Sisi ambao hatutekwi na Wahubiri Waongo wa Miujiza ndiyo hatuna Akili au waliotekwa nao ndiyo hawana kabisa Akili?

Sisi ambao hatutekwi na Wahubiri Waongo wa Miujiza ndiyo hatuna Akili au waliotekwa nao ndiyo hawana kabisa Akili?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza Kutiririka na Kuserereka zako.

Otherwise Asante Padre ( Kasisi ) wangu wa Misa ( Ibada ) ya Kikatoliki ya leo Saa 12 na Nusu Asubuhi hadi Saa 2 Kamili tu katika Kanisa la Mtakatifu Mikaela ( Michael ) Kawe ambapo hata CDF Mabeyo na Mkewe wanasali kwa Neno zuri la Kiroho ambalo tutaishi nalo Wiki nzima na Kubarikiwa zaidi.

Sasa Wakatoliki ( wenye kujua Kusali ) tumepumzika tukitafakari Neno huku tukipigiwa Kelele na Wapenda Miujiza, Uwongo na Wapiga Kelele walio Jirani wa kuanzia Asubuhi hadi Jioni huku wakitoka Ibadani hata Nauli wanakosa baada ya Kumtajirisha Mhubiri Tapeli ( Wahubiri Matapeli )

Najivunia kuwa Roman Catholic 100%
 
Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza Kutiririka na Kuserereka zako.

Otherwise Asante Padre ( Kasisi ) wangu wa Misa ( Ibada ) ya Kikatoliki ya leo Saa 12 na Nusu Asubuhi hadi Saa 2 Kamili tu katika Kanisa la Mtakatifu Mikaela ( Michael ) Kawe ambapo hata CDF Mabeyo na Mkewe wanasali kwa Neno zuri la Kiroho ambalo tutaishi nalo Wiki nzima na Kubarikiwa zaidi.

Sasa Wakatoliki ( wenye kujua Kusali ) tumepumzika tukitafakari Neno huku tukipigiwa Kelele na Wapenda Miujiza, Uwongo na Wapiga Kelele walio Jirani wa kuanzia Asubuhi hadi Jioni huku wakitoka Ibadani hata Nauli wanakosa baada ya Kumtajirisha Mhubiri Tapeli ( Wahubiri Matapeli )

Najivunia kuwa Roman Catholic 100%.
 
Naungana na wewe kiimani kwa kusadiki kanisa moja takatifu katoliki la mitume. Ila nakinzana na wewe katika angle mbili. 1. Ni muhimu sana sisi sote kushika imani zetu huku tukiziheshimu na imani za wengine. Hivyo si vema kukashifu au kupuuza imani za wengine.

2. Jamii sports na maswala ya dini wapi na wapi.
 
Naungana na wewe kiimani kwa kusadiki kanisa moja takatifu katoliki la mitume. Ila nakinzana na wewe katika angle mbili. 1. Ni muhimu sana sisi sote kushika imani zetu huku tukiziheshimu na imani za wengine. Hivyo si vema kukashifu au kupuuza imani za wengine.

2. Jamii sports na maswala ya dini wapi na wapi.
Nilipitiwa na kwa bahati mbaya nikauanzisha huu Uzi hapa ila nimeshaupeleka katika Jukwaa la Habari na Hoja.

Simba SC inanichanganya sana Mkuu.
 
Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza Kutiririka na Kuserereka zako.

Otherwise Asante Padre ( Kasisi ) wangu wa Misa ( Ibada ) ya Kikatoliki ya leo Saa 12 na Nusu Asubuhi hadi Saa 2 Kamili tu katika Kanisa la Mtakatifu Mikaela ( Michael ) Kawe ambapo hata CDF Mabeyo na Mkewe wanasali kwa Neno zuri la Kiroho ambalo tutaishi nalo Wiki nzima na Kubarikiwa zaidi.

Sasa Wakatoliki ( wenye kujua Kusali ) tumepumzika tukitafakari Neno huku tukipigiwa Kelele na Wapenda Miujiza, Uwongo na Wapiga Kelele walio Jirani wa kuanzia Asubuhi hadi Jioni huku wakitoka Ibadani hata Nauli wanakosa baada ya Kumtajirisha Mhubiri Tapeli ( Wahubiri Matapeli )

Najivunia kuwa Roman Catholic 100%.
Wapi ukatoliki umeandikwa kwamba ndo dhehebu la kweli hadi ujivunie?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
1. Hoji kila kitu
2. Usiwe mwepesi kuamini

Mungu kwanza,Mimi Pili, Pesa Tatu

Hakuna mtu wa kuniongiza Sijui Kiroho, Kimwili, Kiakili!

Simply sina Kiongozi Mtu/ mwanadamu

Naongozwa na Mungu na Akili zangu!

Mimi ni kiongozi wangu mwenyewe!

Hakuna Mtu wa kuniambia hiki wala kile nikafuata tuu!
 
