Sisi mashabiki wa klabu ya Yanga tumefurahi sana jana usiku

Sisi mashabiki wa klabu ya Yanga tumefurahi sana jana usiku

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Hongereni sana wachezaji wa Yanga kwa ushindi wa jana. Kweli sisi mashabiki wa Klabu tulifurahi sana. Ule usemi wa Yanga inapendelewa sasa waseme mengine. Wachezaji walicheza kama timu. Nkane, Kibabage, Job, Pacome, Chama na wengineo walitufurahisha.

Msimu huu ndiyo utakuwa msimu wa historia ambapo timu ya Yanga haitafungwa hata goli moja na watashinda michezo yote hivyo wapinzani endeleeni kununa wakati Yanga inasonga mbele. Naiomba TFF wawaonye wachezaji wa Singida waache mchezo wa rafu waliouonyesha jana usiku na hii itakuja kuwaaribia sifa.

HONGERA SANA YANGA.
 
Hilo suala la Yanga kutofungwa hata goli moja au kutopoteza mchezo wowote kwenye ligi, ni jambo la kufikirika, na lisilowezekana. Na hapa nimeongea kama mdau wa michezo! Na siyo kama sabiki wa Yanga.

By the way, bado ni mapema sana hata kufanya hitimisho la aina yoyote ile kwenye Ligi. Yaani hata Bingwa wa Ligi kuu mpaka muda huu haijulikani atakuwa ni nani! Ingawa tukija kwenye ushabiki, wewe na mimi tutasema Yanga ndiyo atakuwa Bingwa.
 
Hilo suala la Yanga kutofungwa hata goli moja au kutopoteza mchezo wowote kwenye ligi, ni jambo la kufikirika, na lisilowezekana. Na hapa nimeongea kama mdau wa michezo! Na siyo kama sabiki wa Yanga.

By the way, bado ni mapema sana hata kufanya hitimisho la aina yoyote ile kwenye Ligi. Yaani hata Bingwa wa Ligi kuu mpaka muda huu haijulikani atakuwa ni nani! Ingawa tukija kwenye ushabiki, wewe na mimi tutasema Yanga ndiyo atakuwa Bingwa.
Well said, ila ni mashabiki tu wanapenda kuchagiza.
 
Hilo suala la Yanga kutofungwa hata goli moja au kutopoteza mchezo wowote kwenye ligi, ni jambo la kufikirika, na lisilowezekana. Na hapa nimeongea kama mdau wa michezo! Na siyo kama sabiki wa Yanga.

By the way, bado ni mapema sana hata kufanya hitimisho la aina yoyote ile kwenye Ligi. Yaani hata Bingwa wa Ligi kuu mpaka muda huu haijulikani atakuwa ni nani! Ingawa tukija kwenye ushabiki, wewe na mimi tutasema Yanga ndiyo atakuwa Bingwa.
ni kweli mkuu hata mimi ni shabiki wa Yanga lakini hauwezi kuconclude hivi kwa kweli.
 
Hongereni sana wachezaji wa Yanga kwa ushindi wa jana. Kweli sisi mashabiki wa Klabu tulifurahi sana. Ule usemi wa Yanga inapendelewa sasa waseme mengine. Wachezaji walicheza kama timu. Nkane, Kibabage, Job, Pacome, Chama na wengineo walitufurahisha.

Msimu huu ndiyo utakuwa msimu wa historia ambapo timu ya Yanga haitafungwa hata goli moja na watashinda michezo yote hivyo wapinzani endeleeni kununa wakati Yanga inasonga mbele. Naiomba TFF wawaonye wachezaji wa Singida waache mchezo wa rafu waliouonyesha jana usiku na hii itakuja kuwaaribia sifa.

HONGERA SANA YANGA.
Namna hiyo.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Back
Top Bottom