Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili ugundue nin 😅Aafu kweli...., ngoja nimtumie mwanaume mmoja nione majibu yake...🤔.
Umepotea sana Kasie.Aafu kweli...., ngoja nimtumie mwanaume mmoja nione majibu yake...🤔.
Ili ugundue nin 😅
Umepotea sana Kasie.
Kasie mtoto matata!Hata wewe pia Mjuni, mie nipoo kikokotoo bado kinaniweka mjini si haba.
Napatikana sana kwenye maeneo yangu yaleyale MMU na Vituko na Misosi. Utanikuta sana mojawapo ya huko.
Have a Happy Festive Season 😊.
Unatuchapa mishale bibie, hutaki tusifiweNi mambo ya kawaida tu hayo wala msifanye ionekane kama ni ajabu sana, wanaume wanahudumia kwa sababu they expect something in return toka kwa wanawake kama heshima na kufanyiwa majukumu ya nyumbani, lakini mwanamke akihudumia anapata nini in return toka kwa mwanaume
Aabeeeh.....😊😊.Kasie mtoto matata!
Hapana huwa naona kama mnataka sifa kwa mambo ambayo ni majukumu yenu, ni sawa na wanawake nao watake sifa kwa kuzaa na kulea, wakati huwa mnadai hayo ni majukumu yao hivyo hawastahili kusifiwaUnatuchapa mishale bibie, hutaki tusifiwe
Kufikishwalakini mwanamke akihudumia anapata nini in return toka kwa mwanaume
We Jadda weweNi mambo ya kawaida tu hayo wala msifanye ionekane kama ni ajabu sana, wanaume wanahudumia kwa sababu they expect something in return toka kwa wanawake kama heshima na kufanyiwa majukumu ya nyumbani, lakini mwanamke akihudumia anapata nini in return toka kwa mwanaume
Natafuta AjiraNi mambo ya kawaida tu hayo wala msifanye ionekane kama ni ajabu sana, wanaume wanahudumia kwa sababu they expect something in return toka kwa wanawake kama heshima na kufanyiwa majukumu ya nyumbani, lakini mwanamke akihudumia anapata nini in return toka kwa mwanaume
Hapana huwa naona kama mnataka sifa kwa mambo ambayo ni majukumu yenu, ni sawa na wanawake nao watake sifa kwa kuzaa na kulea, wakati huwa mnadai hayo ni majukumu yao hivyo hawastahili kusifiwa
Men RECEIVE through GIVING
Hilo ni jibu tosha kakabisakuna giver na recieverNi mambo ya kawaida tu hayo wala msifanye ionekane kama ni ajabu sana, wanaume wanahudumia kwa sababu they expect something in return toka kwa wanawake kama heshima na kufanyiwa majukumu ya nyumbani, lakini mwanamke akihudumia anapata nini in return toka kwa mwanaume