Unawaona Walokole Wametekwa Na Muhubiri. Je hujuioni wewe Mwenyewe Umetekwa ila Kwa Njia za Upole. Mimi ni RC pia ila Kujivunia Bila RC ku affect maisha Yangu Moja Kwa Moja Sioni Umuhimu wake. Tumepotea Wote hakuna Mwenye uAfadhali wowote. RC wanamiliki maeneo kibao,Vyuo, Mahospitali n.k wakati Waumini wake pia ni Masikini wanarudi Nyumbani Bila Chochote

Utasema Bora hao wanatoa huduma. Ila Hizo huduma hazijalishi ww ni Muumini au si Muumini unatoa Kama Vile ni Mpagani tu wa Kawaida unatafuta Huduma
 
Unawaona Walokole Wametekwa Na Muhubiri. Je hujuioni wewe Mwenyewe Umetekwa ila Kwa Njia za Upole. Mimi ni RC pia ila Kujivunia Bila RC ku affect maisha Yangu Moja Kwa Moja Sioni Umuhimu wake. Tumepotea Wote hakuna Mwenye uAfadhali wowote. RC wanamiliki maeneo kibao,Vyuo, Mahospitali n.k wakati Waumini wake pia ni Masikini wanarudi Nyumbani Bila Chochote

Utasema Bora hao wanatoa huduma. Ila Hizo huduma hazijalishi ww ni Muumini au si Muumini unatoa Kama Vile ni Mpagani tu wa Kawaida unatafuta Huduma
Acha kuanika ujinga wako jaribu kuuficha watu wengi wanapitia huu uzi
 
Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza Kutiririka na Kuserereka zako.

Otherwise Asante Padre ( Kasisi ) wangu wa Misa ( Ibada ) ya Kikatoliki ya leo Saa 12 na Nusu Asubuhi hadi Saa 2 Kamili tu katika Kanisa la Mtakatifu Mikaela ( Michael ) Kawe ambapo hata CDF Mabeyo na Mkewe wanasali kwa Neno zuri la Kiroho ambalo tutaishi nalo Wiki nzima na Kubarikiwa zaidi.

Sasa Wakatoliki ( wenye kujua Kusali ) tumepumzika tukitafakari Neno huku tukipigiwa Kelele na Wapenda Miujiza, Uwongo na Wapiga Kelele walio Jirani wa kuanzia Asubuhi hadi Jioni huku wakitoka Ibadani hata Nauli wanakosa baada ya Kumtajirisha Mhubiri Tapeli ( Wahubiri Matapeli )

Najivunia kuwa Roman Catholic 100%.
Ulimwengu wa leo madhehebu mengi ni biashara. Na wanakuteka kiakili, kifedha, muda wako, nguvu zako nk.. manake wanatajirika sana. Watu wanajitolea sio jumapili tu, hata siku za wiki kufanya kazi za kanisa na familia zinalala njaa. Inasikitisha
 
Acha kuanika ujinga wako jaribu kuuficha watu wengi wanapitia huu uzi
Toa Hoja acha Kujificha ficha.... Sema Tofauti iliyopo kati ya RC na Makanisa Mengine. Kote Mnatoa Michango kwenda kwenye Mifuko Ya Watu. Haijalishi hiyo mifuko ina Mfumo maalumu au Inakwenda kwa Mtu. Yote mnafaidisha Upande fulani

Mnachanga Kujenga makanisa. Mnachanga Kununua Magari ya Mapadri na Masista. Mnachanga Kujenga Nyumba za Mapadri. Michango kote ipo Na Inaenda Kwenye Account za Kanisa

Sasa Walokole wanafanya Hivyo hivyo Mnawaona Ni Tofauti na Nyie?
 
Katika hili mimi na wewe hatuna utofauti.
#Siendeshwi kiroho
#Siendeshwi kisiasa
#siendeshwi na mila
#siendeshwi na mtu

Nafanya kile nachokiona kwangu nisahihi na siyo kusubiri mtu mwingine aje kuniambia usifanye hiki ni dhambi, sijui nini.

In so doing you become a free man

Mtu ni nani bana hadi umsikilize!
 
Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza Kutiririka na Kuserereka zako.

Otherwise Asante Padre ( Kasisi ) wangu wa Misa ( Ibada ) ya Kikatoliki ya leo Saa 12 na Nusu Asubuhi hadi Saa 2 Kamili tu katika Kanisa la Mtakatifu Mikaela ( Michael ) Kawe ambapo hata CDF Mabeyo na Mkewe wanasali kwa Neno zuri la Kiroho ambalo tutaishi nalo Wiki nzima na Kubarikiwa zaidi.

Sasa Wakatoliki ( wenye kujua Kusali ) tumepumzika tukitafakari Neno huku tukipigiwa Kelele na Wapenda Miujiza, Uwongo na Wapiga Kelele walio Jirani wa kuanzia Asubuhi hadi Jioni huku wakitoka Ibadani hata Nauli wanakosa baada ya Kumtajirisha Mhubiri Tapeli ( Wahubiri Matapeli )

Najivunia kuwa Roman Catholic 100%
Waabudu masanamu mna visa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vice versa is true, yeye anakuona wewe huna akili kwa kuwa hauko kwa manabii, na wewe unamuona hana akili kwa kutekwa na manabii.
 
Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza Kutiririka na Kuserereka zako...
Mkuu, kumbe ile kauli ya Baniani mbaya ila kiatu chake kizuri ni sahihi kabisa. Sasa hivi wanene wameamua kutupeleka huko kwa WakristO ila mie nitabaki MKRISTU. Nadhani umenielewa.
 
Back
Top Bottom