mkashangaaWakuu huyu mama mm namkubari pamoja na mifumo inaweza muathiri lakin ni kiongozi hodari ..atapambana kikamilifu pia anaweza Fanya refoms nzuri ndani ya jeshi la police.. zaidi ya huyu sioni mwingine,,,wewe jee?
View attachment 1916357
Sio fitna tu mkuu. Kuna ushirikina uliokwenda shule.Yupo Vema
Nakukumbusha Ndani Ya Police Kuna Fitna Kuliko Ccm
Mbona Prof Assad hakubadilishwa na mfumo?Ni ngumu sana Tanzania kuendelea kwa sababu imejaa mapunguani kila kona ya nchi.Tatizo siyo Siro,tatizo ni mfumo.Wewe ungeambiwa kuwa mtu kama Mulamula angekuja kuwa takataka ungekubali?
Kama mpaka mtu kama Kabudi alikubali kuwa takataka ni nani hatakubali kuwa takataka?Mimi nikisoma mawazo ya watu humu wanapoanzisha nyuzi zao huwa nasikitikia sana akili zao.